Mtaalamu kuwachambua makada wanaotajwa urais
>Wakati Uchaguzi Mkuu ukikaribia, tayari vuguvugu la urais limeanza kwenye vyama vya siasa huku kazi kubwa ikiwa kwenye chama tawala cha CCM na hivyo kuanzia kesho ya Mwananchi litakuwa likikupa uchambuzi wa makada 21 wanaotajwa kuwania nafasi hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 May
Giza nene zaidi makada urais CCM
5 years ago
MichuziMAKADA WA CCM WALIOCHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS WA ZANZIBAR LEO
10 years ago
Mtanzania15 Jan
Makada sita wa urais CCM kujadiliwa Kamati Kuu ijayo
NA ELIAS MSUYA, ZANZIBAR
WAKATI vuguvugu la kuwania kuteuliwa kugombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) likiendelea kupamba moto, Kamati Kuu (CC) ya chama hicho imesema adhabu waliyopewa makada sita walioonyesha nia ya kutaka nafasi hiyo, itapitiwa tena Februari na watakaobainika kuendelea kufanya makosa wataongezewa adhabu.
Katibu Mwenezi wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye, alisema suala hilo ni moja ya maazimio yaliyofikiwa na kikao hicho kilichokutana jana kisiwani...
5 years ago
Michuzi
WANAWAKE WAWILI WAJITOKEZA KUCHUKUA FOMU YA URAIS CCM ZANZIBAR,MAKADA WAFIKIA 26
NA ANDREW CHALE, ZANZIBAR.
WANAMAMA wawili wamejitokeza leo 24 Juni kuchukua fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM.
Mwanamama wa kwanza ni Husna Attai Masoud aliwasili viwanja vya Afisi Kuu ya CCM -Zanzibar zilizopo eneo la Kisiwandui majira ya saa Nne akiwa amesindikizwa na wapambe wake watano wote Wanamama akiwemo dereva aliyewaendesha na
kisha kupanda hadi gorofa ya pili kwa Katibu wa Idara ya Organization...
10 years ago
Vijimambo24 Nov
Lissu ahoji Werema kuwafumbia macho vigogo wanaotajwa Escrow

Vigogo hao ni pamoja na mawaziri wa sasa na wa zamani, mwanasheria mkuu wa serikali wa zamani, majaji wa mahakama kuu na Gavana...
10 years ago
Mwananchi27 Jul
Marais watano wanaotajwa kuongoza kwa mishahara minono barani Afrika hawa hapa
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Louis van Gaal anaondoka Man United? imenifikia list ya makocha wanaotajwa kuchukua nafasi yake …
Headlines za makocha mbalimbali wa Ligi Kuu Uingereza kufukuzwa zinaendelea kushika kasi ambapo hivi karibuni ulimwengu ulishuhudia Kocha wa Swansea City Garry Monk akifukuzwa na Jose Mourinho akifukuzwa kuifundisha Chelsea. Stori za mitandaoni za hivi karibuni ni zile zinazomzungumzia Kocha wa Manchester United Louis van Gaal na hatma yake ndani ya klabu hiyo baada ya timu yake kuendelea […]
The post Louis van Gaal anaondoka Man United? imenifikia list ya makocha wanaotajwa kuchukua nafasi...
10 years ago
BBCSwahili31 Jan
Mtaalamu wa silaha za kemikali IS auwawa
11 years ago
Mwananchi01 Sep
Shelder; mtaalamu wa kufumania nyavu