Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtanzania aliyefungwa maisha alegezewa masharti

MAHAKAMA nchini Marekani imetoa uamuzi kwamba Mtanzania, Khalfan Khamis Ghailan (40), aliyefungwa kifungo cha maisha kwa mashambulizi dhidi ya Ubalozi wa Marekani jijini Dar es Salaam, ana haki ya kuwasiliana na ndugu zake.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mtanzania ahukumiwa maisha kwa mauaji

Mtanzania ,Charles Mihayo aliyekuwa akituhumiwa kwa mauaji ya binti zake wawili ,amehukumiwa kifungo cha maisha jela.

 

9 years ago

StarTV

Sheikh mkuu asema hakuna Mtanzania aliyepoteza maisha

Wakati watanzania wakisubiri kwa hamu taarifa za watanzania  waliokwenda kuhiji Saud Sheikh Mkuu wa Tanzania Abubakari Zuberi amesema hakuna Mtanzania yoyote aliyesadikiwa kufariki dunia wala kujeruhiwa kwenye tukio lililohusisha vifo vya watu 107 baada ya Winchi kuangukia msikiti mtukufu wa Makka nchini Saud Arabia.

Akitoa Taarifa hiyo jijini Dar es Salaam, Sheikh Zuberi, amesema tangu kutolewa kwa taarifa hiyo kumekuwepo na wasiwasi mkubwa kutoka kwa wananchi wanaotaka kujua usalama wa...

 

10 years ago

Habarileo

Mtanzania afungwa maisha Australia kwa kuua wanawe

Charles Mihayo akipelekwa gerezani baada ya hukumu yake.MTANZANIA Charles Mihayo (36), ambaye amechukua uraia wa Australia, amehukumiwa kifungo cha maisha jela, baada ya kupatikana na hatia ya kuua watoto wake wawili wa kike Aprili mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi wetu na kipimo cha maisha bora kwa kila Mtanzania

Mwaka 2005 wakati wa mchakato wa kampeni za urais, niliandika makala nikihadharisha kuhusu ahadi nyingi za ajira na maisha bora zilizokuwa zinatolewa na mgombea wa urais ambaye sasa ni Rais wa nchi.

 

10 years ago

Vijimambo

MTANZANIA CHARLES MIHAYO ALIYEUWA WATOTO WAKE AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA

 Photo: Mihayo will serve a minimum of 31 years in prison for murdering his daughters. (AAP: Julian Smith)Photo: Indianna, 3, (left) and Savannah, 4, 
A Melbourne man who murdered his two young daughters by smothering them with a pillow has been sentenced to life in jail.

Charles Mihayo, 36, smothered his daughters Savannah, 4, and Indianna, 3, at his unit at Watsonia in April.

He pleaded guilty to the killings in August and was today sentenced in the Supreme Court to a minimum of 31 years in...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwandishi aliyefungwa aachiliwa Burundi

Makumi ya maelfu ya raia wameandamana katika mji mkuu wa Burundi ,Bujumbura wakimuungano mkono mwandishi maarufu aliyefungwa

 

10 years ago

Habarileo

Mwenyekiti aliyefungwa miaka 15 aachiwa

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Husna Mwilima KIJIJI cha Msitu wa Mbogo wilayani Arumeru mkoani Arusha, jana kililipuka kwa furaha baada ya viongozi wanne wa kijiji hicho, akiwemo mwenyekiti, kuachiwa huru kwa dhamana na Mahakama.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani