Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTITU: SIONI SHIDA KUMBEBA MGONGONI MWANANGU

Stori: Gladness Mallya
MALEZI! Msanii wa filamu Bongo, William Mtitu amefunguka kuwa haoni shida kumsaidia mkewe kumlea mtoto ikiwa ni pamoja na kumbeba mgongoni. Msanii wa filamu Bongo, William Mtitu akiwa na mke wake. Mtitu alisema huwa anawashangaa wanaume wanaoshindwa kuwasaidia wake zao kulea kwa kigezo kwamba siyo kazi yao hasa wanaume wa mjini jambo ambalo linawakandamiza wanawake kwani raha ya ndoa ni kusaidiana...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Bilohe: Sioni mgombea tishio

Makada sita wa CCM jana walijitokeza kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya chama hicho kupitishwa kugombea urais, akiwamo mkulima mwenye elimu ya msingi, Elidephonce Bilohe ambaye alisema “haoni mtu tishio” kwake kwenye mbio hizo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal: Sioni haja ya kujiuzulu

Meneja wa Manchester Louis van Gaal, amesema haoni haja ya kujiuzulu baada ya timu yake kutoka sare ya 0-0 na Chelsea uwanjani Old Trafford.

 

10 years ago

Mtanzania

Izo Business: Sioni umuhimu wa kujihusisha na siasa

izzoNA JUMA HEZRON, DAR ES SALAAAM
MSANII wa muziki wa Hip Hop, Emmanuel Simwinga ‘Izo Business’, amesema licha ya kushauriwa na rafiki zake kuingia kwenye siasa, bado hajaona umuhimu wa kufanya hivyo.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Izo Business alisema hakuna umuhimu wa kuingia kwenye siasa, kwani inatakiwa mtu ajitoe kwa ajili ya watu na siyo kuingia ili ujipatie fedha kama yalivyo mawazo ya wasanii wengi.
“Siasa kwa upande wangu sijaipa kipaumbele, ingawa nimeshawishiwa na marafiki zangu...

 

9 years ago

Habarileo

Uzoefu, busara kumbeba Spika

WABUNGE jana walianza kujisajili kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kwanza wa Bunge la 11 wiki ijayo, huku wengi wao wakitoa maoni ya sifa wanazozitaka kwa Spika mpya wa Bunge hilo, zikiwemo uzoefu, busara, kujua kanuni na mwenye utayari wa kuyakabili mabadiliko.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sekeleti kumbeba Rose Muhando

MWIMBAJI mahiri wa muziki wa injili, Ephraim Sekeleti, atatumbuiza katika uzinduzi wa albamu ya ‘Kamata Pindo la Yesu’ ya Rose Muhando utakaofanyika Agosti 3, Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar...

 

11 years ago

Bongo5

New Music: Papaa Masai Ft. Tunda Man — Sioni Ajabu

Huu ni wimbo Mpya kutoka kwa Papaa Masai akimshirikisha Tunda Man ngoma inaitwa “Sioni Ajabu” Producer Fraga Studio Uprise Music

 

10 years ago

Habarileo

Nishati wazidi kumbeba Prof. Muhongo

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter MuhongoWAKATI Watanzania wakisubiri uchunguzi unaofanywa na Serikali kuhusu utoaji wa fedha Sh bilioni 182.77 katika akaunti ya Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), taarifa zaidi zimebainisha kuwa uongozi wa miaka miwili ya Wizara ya Nishati na Madini, chini ya Waziri Profesa Sospeter Muhongo, umefanikisha ongezeko la umeme katika Gridi ya Taifa.

 

10 years ago

Mwananchi

Gesi kumbeba Muhongo mbio za Urais

Umoja wa Watu wenye Ulemavu katika Mkoa wa Mwanza unaojulikana kwa jina la ‘Walemavu tunaweza’, umesema nchi inapaswa kuongozwa na mtu mwenye uelewa wa masuala ya gesi ili atumie nishati hiyo, kuwaletea wananchi maendeleo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani