Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msomi amtungia Nyerere kitabu

Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Kikatoliki Ruaha  Iringa, Profesa Gaundence Mpangala amemuenzi Mwalimu Julius Nyerere  kwa kuzindua  kitabu chenye  kurasa 16  kiitwacho, ‘’Historia ya Mkombozi  Mwalimu Julius Nyerere ‘’.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mama Maria Nyerere kuandika kitabu

Mjane wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere amesema ataandika kitabu kuelezea hatua mbalimbali ambazo nchi imepitia tangu wakati wa ukoloni hadi sasa.

 

9 years ago

StarTV

Umoja wa Vijana Geita wazindua kitabu maalumu je wajua kitabu gani?

Marafiki wa Magufuli Kanda ya Ziwa kupitia Umoja wa Vijana Mkoa wa Geita wamezindua kitabu maalum kiitwacho TINGATINGA ikiwa ni sehemu mojawapo ya kampeni ndani na nje ya mkoa huo kitakachomnadi mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Dokta John Magufuli.

 Vijana hao wamesema kitabu cha TINGATINGA kitasaidia wananchi kumjua kiundani Dokta Magufuli kwa kuwa kitasambazwa mijini na vijijini wakiwa na imani kuwa watakaosoma na kukielewa kitabu hicho watafanya maamuzi sahihi kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Msomi atoswa Yanga

Klabu ya Yanga imeamua kuachana na  mshambuliaji wake msomi,  Reliants Lusajo ambaye aliitumikia timu hiyo kwa  muda mfupi katika mkataba wake wa miaka miwili aliosaini akitokea klabu ya  Machava ya Moshi.

 

9 years ago

GPL

MSOMI CHUO KIKUU AUAWA

Shani Ramadhani RIP! Kijana aliyefahamika kwa jina la Shelitiael Steven Mbise, aliyekuwa akisoma Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) amefariki dunia kwa kuchomwa kisu na muuza chipsi kufuatia kutofautiana. Kwa mujibu wa chanzo kutoka Dodoma, denti huyo alikuwa akichukua masters akiwa kwenye mwaka wake wa kwanza.
“Marehemu alikuwa amepanga chumba nje ya chuo, Mtaa wa Chako ni Chako lakini kipindi hiki chuo kimefungwa alikuwa hapa na...

 

11 years ago

Mwananchi

Okwi amwondoa straika msomi Yanga

>Ujio wa kiungo mshambuliaji mpya wa Yanga, Emmanuel Okwi umemuweka njia panda msomi wa timu hiyo, Reliants Lusajo aliyetua kuichezea timu hiyo kwenye msimu huu wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

10 years ago

BBCSwahili

Msomi mkenya Profesa Mazrui afariki

Msomi mashuhuri duniani Profesa Ali Mazrui ameaga dunia nchini Marekani. Mazrui ni mzaliwa wa Kenya na alikuwa anaishi Marekani

 

11 years ago

Mwananchi

Msomi: CCM inapinga uamuzi wake

Moja ya shughuli zilizoambatana na maadhimisho ya miaka 50 tangu nchi za Tanganyika na Zanzibar ziungane, ni kongamano lililojadili na kutathmini muungano huo, lililoandaliwa na Jukwaa la Wanataaluma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDASA).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani