Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtikila, Kingunge kivutio bungeni

WAJUMBE wawili wa Bunge Maalumu la Katiba, Kingunge Ngombare-Mwiru (CCM) na Mchungaji Christopher Mtikila (DP), wamekuwa kivutio kwa wajumbe wenzao wakati wa kuapishwa kutokana na misimamo yao. Mtikila  amekuwa na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mtikila, Makaidi, Kingunge ‘waliteka’ Bunge la Katiba

>Wajumbe watatu wa Bunge Maalumu la Katiba wamekuwa kivutio katika ndani na nje ya Bunge hilo linaloendelea mjini Dodoma.

 

10 years ago

Raia Mwema

Kingunge kakurupuka, Polisi nao wamekurupuka kifo cha Mtikila

HATIMAYE tumebakiwa na takriban wiki mbili tu kabla ya Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika hapo Ok

Evarist Chahali

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngeleja awa kivutio bungeni

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba juzi walishindwa kuzuia hisia zao za mapenzi na kuvutiwa na Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja, mara baada ya kutajwa jina lake kwenda kuapishwa. Ngeleja...

 

11 years ago

GPL

MTIKILA AWA BURUDANI BUNGENI

MWENYEKITI wa Chama cha Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila amekuwa burudani ya aina yake katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma kutokana na misimamo na misemo yake wakati akizungumza na waandishi wa habari. Mtikila hukusanya idadi kubwa ya waandishi kila anapozungumza huku baadhi ya wanasiasa na wajumbe wengine wa Bunge la Katiba wakimshangaa. Jumatatu iliyopita, Mtikila alishangaza alipodai kwamba Baba wa Taifa,...

 

11 years ago

Mwananchi

Mtikila adai amezuiwa kuchangia bungeni

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Mchungaji Christopher Mtikila amedai hataweza kuchangia tena katika mjadala wa Katiba kwa kuwa Ofisi ya Bunge imempiga marufuku kutokana na kauli zake.

 

10 years ago

Vijimambo

KASEJA KIVUTIO SIMBA


Kaseja kivutio Simba
Mara baada ya kocha Goran Kopunovic kumaliza mazoezi ya asubuhi wachezaji wa Simba walimvamia kipa huyo na kuanza kumsalimia huku wengine wakimtania
KIPA Juma Kaseja, leo amekuwa kivutio kikubwa kwa wachezaji wa Simba waliokuwa wakifanya mazoezi kwenye uwanja wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam UDSM.Mara baada ya kocha Goran Kopunovic kumaliza mazoezi ya asubuhi wachezaji wa Simba walimvamia kipa huyo na kuanza kumsalimia huku wengine wakimtania.
Kaseja ameiambia Goal yeye ni...

 

10 years ago

GPL

40 YA MTOTO WA SANDRA KIVUTIO

Imelda Mtema SHEREHE ya kutimiza siku 40 tangu azaliwe mtoto wa msanii nyota wa Bongo Movies, Salama Salmini ‘Sandra’ aitwaye Khaliam zilikuwa kivutio baada ya kuhudhuriwa na mastaa na watu mbalimbali ilipofanyika nyumbani kwa wazazi wa msanii huyo, Tegeta Kibaoni, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.  ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1hFA9ea ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Camara awa kivutio Yanga

Kiungo Lansana Camara kutoka Sierra Leone amesema anafurahia mazoezi katika klabu ya Yanga.

 

10 years ago

GPL

MTOTO WA CIARA AGEUKA KIVUTIO

Msanii wa R&B, Ciara. California, Marekani
MSANII wa R&B, Ciara Princess Harris hivi karibuni mtoto wake, Future Zahir aligeuka kivutio kwenye tamasha la utoaji tuzo za michezo ambazo huandaliwa na watoto ziitwazo, Kid’s Sports Choice Awards. Ciara akiwa na mwanaye.
Katika tuzo hizo ambazo huandaliwa na Kituo cha TV cha Nickelodeon, Ciara alikuwa ameongozana na Future Zahir pamoja na mchumba wake, Rusell Wilson...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani