Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NABII YASPI AWAPONYA WAGONJWA KWA KUTUMIA PAFYUMU DAR

Nabii Yaspi akiibariki moja ya pafyumu hizo. Hapa akiwapulizia wagonjwa mbalimbali. NABII wa Kanisa la…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mtemvu anunua albamu ya Nabii Yaspi Mil. 3/-

MBUNGE wa Temeke, Abbas Mtemvu (CCM), mwishoni mwa wiki alinunua DVD ya albamu ya nyimbo za injili ya Nabii wa Kanisa hilo, Yaspi Bendera kwa sh. Milioni tatu. Mtemvu alifanya...

 

11 years ago

GPL

NABII YASPI BENDERA ATINGA GLOBAL, ATOA UTABIRI KUHUSU UGONJWA WA EBOLA

Nabii Yaspi Paul Bendera akiwa katika studio za Global TV Online kabla ya mahojiano. Nabii Yaspi akijibu maswali ya wanahabari wa GPL (hawapo pichani), mbele ya kamera za Global TV…

 

10 years ago

Michuzi

SYMBION POWER YAWA YA KWANZA KUTUMIA GESI KUTOKA MTWARA KUZALISHA UMEME KWA KUTUMIA BOMBA JIPYA LA KM 487 MJINI DAR ES SALAAM

  DAR ES SALAAM, Tanzania. Tarehe 21 Septemba 2015 -- Symbion Power yenye tawi lake maeneo ya Ubungo leo imetangaza kuwa imefanikiwa katika majaribio ya kutumia gesi asilia katika mitambo yake . Gesi inapatikana  Ghuba ya  Mnazi iliyo karibu na Mtwara Kusini mwa Tanzania. 
Kwa zaidi ya Mwaka mmoja sasa ; Mitambo hii yenye uwezo wa kuzalisha kiasi cha Megawati 120 haikuweza kufanya uzalishaji wowote kutokana na ukosefu wa gesi asilia kama chanzo cha nishati Tanzania


“Kwa mara nyingine Symbion...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Nabii wa dengue’ aibuka Dar, ataka kumwona JK

>Wakati homa ya dengue ikizidi kusambaa nchini, tayari watu 60 wamebainika kuwa na dalili za ugonjwa huo mkoani Lindi, lakini jijini Dar es Salaam ameibuka kiongozi wa dini anayejiita nabii na kwamba anatibu ugonjwa huo kwa kutumia juisi.

 

10 years ago

Mwananchi

Nabii aliyejitabiria kifo afariki dunia Dar

Mwanzilishi wa Kanisa la The Pool of Siloam, Nabii Eliya Adam amefariki dunia juzi mchana, muda mfupi baada ya kuwaeleza wasaidizi wake kuwa siku hiyo ndiyo ilikuwa ya mwisho kwake kuishi duniani.

 

5 years ago

BBCSwahili

Corona: India kutumia mabehewa 500 ya treni kama vyumba vya wagonjwa

India kwa sasa imesema itageuza mabogi ya treni 500 kutoa nafasi ya kuweka vitanda elfu 8 vya wagonjwa wa virusi vya corona.

 

11 years ago

Michuzi

Mgomo baridi wa usafiri BAADA YA DALADALA DAR ES SALAAM KUZUIWA KUTUMIA KITUO CHA MWENGE NA KUTUMIA CHA MAKUMBUSHO

  Abiria wakiwa wanashangaa Daladala zinapita kituo cha Mwenge jijini Dar es salaam bila kusimama, ikiwa ni siku ya kwanza wasafirishaji hao kuamriwa kutumia kituo cha Makumbusho ambacho inaelekea hawaafiki.  Daladala zikiwa zinapita bila kusimama sehemu yoyote  Kituo cha kwenda Tegeta , Kawe na Mbezi kikiwa Kitupu Muda huu  Kituo cha Mabasi Mwenye Cheupe hakuna hata Daladala hata moja  Bajaji ndizo zimegeuka kuwa daladala na ni Tsh 1000 tu kwa mtu mmoja mpaka Mwenge  Eneo ambalo...

 

11 years ago

Michuzi

USAHIHISHAJI WA MITIHANI SHULE ZA MSINGI KWA KUTUMIA KOMPYUTA WAPATA MAFANIKIO JIJINI DAR

Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es salaam Bi. Theresia Mmbado akifunga mafunzo ya siku 3 ya matumizi ya Fomu za OMR kwa walimu wakuu 254 wa shule za Msingi za mkoa wa Dar es salaam yaliyofanyika katika shule ya Sekondari Shaaban Robert. Afisa Elimu wa mkoa wa Dar es salaam Bw. Raymond Mapunda akitoa ufafanuzi kwa walimu wakuu wa shule za Msingi za mkoa wa Dar es Salaam kuhusu namna mkoa ulivyojipanga kutatua changamoto za elimu.  Baadhi ya Walimu wakuu wa shule za Msingi jijini Dar es...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani