Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtemvu anunua albamu ya Nabii Yaspi Mil. 3/-

MBUNGE wa Temeke, Abbas Mtemvu (CCM), mwishoni mwa wiki alinunua DVD ya albamu ya nyimbo za injili ya Nabii wa Kanisa hilo, Yaspi Bendera kwa sh. Milioni tatu. Mtemvu alifanya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

NABII YASPI AWAPONYA WAGONJWA KWA KUTUMIA PAFYUMU DAR

Nabii Yaspi akiibariki moja ya pafyumu hizo. Hapa akiwapulizia wagonjwa mbalimbali. NABII wa Kanisa la…

 

10 years ago

GPL

NABII YASPI BENDERA ATINGA GLOBAL, ATOA UTABIRI KUHUSU UGONJWA WA EBOLA

Nabii Yaspi Paul Bendera akiwa katika studio za Global TV Online kabla ya mahojiano. Nabii Yaspi akijibu maswali ya wanahabari wa GPL (hawapo pichani), mbele ya kamera za Global TV…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtemvu agawa vyakula vya mil.6/-

MBUNGE wa Temeke, Abbas Mtemvu amegawa vyakula vyenye thamani ya sh milioni sita kwa vituo 15 vya kulea watoto yatima na wanaoishi kwenye mazingira magumu wilayani Temeke jijini Dar es...

 

9 years ago

GPL

NELLY KAMWELU ANUNUA LIPSTIK KWA MILIONI 6

Na Musa Mateja MREMBO aliyewahi kunyakua Taji la Dunia la Miss Universe, Nelly Kamwelu, juzikati alionesha jeuri ya pesa baada ya kutoa shilingi milioni 6 za Kitanzania kwa ajili ya kununua rangi ya mdomo (Lipstick) katika mnada uliofanyika wakati wa sherehe ya bethidei ya Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu. Mrembo aliyewahi kunyakua Taji la Dunia la Miss Universe, Nelly Kamwelu. Tukio hilo lilijiri usiku wa kuamkia Novemba 2,...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Idris Sultan anunua nyumba hii ya kifahari!

Ule usemi kuwa hakuna ‘baba/mama mwenye gari’ mjini bali kuna ‘baba/mama mwenye nyumba’, huenda ukawa umemuingia mshindi wa BBA 2014, Idris Sultan. Idris akiwa kwenye nyumba yake Kupitia Instagram, Idris ameonesha nyumba inayoonekana kuwa ameinunua au kukopeshwa na kumshukuru mtu aitwaye Ghalib Said Mohammed “I have seen thousands of people through my life time, got […]

 

10 years ago

Bongo5

Diddy anunua na kuhamia kwenye nyumba ya thamani ya shilingi bilioni 66!

Diddy anahamia kwenye maeneo ya watu wazito jijini Los Angeles. Mtandao wa TMZ umedai kuwa staa huyo amenunua nyumba katika maeneo hayo yenye thamani ya dola milioni 40 ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 66. Ipo maeneo ya Holmby Hills karibu na eneo alilofariki Michael Jackson. Nyumba hiyo ina vyumba vinane vya kulala na mabafu […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Mayweather anunua saa yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2

1214-floyd-mayweather-tmz-2

Floyd Mayweather amefanya yake tena.. Bondia huyo bingwa wa kuchezea hela, amenunua saa ya kifahari yenye thamani ya dola milioni 1.1 ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 2.

1214-floyd-mayweather-tmz-2

Ameinunua saa hiyo kwenye safari yake ya Dubai.

Mwakilishi wake ameiambia TMZ: The watch is roughly $1.1 million. This is just one of his big purchases.”

Saa hiyo ni ya chapa ya Hublot ambayo imezungushiwa almasi.

1214-subasset-floyd-mayweather-tmz-2

Inasemekana kuwa Floyd ametumia zaidi ya dola milioni 1.5 katika siku mbili alizokaa Dubai.

Hii ni mara ya...

 

11 years ago

Michuzi

news alert: ankal anunua ndege kuondokana na adha ya foleni jijini dar es salaam

Ankal akijiandaa kuingia ndani ya ndege yake ndogo inayoweza kutua popote aliyoinunua hivi karibuni kutoka katika visiwa vya Ushelisheli (Seychelles Islands) ili kuepukana na adha ya foleni jijini Dar es salaam.  Ankal ameiambia Globu ya Jamii kwamba amekuwa akisomea urubani wa ndege hiyo kwa siri kwa mwaka mmoja na sasa ameshatimiza  masaa 450 hewani na tayari ameshapata leseni ya kupaa katika jiji la Dar (mchana tu, kati ya saa 12 asubuhi hadi saa 12 jioni) na kutua katika viwanja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani