SANDRA AONYA MASTAA WASAGAJI
![](http://api.ning.com:80/files/79FAz6LP6HjrQIwgN*jYng-YBdsnjXbwUaODEOQjzYnCj9dlWCxbu8yenik1iSbysysOHySFKCutZbOKLT8hwuGX6eqyeonb/snura1.jpg?width=650)
Na Mayasa Mariwata MSANII wa filamu za Kibongo, Salma Salmini ‘Sandra’ amesema kinachowaponza mastaa wengi kutopenda kuingia kwenye ndoa ni kupenda vitendo vya usagaji na ushoga. Msanii wa filamu za Kibongo, Salma Salmini ‘Sandra’ Akipiga stori na paparazi wetu, Sandra alisema vitendo hivyo vimekuwa vikishamiri siku hadi siku kwa mastaa hususan wa filamu kwa tabia ya kupenda kuiga nchi za...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8QOPGYNO0tj8qZRDf33bZ0SZVyuzfGb-KaPL5kF9JiFFD94zC*tCUmiBt5o5sBFvlLS6fzAa-I47t3H8K9j-RsM0fYu9O0uv/shogaz.jpg)
TUMEKWISHA! MASHOGA, WASAGAJI WAFANYA MKUTANO DAR
Stori: Shakoor Jongo Tumekwisha! Taarifa ikufikie kwamba wanaume tata ambao si riziki (mashoga) na wanawake wanaojishughulisha na mapenzi ya jinsi moja (wasagaji) kutoka nchi mbalimbali wamefanya mkutano wao mkubwa wa kimataifa jijini Dar, Ijumaa Wikienda lina mkanda mzima. Mashoga wakiandamana kudai haki zao. Tukio hilo lililonaswa na gazeti hili lilifanyika kwa siku tatu mfululizo mwishoni mwa wiki iliyopita katika hoteli...
11 years ago
Michuzi26 Feb
MSAADA TUTANI: Ninataka Kujitoa Kwenye Klabu Ya Wasagaji Matajiri
Habari za leo ndugu, ninakuomba unisaidie kuweka waraka wangu kwenye blogu yako, ili watu wenye uwezo wa kunisaidia hata kwa ushauri tu, waweze kunisaidia kwani nipo katika wakati mgumu sana sasa hivi Natanguliza shukurani zangu za dhati kwako.
Kwa ufupi mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 26 . Ninaishi Dar Es salaam na kazi yangu ni mfanyabishara. Baada ya maisha kunipiga sana, niliamua kwenda kuomba ushauri kwa mdada mmoja ...
Kwa ufupi mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 26 . Ninaishi Dar Es salaam na kazi yangu ni mfanyabishara. Baada ya maisha kunipiga sana, niliamua kwenda kuomba ushauri kwa mdada mmoja ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OcxvxG4wHxY86mIhSd1SkilbzSd1sHMUhbJLy3nt4AkE-9m2oiCzgzDfjO5mZUemaejGaS1vIRh-d9BPEXH*Ma5pOUp424Oj/CATHY.jpg?width=650)
ISHU YA MASTAA KUJIUZA CATHY AWALAUMU MASTAA WA KIUME
Na Mayasa Mariwata
MKONGWE kwenye tasnia ya filamu Bongo, Subrina Rupia ‘Cathy’ amewalaumu vikali mastaa wa kiume Bongo kuwa ndiyo chanzo kikubwa cha tasnia kutawaliwa na mastaa wa kike wanaojiuza. Mkongwe kwenye tasnia ya filamu Bongo, Subrina Rupia ‘Cathy’ Akizungumzia kuhusiana na kuwepo kwa madai ya wasanii wa kike Bongo Movie kujiuza, Cathy alisema hawezi kuweka wazi kama anawajua wahusika au...
10 years ago
Tanzanians Lack Reading Culture08 Dec
Sandra Mushi
AllAfrica.com
TANZANIANS do not have a strong reading culture, may be it's because books are often expensive or many do not like reading books, but when it comes to investing in knowledge nothing is pricey. Something should be done beginning with children by ...
9 years ago
GPL40 YA MTOTO WA SANDRA KIVUTIO
Imelda Mtema
SHEREHE ya kutimiza siku 40 tangu azaliwe mtoto wa msanii nyota wa Bongo Movies, Salama Salmini ‘Sandra’ aitwaye Khaliam zilikuwa kivutio baada ya kuhudhuriwa na mastaa na watu mbalimbali ilipofanyika nyumbani kwa wazazi wa msanii huyo, Tegeta Kibaoni, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1hFA9ea ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ac68YxxsLJ1Um6MUcpbOKCcd3st7EVf8x2kG1ORBOUdQ5OhL2a4*IMv1oVxj1EPtwDthnlwGMcjMJxXBo1hS43MuAE1FqVnX/sandra.jpg)
SANDRA AKUMBUSHIA MATESO YA KAOLE
Stori: Mayasa Mariwata
MUUZA sura wa sinema za Kibongo, Salma Salmini ‘Sandra’ ametoa dukuduku lake baada ya kuelezea mateso aliyopata kipindi alipokuwa anaanza kujihusisha na masuala ya sanaa katika Kundi la Kaole. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Salma Salmini ‘Sandra’ Sandra aliliambia Ijumaa kuwa, mateso anayoyazungumzia ni yale ya kunyanyaswa na wasanii wenzake huku wakimfanyia vitimbi vya kila...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t8oueEU5ZFJcK-V1vePTe7f*zjqzwUox8YFSupGacm048ORPT82OxLBxeqwQNV3Bqnb-TC8ZO3iXOhEzoBTT8r0g*3A4WDK7/sandra.jpg)
SANDRA: NACHUKIA UKE WENZA
Stori: Rhoda Josiah
MKONGWE kwenye sanaa Bongo, Salama Salmin ‘Sadra’ amesema kuwa hakuna kitu anakichukia maishani kama uke wenza. Mkongwe kwenye sanaa ya maigizo Bongo, Salama Salmin ‘Sandra’. Akipiga stori na mwandishi wa gazeti hili, Sadra ambaye tayari ni mke wa mtu, alisema anajiamini kwa kila jambo ambalo analifanya katika maisha yake na hayupo tayari kukubali kabisa suala la uke wenza kwani...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCByva-AVH0704ihFwr0xm1UUe2SwzELTtybEeiVwTAmGQSU27seNVeRSLOQjxK1xa9zckjzghLacjqSbW52nUcm/IMG_1356.jpg?width=650)
SANDRA: WASANII TUMRUDIE MUNGU
Msanii wa filamu Bongo, Salma Salmin ‘Sandra’ akilia kwa huzuni baada ya kifo cha Adam Kuambiana. Stori: Gladness Mallya KUFUATIA kifo cha msanii mkongwe wa filamu Bongo, Adam Kuambiana, msanii mwenzake, Salma Salmin ‘Sandra’ amewataka wasanii kubadili mfumo wa maisha na kumrudia Mungu. Baadhi ya wasanii na jamaa wa karibu wa marehemu Adam Kuambiana wakiuchukua mwili.
Akizungumza na… ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnXJe1UxhxtCuiV2im8hCLRMZfL43RyGrlfdKB*8WDkWorvwdLkS3jkroo1xe29ATF5bblFJhwAWCAzQm*YZUUCW/SANDRA.jpg)
SANDRA ATOKA NDUKI KISA AIBU
Stori: Shani Ramadhani
MSANII wa filamu Bongo, Salma Salmini ‘Sandra’ alijikuta akitoka nduki katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar kwa kukwepa aibu baada ya timu yao ya Bongo Movie Unity kufungwa na Bongo Fleva bao mbili bila. Msanii wa filamu Bongo, Salma Salmini ‘Sandra’ Sandra alionekana akitimka mapema uwanjani baada ya mechi kuisha huku akisema anaona aibu kupokea kipigo hicho ambacho kimejirudia...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania