Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msingi wa uhusiano mwema

Katika kuimarisha diplomasia na uhusiano mwema, Kenya inapanga kufungua ofisi katika jimbo la Somaliland lililojitenga na Somalia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Kikwete ahimiza uhusiano mwema na Kenya

Rais wa Tanzania Jakaya Kimwete amelihutubia Bunge la Kenya na kuahidi kwamba uhusiano baina ya Kenya na Tanzania hautabadilika hata akiondoka mamlakani.

 

10 years ago

Michuzi

Tanzania yaendelea kunufaika na uhusiano mwema ulipo baina yake na Taifa la China.

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Uwekezaji na Uwezeshaji Dkk. Mary Nagu akizungumza na waandishi wa Habari wakati wa hafla ya kuadhimisha miaka 65 tangu kuanzishwa Jamhuri ya Watu wa China jana jijini Dar es Salaam.

 : Balozi wa China nchini Tanzania Balozi Lui Youqing akigonga glasi ya mvinyo wakati wa hafla ya kuadhimisha miaka 65 tangu kuanzishwa Jamhuri ya Watu wa China jana jijini Dar es Salaam.

 Picha ya Keki kwa ajili ya hafla ya maadhimisho ya miaka 65 tokea kuanzishwa kwa...

 

9 years ago

Michuzi

Pinda aweka jiwe la msingi jiwe la Msingi la Jengo la makazi na Biashara la NHC Place eneo la Victoria jijini Dar es slaam

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wafanyakazi wa Shirika la Taifa la Nyumba (NHC) wakati alipowasili kwenye eneo la ujenzi wa jengo la makazi na biashara la Victoria Place linalojengwa na NHC katika  eneo la Victoria jijini Dar es salaam  kuweka jiwe la msingi la ujenzi huo Oktoba 20,2015.Kulia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angela Kairuki na kulia kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu. Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Nyumba  (NHC),...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Mwamunyange, Mwema wajiuzulu’

Mkuu wa Majeshi Nchini, Davis Mwamunyange na Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Said Mwema nao wametakiwa kujiuzulu kutokana na uozo uliobainika katika ripoti ya Operesheni Tokomeza Ujangili, iliyosababisha Rais Jakaya Kikwete kutengua uteuzi wa mawaziri wake wanne.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwema ajisalimisha uraiani

ALIYEKUWA Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP), Said Mwema, amewataka Watanzania wampokee vizuri anapoingia uraiani baada ya kumaliza muda wake wa utumishi. Utawala wa Mwema ulitiwa doa na matukio...

 

10 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA UJIRANI MWEMA

Baadhi ya Viongozi na wanachama wa ujirani mwema kati ya Kata ta Mtoni Wilaya ya Temeka mkoa wa Dar es salaam na Wilaya ya Dimani Mkoa wa Magharibi Zanzibar.Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mtoni ambae pia ni Katibu Mwenezi wa Kata hiyo Wilaya ya bTemeke Mkoa wa Dar es salaam Ndugu Hija Makamba akielezea mafanikio yanayopatikana kutoka na ujirani mwema kati ya pande hizo mbili.Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Balozi Seif Ali Iddi akizungumza katika mkutano wa ujirani...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwema, Mwamunyange watakiwa kujiuzulu

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Saidi Mwema, na Mkuu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Davis Mamunyange, wametakiwa kujiuzulu baada ya Kamati ya Bunge ya Ardhi, Mazingira...

 

11 years ago

Tanzania Daima

SAU yamkaribisha IGP Mwema

CHAMA cha Sauti ya Umma (SAU), kimemuomba Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini  mstaafu, IGP Said Mwema kujiunga na chama hicho. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani