Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


40 YA MTOTO WA SANDRA KIVUTIO

Imelda Mtema SHEREHE ya kutimiza siku 40 tangu azaliwe mtoto wa msanii nyota wa Bongo Movies, Salama Salmini ‘Sandra’ aitwaye Khaliam zilikuwa kivutio baada ya kuhudhuriwa na mastaa na watu mbalimbali ilipofanyika nyumbani kwa wazazi wa msanii huyo, Tegeta Kibaoni, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.  ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1hFA9ea ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SANDRA AJIVUNIA KUZAA MTOTO WA KIKE

Waandishi wetu STAA wa filamu Bongo, Salma Salmini `Sandra’ ambaye alijichimbia kwa kipindi kirefu baada ya kunasa ujauzito, amebahatika kujifungua mtoto wa kike katika Hospitali ya Santaz iliyopo maeneo ya Mikocheni jijini Dar. Siku chache zilizopita. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1I4XDCX

 

10 years ago

GPL

MTOTO WA CIARA AGEUKA KIVUTIO

Msanii wa R&B, Ciara. California, Marekani
MSANII wa R&B, Ciara Princess Harris hivi karibuni mtoto wake, Future Zahir aligeuka kivutio kwenye tamasha la utoaji tuzo za michezo ambazo huandaliwa na watoto ziitwazo, Kid’s Sports Choice Awards. Ciara akiwa na mwanaye.
Katika tuzo hizo ambazo huandaliwa na Kituo cha TV cha Nickelodeon, Ciara alikuwa ameongozana na Future Zahir pamoja na mchumba wake, Rusell Wilson...

 

10 years ago

Tanzanians Lack Reading Culture

Sandra Mushi


Sandra Mushi - Tanzanians Lack Reading Culture
AllAfrica.com
TANZANIANS do not have a strong reading culture, may be it's because books are often expensive or many do not like reading books, but when it comes to investing in knowledge nothing is pricey. Something should be done beginning with children by ...

 

10 years ago

GPL

SANDRA: NACHUKIA UKE WENZA

Stori: Rhoda Josiah
MKONGWE kwenye sanaa Bongo, Salama Salmin ‘Sadra’ amesema kuwa hakuna kitu anakichukia maishani kama uke wenza. Mkongwe kwenye sanaa ya maigizo Bongo, Salama Salmin ‘Sandra’. Akipiga stori na mwandishi wa gazeti hili, Sadra ambaye tayari ni mke wa mtu, alisema anajiamini kwa kila jambo ambalo analifanya katika maisha yake na hayupo tayari kukubali kabisa suala la uke wenza kwani...

 

11 years ago

GPL

SANDRA: WASANII TUMRUDIE MUNGU

Msanii wa filamu Bongo, Salma Salmin ‘Sandra’ akilia kwa huzuni baada ya kifo cha Adam Kuambiana. Stori: Gladness Mallya KUFUATIA kifo cha msanii mkongwe wa filamu Bongo, Adam Kuambiana, msanii mwenzake, Salma Salmin ‘Sandra’ amewataka wasanii kubadili mfumo wa maisha na kumrudia Mungu. Baadhi ya wasanii na jamaa wa karibu wa marehemu Adam Kuambiana wakiuchukua mwili.
Akizungumza na… ...

 

11 years ago

GPL

SANDRA AKUMBUSHIA MATESO YA KAOLE

Stori: Mayasa Mariwata
MUUZA sura wa sinema za Kibongo, Salma Salmini ‘Sandra’ ametoa dukuduku lake baada ya kuelezea mateso aliyopata kipindi alipokuwa anaanza kujihusisha na masuala ya sanaa katika Kundi la Kaole. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Salma Salmini ‘Sandra’ Sandra aliliambia Ijumaa kuwa, mateso anayoyazungumzia ni yale ya kunyanyaswa na wasanii wenzake huku wakimfanyia vitimbi vya kila...

 

11 years ago

GPL

SANDRA AONYA MASTAA WASAGAJI

Na Mayasa Mariwata MSANII wa filamu za Kibongo, Salma Salmini ‘Sandra’ amesema  kinachowaponza mastaa wengi kutopenda kuingia kwenye ndoa ni kupenda vitendo vya usagaji na ushoga. Msanii wa filamu za Kibongo, Salma Salmini ‘Sandra’ Akipiga stori na paparazi wetu, Sandra  alisema vitendo hivyo vimekuwa vikishamiri siku hadi siku kwa mastaa hususan wa filamu kwa tabia ya kupenda kuiga nchi za...

 

9 years ago

Global Publishers

Mama Samia ampa kiwewe Sandra

sandra35Msanii wa filamu Bongo, Salama Salmini ‘Sandra.

Na Gladness Mallya
MAKUBWA! Msanii wa filamu Bongo, Salama Salmini ‘Sandra’ hivi karibuni alijikuta akipata kiwewe mbele ya Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu kwa kurudia kupiga naye picha zaidi ya mara mbili.

Ishu hiyo ilitokea wakati Mama Samia akiongoza kufanya usafi maeneo ya Kinondoni, Dar ambaye baada ya zoezi hilo, alipozi ili kupiga picha na wananchi mbalimbali waliojitokeza kuunga mkono wito wa Rais Magufuli wa kufanya usafi.

“Unajua...

 

11 years ago

GPL

SANDRA AMPA TANO STEVE NYERERE

Stori: Rhoda Josiah CHUKUA tano! Staa sinema za Kibongo, Salma Salim ‘Sandra’ amesema kuwa kutoka moyoni mwake anamkubali msanii mwenzake, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ baaada ya kupewa nafasi ya Ukatibu Kata ya Bwawani, Kinondoni jijini Dar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM). Staa wa sinema za Kibongo, Salma Salim ‘Sandra’. Akipiga stori mbili tatu  na mwandishi wa gazeti hili, Sandra...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani