Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Woods asubiri msimu mpya kwa hamu

Mchezaji wa gofu Tiger Woods ameonyesha furaha baada ya kukabiliana na matatizo ya maumivu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KIWANDA CHA TUMBAKU MOROGORO CHAFANYA SHERERE KUFUNGA MSIMU NA KUFUNGUA MSIMU MPYA

Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya Tumbaku ya Tanzania Tobacco Procesing Limited (TTPL) na Tanzania Leaf Tobacco Company (TLTC) David Crowhorst Akitoa hotuba yake wakati wa sherehe za kumaliza msimu uliopita na kukaribisha msimu mwingine pamoja na kutoa zawadi kwa wafanyakazi waliotumikia kampuni hizo kwa muda mrefu pamoja na wafanyakazi bora zilizofanyika Kiwandani hapo.Katika Hotuba yake Mkurugenzi Huyo alisema Makampuni hayoyamesaidia Mkoa wa Morogoro kuanza kuinuka kiuchumi kutokana na...

 

10 years ago

Habarileo

CAG mpya aapishwa, asubiri ripoti Escrow

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Profesa Mussa Juma AssadRAIS Jakaya Kikwete amemwapisha rasmi Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Juma Assad. Ameapishwa baada ya aliyekuwepo, Ludovick Utouh, kustaafu kwa mujibu wa Sheria na Katiba.

 

10 years ago

Bongo5

Jumba la Big Brother Africa lateketea kwa moto, uzinduzi wa msimu mpya waahirishwa

Moto mkubwa umezuka kwenye jumba la Big Brother Africa Hotshots katika studio za Sasani jijini Johannesburg, Afrika Kusini na hivyo kuahirishwa kwa kuanza msimu mpya uliokuwa uzinduliwe Jumapili hii, September 7. Jumba la Big Brother likitekea kwa moto Hakuna aliyeumia kutokana na moto huo uliotokea kwenye studio hizo zilizopo Highlands North jijini Johannesburg Jumannne hii. […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Tiger Woods kupumzika Golf kwa muda

Tiger Woods, amesema hana mpango wa kurudi kwa haraka kucheza mchezo huo baada ya kuandamwa na majeruhi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Msimu mpya wa ligu ya Premier

Msimu mpya wa ligi ya Premier umeanza kwa kishindo na BBC Swahili itakupasha kila kitakachojiri katika ukurasa huu

 

9 years ago

Michuzi

MSIMU MPYA WA TAMASHA LA MTIKISIKO LAZINDULIWA IRINGA

 RADIO Ebony Fm yenye makao yake makuu mkoani Iringa kupitia kipindi chake cha mchana "THE SPLASH" imezindua rasmi hewani (on air launching) msimu mwingine wa kila mwaka wa tamasha maarufu kwa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini linalokwenda kwa jina la "MTIKISIKO" ambalo linatarajiwa kuanza katikati ya mwezi huu na kupita karibu sehemu zote inaposikika redio hiyo baadhi ya picha za watangazaji wakiwa katika shangwe za uzinduzi huo.(PICHA zote na Denis Mlowe)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani