Mtibwa kujiuliza kwa Ndanda
Mtibwa Sugar iliyojeruhiwa katika mechi mbili zilizopita, inaikabili Ndanda kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara katika mchezo wa Ligi Kuu. Nayo Coastal Union itaikaribisha Mbeya City kwenye Uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen26 Sep
Oljoro backtrack on decision to sue Mtibwa and Ndanda
9 years ago
Dewji Blog21 Nov
Cecafa Senior Challenge tayari kwa kutimua vumbi, Zanzibar Heroes kujiuliza kwa Burundi leo
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mashindano ya Cecafa Senior Challenge yanayoandaliwa na Chama cha Soka kwa Ukanda wa Afrika Mashariki yanatarajiwa kuanza leo nchini Ethiopia.
Ratiba ya michezo ya leo;
GROUP: B
Burundi – Zanzibar 14:00 EAT
GROUP: A
Ethiopia – Rwanda 16:00 EAT
![CECAFA](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/CECAFA.jpg)
9 years ago
Mwananchi17 Oct
Coastal Union kujiuliza kwa Kagera Sugar
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Wachovu Manchester United kujiuliza kwa Sunderland leo
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa
Mchezo wa pili wa Kundi B wa michuano ya Mapinduzi 2016 ulichezwa usiku wa January 3 kwa kuzikutanisha klabu za Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC. Huu ni mchezo ambao ulimalizika kwa sare ya goli 1-1, baada ya Azam FC kusawazisha goli, lakini pia kuna goli lilifungwa na Mtibwa Sugar lilikataliwa na muamuzi na kuleta […]
The post Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Habarileo20 Oct
Azam yaenda kujaribu bahati kwa Ndanda
WAKATI michuano ya Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara ikitarajiwa kuendelea kesho na keshokutwa katika viwanja mbalimbali nchini, timu ya Azam inatarajiwa kuondoka leo kwenda Mtwara kuifuata Ndanda FC ya huko, huku Simba ikiwa jijini Mbeya kuikabili Prisons na Yanga ikiwakaribisha Toto Africans jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Yanga yasaka mabao mengi kwa Ndanda leo
9 years ago
Mtanzania12 Dec
Manchester City kujiuliza kwa Swansea City EPL
LONDON, UINGEREZA
HII inaweza kuwa nafasi nyingine kwa klabu ya Manchester City ya kuongoza Ligi Kuu England kwa tofauti ya mabao ikiwa itaweza kuifunga mabao zaidi ya mawili klabu ya Swansea City.
Hatua hiyo inakuja baada ya kuonekana endapo itafanikiwa kupata alama tatu katika mechi hiyo itafungana kwa alama 32 dhidi ya kinara wa ligi hiyo, Leicester City, hivyo itazilazimu klabu hizo kutofautiana kwa mabao ya kufunga.
Hata hivyo, endapo Manchester City itafanikiwa kupata matokeo mazuri...