Mtanzania aliyefungwa maisha alegezewa masharti
MAHAKAMA nchini Marekani imetoa uamuzi kwamba Mtanzania, Khalfan Khamis Ghailan (40), aliyefungwa kifungo cha maisha kwa mashambulizi dhidi ya Ubalozi wa Marekani jijini Dar es Salaam, ana haki ya kuwasiliana na ndugu zake.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Mtanzania ahukumiwa maisha kwa mauaji
9 years ago
StarTV17 Sep
Sheikh mkuu asema hakuna Mtanzania aliyepoteza maisha
Wakati watanzania wakisubiri kwa hamu taarifa za watanzania waliokwenda kuhiji Saud Sheikh Mkuu wa Tanzania Abubakari Zuberi amesema hakuna Mtanzania yoyote aliyesadikiwa kufariki dunia wala kujeruhiwa kwenye tukio lililohusisha vifo vya watu 107 baada ya Winchi kuangukia msikiti mtukufu wa Makka nchini Saud Arabia.
Akitoa Taarifa hiyo jijini Dar es Salaam, Sheikh Zuberi, amesema tangu kutolewa kwa taarifa hiyo kumekuwepo na wasiwasi mkubwa kutoka kwa wananchi wanaotaka kujua usalama wa...
10 years ago
Habarileo20 Dec
Mtanzania afungwa maisha Australia kwa kuua wanawe
MTANZANIA Charles Mihayo (36), ambaye amechukua uraia wa Australia, amehukumiwa kifungo cha maisha jela, baada ya kupatikana na hatia ya kuua watoto wake wawili wa kike Aprili mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi04 Feb
Viongozi wetu na kipimo cha maisha bora kwa kila Mtanzania
10 years ago
VijimamboMTANZANIA CHARLES MIHAYO ALIYEUWA WATOTO WAKE AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA
A Melbourne man who murdered his two young daughters by smothering them with a pillow has been sentenced to life in jail.
Charles Mihayo, 36, smothered his daughters Savannah, 4, and Indianna, 3, at his unit at Watsonia in April.
He pleaded guilty to the killings in August and was today sentenced in the Supreme Court to a minimum of 31 years in...
10 years ago
Michuzi10 years ago
Michuzi19 Dec
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
Mwandishi aliyefungwa aachiliwa Burundi
10 years ago
Habarileo01 May
Mwenyekiti aliyefungwa miaka 15 aachiwa
KIJIJI cha Msitu wa Mbogo wilayani Arumeru mkoani Arusha, jana kililipuka kwa furaha baada ya viongozi wanne wa kijiji hicho, akiwemo mwenyekiti, kuachiwa huru kwa dhamana na Mahakama.