Mtikila aonya Watanzania kwa uchaguzi huu
WAKATI joto la uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani likizidi kushika kasi kuelekea Oktoba 25, mwaka huu, siku ambayo Watanzania watapiga kura, Mwenyekiti wa chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila amewataka watanzania kuwa makini katika kuwachagua viongozi watakaowaongoza.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar29 Aug
Kipindi ni Mada moto ,matarajio ya watanzania kwa wakati huu wa kampeni kuelekea uchaguzi 2015
The post Kipindi ni Mada moto ,matarajio ya watanzania kwa wakati huu wa kampeni kuelekea uchaguzi 2015 appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Bongo Movies21 Apr
Huu Ndio Wito wa Mtunis kwa Watanzania Waishio ‘SAUZI’
Utani Kidogo: Kufuatia kile kinachoendelea kule Afrika Kusini, na tamko la waziri wa mambo ya nje wa hapa Tanzania, Staa wa Bongo Movies, Nice Mohammed ‘Mtunis’ ameandika hii kwenye kukursa wake mtandaoni
"Haya jamani wale wenzangu na mimi ambao mumekaa muda mrefu huko SOUTH AFRICA na ukajikuta hata nauli ya kurudia NYUMBANI huna mbaya zaidi hata sababu ya kujitetea muda wote huo umekaa huko huna ulichokifanya mungu keshashua neema yake ni kiasi tu cha kwenda pale kwenye ile KAMBI YA...
9 years ago
Raia Mwema06 Nov
KWA CCM, uchaguzi huu uwe fundisho la mwisho — 1
USHINDI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 unabaki na utaendelea kub
Mwandishi Wetu
9 years ago
Vijimambo12 Oct
MCHANGO WANGU WA MAWAZO KWA WA TANZANIA WAKATI HUU WA UCHAGUZI WA 2015.
![](http://www.kwanzaproduction.com/wp-content/uploads/2014/09/cooltext1706975807.png)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-9rNuS38N3qk/Vf5FzscCXII/AAAAAAAAFog/jYaYc3tpdhQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
NASAHA NA DUA KWA WATANZANIA WAKATI WA UCHAGUZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-9rNuS38N3qk/Vf5FzscCXII/AAAAAAAAFog/jYaYc3tpdhQ/s640/maxresdefault.jpg)
Temebakisha siku leo tu kabla ya kuandika Historia mpya ya nchi yetu tuipendayo Tanzania.Tunakaribia kumpata Rais mpya atakaetuongoza kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.
Kipindi ambacho ni muhimu sana Kwetu na kwa vizazi vyetu kutokana na umuhimu wa upande ambao wananchi tunataka nchi ielekee.
Bila shaka wote tunataka mabadiliko.Tunataka maisha bora,Elimu bora,Miundo Mbinu bora,huduma bora za afya na kijamii,ajira pamoja na Serikali yenye kujali raia wake.Hayo yote...
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
Kalenga iwatayarishe Watanzania kwa Uchaguzi Mkuu 2015?
RAIS wangu Kikwete, Kalenga mkoani Iringa kunafanyika uchaguzi wa kumchagua mbunge. Ni huko huko Iringa ambako Polisi walimlipua kwa bomu mwanamwema Daudi Mwangosi! Kumbukizi la Mwangosi bado linaichoma mioyo ya...
11 years ago
Mtanzania28 Jul
Pinda aonya matumizi ya rushwa uchaguzi mkuu
![Waziri Mkuu Mizengo Pinda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Waziri-Mkuu-Mizengo-Pinda.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amewaonya Watanzania kuwa makini na watu wanaotumia rushwa ili kupata nafasi za uongozi na hasa kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka 2015.
Waziri Mkuu Pinda ametoa onyo hilo jana alipokuwa akizungumza na mamia ya waumini na viongozi mbalimbali waliohudhuria ibada ya uzinduzi wa Dayosisi mpya ya Ruvuma ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) na kuwekwa wakfu Askofu Amon Mwenda aliyeteuliwa kuongoza...
9 years ago
Michuzi19 Aug
KAMATI YA UCHAGUZI DRFA YAELEKEZA UCHAGUZI WA TEFA KUFANYIKA AGOSTI 23 MWAKA HUU