Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTIKILA AWA BURUDANI BUNGENI

MWENYEKITI wa Chama cha Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila amekuwa burudani ya aina yake katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma kutokana na misimamo na misemo yake wakati akizungumza na waandishi wa habari. Mtikila hukusanya idadi kubwa ya waandishi kila anapozungumza huku baadhi ya wanasiasa na wajumbe wengine wa Bunge la Katiba wakimshangaa. Jumatatu iliyopita, Mtikila alishangaza alipodai kwamba Baba wa Taifa,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mtikila, Kingunge kivutio bungeni

WAJUMBE wawili wa Bunge Maalumu la Katiba, Kingunge Ngombare-Mwiru (CCM) na Mchungaji Christopher Mtikila (DP), wamekuwa kivutio kwa wajumbe wenzao wakati wa kuapishwa kutokana na misimamo yao. Mtikila  amekuwa na...

 

11 years ago

Mwananchi

Mtikila adai amezuiwa kuchangia bungeni

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Mchungaji Christopher Mtikila amedai hataweza kuchangia tena katika mjadala wa Katiba kwa kuwa Ofisi ya Bunge imempiga marufuku kutokana na kauli zake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngeleja awa kivutio bungeni

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba juzi walishindwa kuzuia hisia zao za mapenzi na kuvutiwa na Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja, mara baada ya kutajwa jina lake kwenda kuapishwa. Ngeleja...

 

9 years ago

CCM Blog

NAPE NNAUYE AWA MMOJA WA WABUNGE WALIOJISAJILI MAPEMA BUNGENI

 Mbunge Mteule wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye akisajiliwa na maofisa wa Bunge, Bungeni mjini Dodoma .
Mbunge Mteule wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye akipongezana na Mbunge Mteule wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Peter Serukamba walipokutana Bungeni mjini Dodoma.

 

11 years ago

Dewji Blog

Skylight Band waleta homa ya burudani ndani ya Jiji la Dar, njoo utibiwe Thai Village Ijumaa hii kwa burudani ya nguvu

DSC_0001

Sam Mapenzi akiamsha amsha Taratibuuuuuuu ndani ya Thai Village.

DSC_0002

Winfrida Richard akiimba kwa sauti nyororooooo kabisaaaa amsha amsha kwa mashabiki ndani ya Thai Village Ijumaa iliyopita.

DSC_0003

Sam Mapenzi kushoto akiwa na Winfrida Richard wakitoa vocal za ukweli kuwapa raha mashabiki wao ndani ya Thai Village.

DSC_0004

DSC_0008

Aneth Kushaba AK47  toka kulia akiongoza makamuzi ndani ya Thai Village Ijumaa iliyopita.

DSC_0011

Joniko Flower kushoto  akiongoza makamuzi ya sebene kaliii akipewa sapoti na Sony Masamba.

DSC_0014

 

11 years ago

Daily News

Mtikila alleges intimidation


Mtikila alleges intimidation
Daily News
A CONSTITUENT Assembly (CA) member, Reverend Christopher Mtikila, has called for respect for all assembly members during sessions, because they represent views from different groups. Speaking on Thursday, Rev Mtikila who is also the chairman of ...

 

9 years ago

GPL

LOWASSA KUMZIKA MTIKILA!

Mwandishi Wetu MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema kupitia mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa, anatarajia kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrati (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, imefahamika. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrati (DP), Mchungaji Christopher Mtikila enzi za uhai wake. Duru za siasa kutoka ndani ya Ukawa, zimebainisha kwamba, licha ya kusambazwa kwenye mitandao kwa taarifa za...

 

9 years ago

Mwananchi

Mtikila azikwa Ludewa

Mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa DP, Mchungaji Christopher Mtikila umezikwa jana katika Kijiji na Kata ya Milo, Wilaya ya Ludewa mkoani Njombe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani