Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TUMEKWISHA! MASHOGA, WASAGAJI WAFANYA MKUTANO DAR

Stori: Shakoor Jongo Tumekwisha! Taarifa ikufikie kwamba wanaume tata ambao si riziki (mashoga) na wanawake wanaojishughulisha na mapenzi ya jinsi moja (wasagaji) kutoka nchi mbalimbali wamefanya mkutano wao mkubwa wa kimataifa jijini Dar, Ijumaa Wikienda lina mkanda mzima. Mashoga wakiandamana kudai haki zao. Tukio hilo lililonaswa na gazeti hili lilifanyika kwa siku tatu mfululizo mwishoni mwa wiki iliyopita katika hoteli...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA WAFANYA MKUTANO MKUBWA JIJINI DAR ES SALAAM KUJAILI MCHANGO WA DIPLOMASIA KATIKA KUFIKIA DIRA YA TAIFA 2025

Mkutano wa Mabalozi wa Tanzania ulioanza Mei 25-27, 2015 katika hoteli ya Ramada, Dar es Salaam. Lengo kuu la mkutano huo ni kujadili utekelezaji wa Sera ya Mambo ya Nje na mchango wa Wizara kufikia Dira ya Taifa 2025. Mkutano huu ni wa nne kufanyika tangu ule wa kwanza uolifanyika mwaka 1999 katika hoteli ya Whitesands, Dar es Salaam.Kauli mbiu ya mkutano ni Diplomasia ya Tanzania Kuelekea Dira ya Taifa 2025. Ujumbe huo umechaguliwa kwa kuzingatia mchango wa Wizara ya Mambo ya Nje na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama na Castro wafanya mkutano.

Viongozi wa marekani na Cuba, Barack Obama na Raul Castro wamefanya mkutano wao wa kwanza tangu zaidi ya nusu karne iliyopita.

 

11 years ago

Habarileo

Polisi wa Kenya, Tanzania wafanya mkutano

MAOFISA wa Polisi wa vituo vya mipakani kutoka nchini na Kenya, wamefanya mkutano wa ujirani mwema. Mkutano huo ulishirikisha waendesha pikipiki za bodaboda na lengo ni kukomesha uhalifu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM wafanya vurugu mkutano wa CUF

VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na wafuasi wao wanadaiwa kuvamia eneo la mkutano uliokuwa umeandaliwa na Chama cha Wananchi (CUF), eneo la Buguruni jijini Dar es Salaam kwa ajili...

 

9 years ago

Vijimambo

ADC wafanya mkutano wa Kampeni jimbo la Mkoani

WANANCHI wa Ngombeni Jimbo la Mkoani wakimsikiliza kwa makini Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ADC Mhe:Hamad Rashid Mohamed, wakati alipokuwa akuhutubia wananchi katika mkutano wa hadhara wa chama hicho.(Picha na Abdi Suleiman,PEMBA.)MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia chama cha ADC Mhe:Hamad Rashid Mohamed, akizungumza na wanachama wa chama hicho wakati wa mkutano wa hadhara wa kuwanadi wagombea wa Jimbo la Mkoani, huko katika uwanja wa Ngombeni Wilaya ya MkoaniMGOMBEA Urais wa...

 

11 years ago

Michuzi

WAFANYABIASHARA WAFANYA MKUTANO KUJADILI MASWALA YA KIBIASHARA YA AFRIKA MASHARIKI

Ofisa mikopo kwa wateja wadogowadogo wa Benki ya KCB Tanzania,Teresia Soko akitoa mada kuhusiana na baadhi ya huduma za benki hiyo kwa Wafanyabiashara mbalimbali wa mipaka ya Tanzania,Ambao walikutana jijini Arusha kujadili mikakati ya kibiashara katika soko la jumuiya ya afrika mashariki. Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika mashariki Richard Sesibera(kushoto)akiteta jambo na Mwenyekiti wa chama cha wafanyabiashara wa Jumuiya ya Afrika mashariki,Felix Mosha,wakati wa mkutano wa...

 

11 years ago

Michuzi

SIMBA WAFANYA MKUTANO, YAWAFUKUZA WANACHAMA 72 WALIOFUNGUA KESI MAHAKAMANI

Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva akifafanua jambo wakati wa mkutano maalum wa wananchama wa klabu hiyo uliofanyika kwenye Bwalo la Maofisa wa Polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande) Baadhi ya wanachama wa Simba wakiwa katika mkutano maalum wa klabu hiyo jijini Dar es Salaam Baadhi ya wanachama wa Simba wakihakiki kadi zao kabla ya kuingia katika ukumbi wa mkutano. Mwenyekiti wa zamani wa Simba, Hassan Dalali akipitia nyaraka za klabu hiyo wakati akiingia katika...

 

11 years ago

GPL

SANDRA AONYA MASTAA WASAGAJI

Na Mayasa Mariwata MSANII wa filamu za Kibongo, Salma Salmini ‘Sandra’ amesema  kinachowaponza mastaa wengi kutopenda kuingia kwenye ndoa ni kupenda vitendo vya usagaji na ushoga. Msanii wa filamu za Kibongo, Salma Salmini ‘Sandra’ Akipiga stori na paparazi wetu, Sandra  alisema vitendo hivyo vimekuwa vikishamiri siku hadi siku kwa mastaa hususan wa filamu kwa tabia ya kupenda kuiga nchi za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani