Nabii aliyejitabiria kifo afariki dunia Dar
Mwanzilishi wa Kanisa la The Pool of Siloam, Nabii Eliya Adam amefariki dunia juzi mchana, muda mfupi baada ya kuwaeleza wasaidizi wake kuwa siku hiyo ndiyo ilikuwa ya mwisho kwake kuishi duniani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Mwandishi afariki dunia Dar
MWANDISHI wa habari mkongwe, Maurus Sichalwe, amefariki dunia jana nyumbani kwake Mwananyamala Kanisani, Dar es Salaam akiwa na umri wa miaka 83. Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana na...
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Hakimu Mirumbe afariki dunia Dar
10 years ago
Mtanzania08 Apr
Dk. Mhita afariki Dunia Dar es salaam
Patricia Kimelemeta
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa(TMA), Dk Mohamed Mhita amefariki Dunia juzi katika Hospitali ya Agha Khan baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, mtoto wa marehemu, Muhaji Mhita alisema kuwa marehemu alikuwa akisumbuliwa na malaria na alipelekwa hospitalini hapo kwa ajili ya matibabu.
Alisema wanatarajia kuzika leo baada ya kuwasili kwa mke wa marehemu, Mbunge wa Kondoa Kaskazini, Zabein Mhita...
11 years ago
Mwananchi18 May
Mwakapugi afariki dunia Dar es Salaam
11 years ago
Mwananchi10 Feb
Patrick Qorro afariki dunia Dar es Salaam
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JBk-XvRchE0/U_uvlmIj4_I/AAAAAAACoJ0/dy00GGi1WW8/s72-c/Mwanamakuka.jpg)
ALIYEKUWA MSHINDI WA SHINDANO LA MWANAMAKUKA 2013 AFARIKI DUNIA JIJINI DAR.
![](http://2.bp.blogspot.com/-JBk-XvRchE0/U_uvlmIj4_I/AAAAAAACoJ0/dy00GGi1WW8/s1600/Mwanamakuka.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-f_VtfxuqKls/XkUVht6PkhI/AAAAAAALdI8/Nm404myswN8UhHJqU313KiR9KKw3tVePQCLcBGAsYHQ/s72-c/iddi%2Bsimba%2B%25282%2529.jpg)
TANZIA: MZEE IDDI SIMBA AFARIKI DUNIA JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-f_VtfxuqKls/XkUVht6PkhI/AAAAAAALdI8/Nm404myswN8UhHJqU313KiR9KKw3tVePQCLcBGAsYHQ/s400/iddi%2Bsimba%2B%25282%2529.jpg)
Waziri wa zamani wa Viwanda na Biashara katika serikali ya Awamu ya Tatu Mzee Iddi Simba amefariki dunia leo asubuhi katika Tasaisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete jijini Dar es salaam alikokuwa akipatiwa matibabu, binti yake Sauda Simba amethibitisha.
Habari zaidi pamoja na mipango ya mazishi tutajulishana baada ya muda si mrefu
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7rmKpl4NS_s/VcNWAcjEb3I/AAAAAAAHunU/Z7kfmdxEyY8/s72-c/unnamed.jpg)
TANZIA: MZEE JOACHIM AUGUSTINO NGONYANI AFARIKI DUNIA DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-7rmKpl4NS_s/VcNWAcjEb3I/AAAAAAAHunU/Z7kfmdxEyY8/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
CloudsFM31 Oct
MTANGAZAJI MKONGWE WA TBC, BEN KIKO AFARIKI DUNIA JIJINI DAR
ALIYEKUWA mtangazaji maarufu wa Radio Tanzania, Ben Kiko, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Oktoba 31, 2014 akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam alipokuwa akitibiwa.
Kiko amefariki baada ya kusumbuliwa na maradhi ya figo kwa muda mrefu