Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTEGO WA KUJIUZA WAMBADILI BABY

Stori: Gladness Mallya
BAADA ya mwanamuziki Baby Joseph Madaha kunaswa na mtego wa kujiuza uliotegwa na gazeti hili hivi karibuni, mdada huyo anaonekana kubadilika na anadai mgogoro uliojitokeza kati yake na meneja wake, Joe Kairuki kutokana na tukio hilo umekwisha. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni msanii huyo ambaye ni kati ya wasanii wa kike wanaofanya vizuri alisema, tukio lile limefanya ajifunze kitu na kubadilika kwake...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MFUNGO WAMBADILI JOHARI MAVAZI

Stori: Jamila Said MWIGIZAJI wa filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amesema amewaunga mkono Waislamu kwa kuvaa mavazi ya kujistiri na kuziba sehemu kubwa ya mwili kuheshimu mwezi wa Ramadhani. Mwigizaji wa filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’. Akipiga stori mbili tatu na paparazi wetu, Johari alisema ameamua kufanya hivyo kwa sababu dini zote ni za Mungu na kwa kuwa ni kipindi cha Ramadhani,...

 

10 years ago

Mwananchi

Mtego Mahsusi

GARI moja la Polisi aina ya Toyota Land Cruiser, lililokuwa linaendeshwa kwa mwendo wa kasi, pia likiwasha taa za tahadhari na kupiga honi mfululizo, lilisimamishwa nje ya Kituo Kikuu cha Polisi, jijini Dar es Salaam, kunako majira ya saa nane za mchana. Vumbi zito lilitimka na kuwa na patashika nzito! Askari Polisi wa Kikosi maalumu, waliokuwa na bunduki zao,  walishuka harakaharaka kulizunguka gari hilo, wakiwa wameziweka silaha hizo tayari kwa kuzitumia endepo ingetokea rabsha ya aina...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu: Wanaonipenda Kweli, Wanafiki na Wale Baby Baby NAWAJUA

Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameandika haya kwenye ukurasa wake mtandaoni, bila shaka na wewe ANAKUJUA.

Mnaonipa Moyo na Kunipenda kiukweli....NAWAJUA
Wakuongea Nao Ya Moyoni....NAWAJUA
Wale wa kuni baby baby on IG kumbe Hakuna lolote....NAWAJUA
Wale mnajifanya shoulders to cry on ili mpate kunijua kirahisi...NAWAJUA ila SIWEZI KUWAPA HIYO CHANCE AISEEE...I'm Soleeeeee
Wale tunaochekeana kinafki...NAWAJUA I hope MNANIJUA PIA yani TUNAJUANA
Wale Waukweli kbsa ....NAWAJUA

 

10 years ago

GPL

UANDIKISHAJI KURA NI MTEGO, JINASUE!

UANDIKISHAJI Daftari la Kudumu la Kupigakura limeshakamilika katika Mkoa wa Njombe na habari nzuri ni kwamba vifaa zaidi vya kisasa vya BVR vimewasili, ili kuhakikisha zoezi hili linafanyika kwa ufanisi kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Rais unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Damian Lubuva ametuambia kuwa zoezi hilo lilichukua muda mrefu katika Mkoa wa Njombe kufuatia uchache wa vifaa...

 

9 years ago

Mwananchi

Mtego wa kanuni kuinasa Yanga

Yanga inakabiliwa na adhabu ya ama kulipa faini, kupewa onyo au kufungiwa kutokana na timu hiyo kugomea kutumia vyumba vya kubadilishia nguo na kukiuka kanuni ya 14 ya taratibu za mchezo iliyotolewa msimu huu na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA wakwepa mtego wa CCM

KITENDAWILI cha iwapo wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) watarejea bungeni jana kilishindwa kuteguliwa baada ya mkutano wa mwisho wa kutafuta maridhiano kukwama. Kikao hicho kilichoitishwa na Msajili...

 

10 years ago

GPL

DAVINA AKIRI WASANII KUJIUZA!

Stori: mayasa mariwata
STAA wa Bongo Movies, Halima Yahya ‘Davina’ amekiri kuwa ndani ya tasnia yao, kuna wasanii wengi wa kike wanajiuza kwa maslahi yao binafsi. Staa wa Bongo Movies, Halima Yahya ‘Davina’. Akipiga stori na paparazi wetu, Davina alisema wasanii wanaofanya hivyo ni wale wasio na nia ya dhati, wapo kwenye tasnia kwa ajili ya kuuza sura na kujinadi kwa mapedeshee. “Tatizo ni...

 

11 years ago

GPL

ODAMA: SIKWENDA NJE KUJIUZA

WIKI iliyopita mwigizaji Jennifer Kyaka ‘Odama’ alifafanua mambo mbalimbali aliyopitia maishani likiwemo suala la kuficha ujauzito na mambo mengine ambayo yawezekana ulikuwa huyajui juu yake.
Leo tunamalizia makala haya kwa kutazama majibu ya maswali mbalimbali ambayo nilimuuliza na kuyatolea ufafanuzi. UNGANA NAYE… Mwigizaji wa filamu za kibongo Jennifer Kyaka ‘Odama’ Mwandishi: Wasanii...

 

11 years ago

GPL

KAJALA APANGUA SKENDO YA KUJIUZA

Stori: Imelda Mtema UZUSHI! Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ameitolea mbavuni skendo ya kujiuza nchini China inayowatafuna mastaa wengi wa kike Bongo.
Kajala ambaye mara kwa mara amekuwa akisafiri kwenda nchini China, alipozungumza na paparazi wetu aliruka viunzi na kufafanua: Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja. “China nakwenda kwa pesa zangu, nalipa dola 5000 (business class), nina dili zangu za kikazi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani