Msimu mpya wa ligu ya Premier
Msimu mpya wa ligi ya Premier umeanza kwa kishindo na BBC Swahili itakupasha kila kitakachojiri katika ukurasa huu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi17 Apr
KIWANDA CHA TUMBAKU MOROGORO CHAFANYA SHERERE KUFUNGA MSIMU NA KUFUNGUA MSIMU MPYA
9 years ago
MichuziMSIMU MPYA WA TAMASHA LA MTIKISIKO LAZINDULIWA IRINGA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MoQW6swxykUmFbjRbmuxxpKtblXwpEteLJIBK98nsx4ASlOXwYUN7A3OAy1GtfGwy66g*RUhkL8lm2iKYWFTQfDKhBn7LnGq/KILI.jpg)
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Woods asubiri msimu mpya kwa hamu
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-kOMfQZr7hBc/VXdDzgf8xFI/AAAAAAAAB_w/6ecHWbtlWyk/s72-c/arsenal.jpg)
JEZI MPYA YA ARSENAL MSIMU UJAO 2015/16
![](http://3.bp.blogspot.com/-kOMfQZr7hBc/VXdDzgf8xFI/AAAAAAAAB_w/6ecHWbtlWyk/s400/arsenal.jpg)
Kwa wale wanaojiuliza ni lini Arsenal watatoa jezi zao mpya za Puma kwa ajili ya msimu wa 2015/2016, jibu hili hapa. Jezi za nyumbani za Arsenal zitakazotumika msimu ujao wa 2015/2016 zimevuja….hivyo mashabiki wa London na duniani kote wajiandae kupata mzigo mpya.
10 years ago
Bongo Movies05 Jul
Shilole kuzindua msimu mpya MKASI TV Jumatatu hii
Msanii Shilole Kiuno alimaarufu kama Shishi Baby amepata bahati ya kuzindua msimu mpya wa kipindi cha Mkasi TV ambacho kinarushwa kila siku ya Jumatatu kuanzia saa tatu na nusu usiku kupitia Televisheni namba moja kwa vijana EATV.
Mkasi TV inarejea tena kwa kasi kubwa baada ya kufanyiwa mabadiliko na kuboreshwa zaidi ili kuleta hamasa na kuzidi kuwahamasisha watazamaji kuendelea kuwa katika familia hiyo inayokuwa kila siku, muonekano mpya wa mkasi TV hautafanana na ule wa awali.
Shilole...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lNCZjkmC4ms/XsbPoHDSKuI/AAAAAAALrM0/KR3JM7tF8UsZPoouJ2bEMjrycWWQhFUpwCLcBGAsYHQ/s72-c/42e0e685-2ba0-4bfe-9d58-1b66fbf8bb7d.jpg)
MSIMU MPYA WA KAHAWA, KDCU WAZINDUA MIZANI YA KIELEKTRONIKI.
Na Abdullatif Yunus Michuzi TV.
Chama cha Ushirika cha Wakulima wa Kahawa Wilaya za Karagwe na Kyerwa (KDCU), kimezindua Mizani 15 mipya ya Kielektroniki yenye thamani ya shilingi Milioni 46, na kugawiwa katika Vyama vya Msingi, wakati tukielekea msimu mpya wa zao la kahawa.
Mizani hiyo imezinduliwa na iliyozinduliwa na kukabidhiwa na Mkuu wa Mkoa Kagera Brigedia Jenerali Marco Gaguti katika tukio lililofanyika mapema Mei 21, katika Viwanja vya Chama hicho Wilayani Karagwe, huku tukio hilo...