Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTAZAMO: Kumbukumbu ni tatizo Yanga, Simba

>Mchezo wa soka una nguvu ya kuunganisha watu wa tamaduni tofauti, makabila, rangi na dini kwa sababu ndiyo unaopendwa na watu wengi sehemu mbalimbali duniani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Zipo wapi kumbukumbu za Yanga, Simba?

Mchezo wa soka una nguvu ya kuunganisha watu wenye tamaduni tofauti, makabila, rangi na dini kwa sababu ndiyo unaopendwa na watu wengi sehemu mbalimbali duniani.

 

10 years ago

Mwananchi

MTAZAMO: Ligi imemalizika, misingi ya soka bado ni tatizo

>Nimekuwa shuhuda wa muda mrefu wa mechi za Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara kwenye viwanja mbalimbali nchini.

 

10 years ago

Bongo Movies

Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.

Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.

Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.

Unahisi nani ataibuka kidedea...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Mwananchi

Umaliziaji tatizo Simba

Ubutu wa safu ya ushambuliaji   umeifanya Simba kulazimishwa suluhu na Express katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliochezwa jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Morocco: Mabeki Simba tatizo

Kocha wa timu ya Mafunzo, Hemed Morocco amesema kikosi cha Simba kinaendelea kuimarika, hasa safu ya viungo na ushambuliaji huku akidai bado kuna tatizo kubwa katika ulinzi wa pembeni.

 

10 years ago

Vijimambo

AUNGURUMAPO SIMBA MCHEZA NANI DAKIKA 90 SIMBA 1 YANGA 0

 Timu ya Yanga imeendeleza uteja tena leo katika mchezo wa wahasimu hao uliochezwa uwanja wa taifa leo baada ya timu ya Simba kuibamiza Yanga goli 1 bila majibu goli lililofungwa na Emmanuel Okwi mchezaji aliyeikimbia timu hiyo yenye masikani yake Jangwani katika dakika ya 52. Wachezaji wa Simba na Yanga wakiwa katika mpambano.Mchezaji Simon Msuva akijaribu kufanya mashambulizi goli mwa Simba shuti lake halikuweza kuleta madhara yeyote mpaka dakika 90 Simba 1 na Yanga 0. Picha kwa hisani ya...

 

9 years ago

Vijimambo

YANGA NI ZAIDI YA MCHARO WAWALIZA SIMBA KWEUPEEE GOLI 2 BILA MAJIBU UTEJA KWA SIMBA KWISHINEIIIIIII!!

Yanga ni zaidi ya Mcharo Simba wametepweta baada ya kukubali goli moja kila kipindi alikuwa Tambwe aliandika bao la kwanza dk ya 44 ya kipindi cha kwanza, ikumbukwe kuwa Tambwe alikuwa kipenzi cha wana msimbazi hao na wakampotezea na kunyakuliwa na Yanga. Kipindi cha pili Busungu aliesajiliwa kutoka kwa wafunga buti wa mgambo aliiandikia Yanga bao la 2 dk ya 79. Yanga sasa imefuta uteja uliodumu zaidi ya miaka 5 kila wanavyo kutana na Simbanilikuwa ni kilio tu cha kusanga meno safari hii ni...

 

11 years ago

Mwananchi

KAMPENI SIMBA: Wagombea Simba waijadili Yanga

>Wagombea wa nafasi za urais katika uchaguzi mkuu wa Simba, Andrew Tupa na Evans Aveva wamesema wanachukizwa na uwepo wa makundi katika klabu hiyo pamoja na mafanikio ya watani zao Yanga.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani