KAJALA MASANJA ANYWESHWA SUMU
![](http://api.ning.com:80/files/JCVRBTTob5naLzp740ZVwn3yk7Gs6sDZeawQxH1f4QFPo8RF33UY1Gr73oBgNemBHkOyiojq7tf4w4W3JkB**D91IBsVTxDR/KAJALA1.jpg)
Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja. Stori: Shakoor Jongo STAA wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja amejikuta katika hali mbaya kufuatia kunyweshwa sumu na mtu ambaye hakuweza kufahamika mara moja. Tukio hilo lilitokea usiku wa Jumapili iliyopita maeneo ya Tegeta jijini Dar katika Klabu ya Seventy One ambayo alikwenda kujiachia na marafiki zake. Chanzo cha uhakika, kilipenyeza habari kuwa, Kajala alinyweshwa sumu hiyo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Msikieni Kajala Masanja
STAA wa filamu za Bongo, kajala Masanja amesema kuwa kwa sasa hataki ugomvi na mtu kwani hauwezi kumletea maendeleo katika kazi zake hivyo anaangalia nini afanye ili apate mafanikio kupitia...
10 years ago
VijimamboHUYU NDIYO KAJALA MASANJA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Cmufrv6JsXU/default.jpg)
11 years ago
Bongo Movies19 Jul
Baada ya Kajala kudai Wema ni mnafiki,Wema aamua kujibu mapigo. 'Amlipua' vibaya Kajala
Ikiwa ni siku chache zimepita baada ya mwigizaji Kajala kudai kuwa mrembo Wema Sepeteu ni Mnafiki, hatimaye Mwanadada Wema Sepetu , amemlipua aliyekuwa shosti wake, Kajala Masanja ‘K’ ambaye wiki iliyopita alimwita mnafiki, habari ambayo ilisambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
Katika habari hiyo, Kajala alikaririwa akisema kwamba licha ya watu wengi kuamini wamepatana, hakuna ukweli kwani rafiki yake huyo ni mnafiki kufuatia kutomthamini na kutokuwa karibu naye kama zamani...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OQbVc*b-KB-bolz0a9UsBLHMSIhHUpH7X0ZvYVO2WBCuus72pD3FpkcIGDrMW7lM5OauqPA-NjWsMNmZIAeJ*5z-xLlI6YN3/masanja.jpg?width=650)
UTAJIRI WA MASANJA KUFURU!
9 years ago
Bongo Movies06 Nov
Masanja Ajitosa Kumrithi Filikunjombe
Wagombea tisa wakiwemo mdogo wa marehemu Deo Filikunjombe na mchekeshaji Masanja Mkandamizaji wamejitosa kuwania ubunge wa jimbo la Ludewa, mkoani Njombe kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM).
Uchaguzi wa kumpata mbunge wa jimbo hilo ulilazimika kuahirishwa baada ya kutokea kifo cha aliyekuwa mbunge na mgombea wa jimbo hilo kupitia CCM, Deogratius Filikunjombe.
Miongoni mwa waliojitokeza kwenye kinyang’anyiro hicho ndani ya CCM ni mdogo wa marehemu, Philipo Filikunjombe na msanii wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdbPn3l9m01JrOBLxXGJJzNTk4PaIG6um502H6RNfnmjsyoanKSpUfj5UOkgKRXtpcEBXWLkeMg6HkfvjiGzDZXv/WEMA.jpg)
MASANJA AWABOMOA WEMA, DIAMOND
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxzfAYyFd1ab5MHUtsWNgp5DQPVmNcQiU4VAjXRvktJZI*YzFBvJpXHzfSPPzMiE4yWxYyIPRHyjUVMHr4-8mX5K/BARUANZITO.jpg)
MASANJA NI VIZURI UKACHAGUA MOJA!