Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTALAKA WA NORA ASAKA WENYE SHEPU

Stori: Imelda Mtema
Mtalaka wa msanii mkongwe wa filamu Nuru Nassoro ‘Nora’, Luqman Nassoro amesema anasaka wasichana warembo na muonekano mzuri kuanzia sura hadi shepu kwa ajili ya kufanya nao kazi. Msanii mkongwe wa filamu Nuru Nassoro ‘Nora’ akiwa na mtalaka wake Luqman Nassoro wakati wa harusi yao. Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, Luqman anayemiliki kampuni iitwayo QV, alisema ameamua...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WANABEBWA NA SHEPU ZAO!

Elizabeth Michael 'Lulu'. Makala: Deogratius Mongela
Umaarufu na ustaa wao kamwe haulingani na matunda ya kazi zao! Unajua kinachowabeba na kuwaweka mjini baadhi ya mastaa Bongo? Ni muonekano wa shepu na maumbo bomba waliyojaaliwa na Mwenyezi Mungu! KHADJA SAID ‘KADIJANITO’ KHADJA SAID ‘KADIJANITO’
Mwanadafada Khadja Said ‘Kadijanito’ kutoka Nyumba ya Vipaji (THT) alitusua na ngoma ya...

 

11 years ago

GPL

MTALAKA WA KIRIA AFUNGA NDOA

Na Hamida Hassan
MTALAKA wa mtangazaji Joyce Kiria, Nelson Nkongo ‘DJ Nelly’ amefunga ndoa na mwanamke mwingine aliyefahamika kwa jina la Elinda ‘Aika’. Joyce Kiria. Mapema wiki hii, picha za wanandoa hao zilizagaa kwenye simu za mastaa mbalimbali huku wengi wao wakimpongeza Nelly kwa kuchukua uamuzi huo wa kuvuta jiko lingine baada ya kumwagana na Joyce mwaka 2011. “Tunampongeza Nelly kwa kuwa...

 

10 years ago

GPL

DIDA NINA SHEPU YA KALIMATI!

Stori: Musa Mateja
MTANGAZAJI wa kituo cha Redio Times, Hadija Shaibu ‘Dida’, juzikati aliamua kutoa siri yake ya moyoni na kuweka wazi juu ya tabia yake ya kuachika na kupata mume mpya mara kwa mara. Mtangazaji wa kituo cha Redio Times, Hadija Shaibu ‘Dida’ akiwa kwenye bethidei ya Rose Ndauka. Aliweka bayana kwamba anaachika na kupata mwanaume mpya haraka kwa sababu ana shepu ya kalimati (aina ya...

 

10 years ago

Vijimambo

UZURI NA SHEPU UNAYO, FARAGHA JE?

Ulimwengu wa sasa umejaa wanawake wazuri sana, kila unayemuangalia unaona kuna vitu f’lani Mungu kamjaalia. Unaweza kukutana na msichana ambaye hana shepu kabisa lakini sura yake peke yake inamfanya awe tishio kwa wanaume.

Wapo pia wanawake ambao hawana sura ya mvuto lakini Mungu kawajaalia kuwa na maumbile tata yanayowatoa udenda wanaume wengi.
Kimsingi kila mwanamke ni mzuri.

Unaweza kukutana na msichana ukaona hana sifa za kuwa wako lakini kwa mwingine ikawa tofauti.
Ndiyo maana hakuna...

 

11 years ago

Habarileo

Mume, mke wamng’oa mdomo mtalaka

JESHI la Polisi mkoani Ruvuma linafanya uchunguzi kuhusu tukio la mume na mke kumshambulia mtalaka wake Faustina Komba (35) mkazi wa jiji la mbeya kwa kumpiga ngumi, makofi na kumng’ata mdomo wake wa chini na kuuondoa wote.

 

10 years ago

GPL

UNYAMA, UDHALILISHWAJI MTALAKA WA ISHAMASHAUZI UKWELI NI HUU

Stori: Musa Mateja/Risasi HATIMAYE ukweli wa kutekwa, kuteswa kwa kudhalilishwa kwa aliyekuwa mume wa mwimba  taarab mahiri Bongo, Aisha Ramadhan ‘Isha Mashauzi’, Jumanne Hassan ‘Tevez’, umejulikana, Risasi Jumamosi limechimba. Mfanyabiashara, Jumanne Hassan ‘Tevez’ akiwa amefungwa kamba na watesi wake. Januari 28, mwaka huu, picha za Tevez akiwa ametoka kuteswa kwa kudhalilishwa...

 

10 years ago

GPL

UJAUZITO UMENIVURUGA SHEPU YANGU, TIWA SAVAGE

Mwanamuziki wa Nigeria,  Tiwa Savage. Lagos Nigeria MWANAMUZIKI Tiwa Savage wa Nigeria amelalamika kwamba ujauzito alio nao hivi sasa umevuruga shepu yake hasa kutokana tumbo kujitokeza. Tiwa Savage akiwa na mumewe Tunji ‘Teebillz’ Balogun.
Mrembo huyo ambaye anategemea kumzalia mtoto  mumeweTunji ‘Teebillz’ Balogun, amesema kwenye akaunti yake ya Instagram kwamba pamoja na kufurahia hali hiyo,...

 

10 years ago

GPL

UNARINGIA UZURI NA SHEPU YAKO, VIPI HII LA FARAGHA?

Ulimwengu wa sasa umejaa wanawake wazuri sana, kila unayemuangalia unaona kuna vitu f’lani Mungu kamjaalia. Unaweza kukutana na msichana ambaye hana shepu kabisa lakini sura yake peke yake inamfanya awe tishio kwa wanaume. Wapo pia wanawake ambao hawana sura ya mvuto lakini Mungu kawajaalia kuwa na maumbile tata yanayowatoa udenda wanaume wengi.
Kimsingi kila mwanamke ni mzuri. Unaweza kukutana na msichana ukaona hana...

 

10 years ago

GPL

SLIM AANGUA KILIO GARI LIKIENDA KWA MTALAKA

Imelda Mtema
MUIGIZAJI mahiri wa filamu, Slim Mbegu ‘Slim’ hivi karibuni aliangua kilio akiwa Mahakama ya Mwanzo Magomeni baada ya kushuhudia gari alilopewa zawadi yeye na mkewe aliyetengana naye, Asia Morgana likivutwa kwa Break Down kusogezwa eneo hilo. Muigizaji mahiri wa filamu, Slim Mbegu ‘Slim’. Wawili hao walikuwa na shauri mahakamani hapo wakigombea gari hilo kila mmoja akidai ni mali yake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani