Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtikila aonya Watanzania kwa uchaguzi huu

WAKATI joto la uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani likizidi kushika kasi kuelekea Oktoba 25, mwaka huu, siku ambayo Watanzania watapiga kura, Mwenyekiti wa chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila amewataka watanzania kuwa makini katika kuwachagua viongozi watakaowaongoza.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Kipindi ni Mada moto ,matarajio ya watanzania kwa wakati huu wa kampeni kuelekea uchaguzi 2015

The post Kipindi ni Mada moto ,matarajio ya watanzania kwa wakati huu wa kampeni kuelekea uchaguzi 2015 appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Bongo Movies

Huu Ndio Wito wa Mtunis kwa Watanzania Waishio ‘SAUZI’

Utani Kidogo: Kufuatia kile kinachoendelea kule Afrika Kusini,  na tamko la waziri wa mambo ya nje wa hapa Tanzania, Staa wa Bongo Movies, Nice Mohammed ‘Mtunis’  ameandika hii kwenye kukursa wake mtandaoni

"Haya jamani wale wenzangu na mimi ambao mumekaa muda mrefu huko SOUTH AFRICA na ukajikuta hata nauli ya kurudia NYUMBANI huna mbaya zaidi hata sababu ya kujitetea muda wote huo umekaa huko huna ulichokifanya mungu keshashua neema yake ni kiasi tu cha kwenda pale kwenye ile KAMBI YA...

 

9 years ago

Raia Mwema

KWA CCM, uchaguzi huu uwe fundisho la mwisho — 1

USHINDI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 unabaki na utaendelea kub

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Vijimambo

MCHANGO WANGU WA MAWAZO KWA WA TANZANIA WAKATI HUU WA UCHAGUZI WA 2015.

Kwa viongozi wa ngazi zote, kwa wanasiasa, waumini au washilika wa madhehebu mbali mbali, wafanyakazi wa ngazi zote,wakulima,wafanyavyashala,wanafunzi,watu wa lika zote,wagombea viti mbali mbali n.k. Ndugu na lafiki zangu wa Tanzania, mimi naitwa CHARLES M.KAROLI wa Canada.Kama mtu ambaye niliwahi kuishi Tanzania kama mkimbizi zaidi ya myaka 15 na kukaa katika kambi tofauti mikoani ya Kigoma na Kagera na kutembea ktk mikoa mbali mbali pamoja na kujifunza mambo mengi kwa wa Tanzania ndugu na...

 

9 years ago

Vijimambo

NASAHA NA DUA KWA WATANZANIA WAKATI WA UCHAGUZI

Ndugu Watanzania wenzangu.
Temebakisha siku leo tu kabla ya kuandika Historia mpya ya nchi yetu tuipendayo Tanzania.Tunakaribia kumpata Rais mpya atakaetuongoza kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.
Kipindi ambacho ni muhimu sana Kwetu na kwa vizazi vyetu kutokana na umuhimu wa upande ambao wananchi tunataka nchi ielekee.
Bila shaka wote tunataka mabadiliko.Tunataka maisha bora,Elimu bora,Miundo Mbinu bora,huduma bora za afya na kijamii,ajira pamoja na Serikali yenye kujali raia wake.Hayo yote...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kalenga iwatayarishe Watanzania kwa Uchaguzi Mkuu 2015?

RAIS wangu Kikwete, Kalenga mkoani Iringa kunafanyika uchaguzi wa kumchagua mbunge. Ni huko huko Iringa ambako Polisi walimlipua kwa bomu mwanamwema Daudi Mwangosi! Kumbukizi la Mwangosi bado linaichoma mioyo ya...

 

11 years ago

Mtanzania

Pinda aonya matumizi ya rushwa uchaguzi mkuu

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Na Mwandishi Wetu

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amewaonya Watanzania kuwa makini na watu wanaotumia rushwa ili kupata nafasi za uongozi na hasa kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka 2015.

Waziri Mkuu Pinda ametoa onyo hilo jana alipokuwa akizungumza na mamia ya waumini na viongozi mbalimbali waliohudhuria ibada ya uzinduzi wa Dayosisi mpya ya Ruvuma ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) na kuwekwa wakfu Askofu Amon Mwenda aliyeteuliwa kuongoza...

 

9 years ago

Michuzi

KAMATI YA UCHAGUZI DRFA YAELEKEZA UCHAGUZI WA TEFA KUFANYIKA AGOSTI 23 MWAKA HUU

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI         KAMATI ya uchaguzi DRFA inaelekeza kamati ya uchaguzi ya TEFA kufanya uchaguzi wa viongozi,jumapili tarehe 23/08/2015 katika ukumbi wa JKT kama ilivyopangwa kufanyika hapo awali.Kamati pia inapenda  kuutarifu umma kuwa mchakato huu una Baraka zote kutoka TFF,hivyo uingiliaji wowote unakwenda kinyume na ibara ya 6(1)ya kanuni za uchaguzi za TFF 2013 na ibara za 52(6) na 56(6)(a) za katiba ya TFF ambazo zinaelekeza kuwa majukumu ya uchaguzi yapo chini ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani