Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTANDAO WA EVERJOBS TANZANIA KUWAKUTANISHA WAAJIRIWA NA WAAJIRI

 Mkurugenzi Mtendaji wa Everjobs wa Ukanda wa Afrika Eric Lauer, akiwaelezea waandishi wa habari pamoja na wageni waalikwa jinsi mfumo wao wa tovuti ambao unaweza kuwaunganisha waajiri na waajiriwa kwa urahisi kabisa huku waajiri wakipata nafasi ya kuweza kupata taarifa zote muhimu kutoka kwa wanaoomba kazi kupitia tovuti hiyo pindi wanapokuwa wamejiunga na Kampuni ya Everjobs Tanzania.Mkutano huo ulifanyika jana katika hoteli ya Serena Jijini Dar Es salaam. Mkurugenzi wa Everjobs...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Jaji Kiongozi atoa somo kwa watumishi wa mahakama, vyama vya waajiri na waajiriwa

Mahakama - 1

Jaji Kiongozi wa Mahakama ya Tanzania Mhe. Shaaban Lila akifungua mkutano maalum wa watendaji wa Mahakama Kuu Divisheni ya Kazi, Chama cha waajiri Tanzania (ATE) na Wafanyakazi (TUCTA) leo jijini Dar es salaam. Mkutano huo unalenga kuangalia na kutafuta majibu ya changamoto mbalimbali zinazohusu maslahi ya wafanyakazi na mashauri yanayopelekwa mahakama Kuu Divisheni ya Kazi nchini.

Mahakama - 5

Jaji Kiongozi wa Mahakama ya Tanzania Mhe. Shaaban Lila akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua...

 

9 years ago

Michuzi

EVERJOBS TANZANIA CAREER REPORT.

In a recent World Economic Forum report, Tanzania was listed as one of the 13 fastest growing economies in the world. This comes as no surprise with GDP growing around 6-7% each year since 2009. In addition, with GDP projected to grow until 2017, many industries will continue to benefit, including the services sector. This latest edition of the everjobs Tanzania career report was assembled based on data collected from  everjobs​​for the month of September 2015.



New data from the everjobs...

 

9 years ago

Everjobs

Everjobs officially launches career portal in Tanzania

Tanzania, 15 September 2015 – Everjobs (https://www.everjobs.co.tz/ (https://www.everjobs.co.tz/)), Tanzania’s newest online career portal, recently started its operations in Tanzania. During a press conference, Co-founder and Managing Director for Africa Eric Lauer introduced the company officially to the public.

“Everjobs is here to help with employability, which is the main issue highlighted by all the key figures in the labor market” said Eric Lauer. A survey conducted by the...

 

11 years ago

Michuzi

TEAM IDDI "TEAM TANZANIA" INAOMBA KURA ZENU: KUWAKUTANISHA WATANZANIA KAMA WANA DMV BILA KUJALI MENGINEYO

MHE IDDY SANDALY
Katika Historia ya DMV kwa Miaka miwili mfululizo ya Uongozi wangu  tumeweza kuwajumuisha watanzania kwenye mambo mbali mbali. Tumeweza kufanya SUMMER PICNIC kwa watanzania wote wa DMV . Tuliweza kujipanga na Kuhakikisha watoto, vijana na Wazee wanajumuishwa pamoja na kufurahia, Watanzania bila Kujali Vyama na mengineyo tuliweza kujumuika kwa pamoja na kufurahi.  Lengo DMV MOJA.
Kwa Kuendeleza kuonyesha ni jinsi Gani umoja Ndio Lengo la Jumuiya na Sio Kupata Mamilioni ya Fedha...

 

9 years ago

GPL

EVERJOBS KURAHISISHA AJIRA NCHINI

Kutoka kushoto ni Managing Director wa Ever Jobs, Eric Laver,Ofisa Mkuu wa masoko, Lukas Masson pamoja na  Country Manager, Florens Roell. Ofisa Mkuu wa Masoko, Lukas Masson (mbele) akitoa ufafanuzi kwenye uzinduzi huo. Baadhi ya wadau mbalimbali wa ajira na waandishi wa habari waliohudhuria uzinduzi huo wakifuatilia kwa makini. Lukas Masson (mbele) akitoa maelekezo ya jinsi ya kutafuta ajira kwa kutumia teknolojia hiyo...

 

5 years ago

Michuzi

BrighterMonday Tanzania yaja na suluhisho kwa waajiri wakati huu wa mlipuko wa corona


Mlipuko wa homa kali ya mapafu, COVID-19 au Virus via Corona, umeleta athari katika nyanja mbalimbali za kiuchumi kote duniani, ikiwemo sekta ya ajira. Baadhi ya makampuni yamelazimika kupunguza idadi ya waajiriwa, mengine yakilazimika kufunga biashara na uzalishaji, huku mengine yakisaidia juhudi za seriali na hata sekta binafsi kukabiliana na matokeo ya mlipuko wa virusi vya Corona ili kusaidia kurudisha mataifa katika kawaida ya uzalishaji.
Hapa Tanzania, makampuni Mengi yamechangia...

 

5 years ago

Michuzi

BrighterMonday Tanzania yazindua kampeni ya ‘Umoja Wakati wa Shida’ kusaidia Waajiri Kukabiliana na Athari za Janga la Corona

Kampuni ya uajiri na usimamizi wa rasilimali watu ya BrighterMonday Tanzania imeanzisha programu iitwayo ‘Umoja Wakati wa Shida’ inayotoa nafasi kwa waajiri (makampuni na watu binafsi) kutangaza kazi kwenye tovuti yao bure kwa kipindi cha miezi mitatu ijayo, wakati ambao taifa linakabiliana na janga la maradhi ya virusi vya Corona.
Kampeni hii inalenga kuwezesha uendelevu wa juhudi za makampuni na biashara kwa kuziwesesha kufanya udahili na kuajiri watendaji sahihi ili kuongeza ufanisi...

 

9 years ago

Michuzi

NGO YA TANZANIA Mtandao wa Kijamii wa Usimamizi wa Misitu Tanzania ( MJUMITA) YASHINDA TUZO YA UMOJA WA MATAIFA

Na Mwandishi Maalum, New York Mtandao wa Kijamii wa Usimamizi wa Misitu Tanzania ( MJUMITA) ni kati ya Asasi 21 ambazo jana ( jumatatu) zimetangawa kuwa washindi wa Tuzo ya Ikweta (Equator Prize ) kwa mwaka 2015 Tuzo hiyo ya Ikwete hutolewa na Mfuko wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa ( UNDP) kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wanaofadhili tuzo hiyo. Kila NGO iliyoshinda Tuzo hiyo inanyakua kitita cha dola 10,000 za Kimarekani. Ushindi wa MJUMITA pamoja na NGO nyingine 20...

 

11 years ago

Tanzania Daima

11,000 waajiriwa sekta ya afya

SERIKALI imeajiri watumishi 11,221 wa sekta ya afya nchini kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2013/2014 idadi inayoelezwa kuwa kubwa katika historia ya Tanzania. Naibu Waziri wa Afya na Ustawi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani