Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bilohe: Sioni mgombea tishio

Makada sita wa CCM jana walijitokeza kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya chama hicho kupitishwa kugombea urais, akiwamo mkulima mwenye elimu ya msingi, Elidephonce Bilohe ambaye alisema “haoni mtu tishio” kwake kwenye mbio hizo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal: Sioni haja ya kujiuzulu

Meneja wa Manchester Louis van Gaal, amesema haoni haja ya kujiuzulu baada ya timu yake kutoka sare ya 0-0 na Chelsea uwanjani Old Trafford.

 

10 years ago

Mtanzania

Izo Business: Sioni umuhimu wa kujihusisha na siasa

izzoNA JUMA HEZRON, DAR ES SALAAAM
MSANII wa muziki wa Hip Hop, Emmanuel Simwinga ‘Izo Business’, amesema licha ya kushauriwa na rafiki zake kuingia kwenye siasa, bado hajaona umuhimu wa kufanya hivyo.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Izo Business alisema hakuna umuhimu wa kuingia kwenye siasa, kwani inatakiwa mtu ajitoe kwa ajili ya watu na siyo kuingia ili ujipatie fedha kama yalivyo mawazo ya wasanii wengi.
“Siasa kwa upande wangu sijaipa kipaumbele, ingawa nimeshawishiwa na marafiki zangu...

 

10 years ago

GPL

MTITU: SIONI SHIDA KUMBEBA MGONGONI MWANANGU

Stori: Gladness Mallya
MALEZI! Msanii wa filamu Bongo, William Mtitu amefunguka kuwa haoni shida kumsaidia mkewe kumlea mtoto ikiwa ni pamoja na kumbeba mgongoni. Msanii wa filamu Bongo, William Mtitu akiwa na mke wake. Mtitu alisema huwa anawashangaa wanaume wanaoshindwa kuwasaidia wake zao kulea kwa kigezo kwamba siyo kazi yao hasa wanaume wa mjini jambo ambalo linawakandamiza wanawake kwani raha ya ndoa ni kusaidiana...

 

11 years ago

Bongo5

New Music: Papaa Masai Ft. Tunda Man — Sioni Ajabu

Huu ni wimbo Mpya kutoka kwa Papaa Masai akimshirikisha Tunda Man ngoma inaitwa “Sioni Ajabu” Producer Fraga Studio Uprise Music

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sioni haja ya ukomo nyota wageni timu za Ligi Kuu

KUMEKUWEPO na maoni tofauti juu ya idadi ya wachezaji wa kigeni katika timu za Ligi Kuu nchini; kwa wengine kupendekeza wawe wengi zaidi kuongeza ushindani wa kupata namba katika kikosi...

 

9 years ago

Bongo5

Nuh Mziwanda: Sioni tatizo kwa msanii kuonesha mahaba kwa chama anachokipenda

Nuh Mziwanda amewataka wasanii kuwa wazalendo kwa kuonyesha hisia zao za vyama vya siasa na kuonyesha ushirikiano katika kuhamasisha. Akizungumza na Planet Bongo ya East Africa Radio leo, Nuh alisema maendeleo yatakayopatikana ni manufaa kwa watanzania wote kwa ujumla. “Wewe ukiwa msanii sio kwamba sio mwananchi wa kawaida,” alisema. “Wewe pia unahitaji kutawaliwa vizuri. Unahitaji […]

 

9 years ago

Vijimambo

MGOMBEA MWENZA WA UKAWA AMNADI MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KISARAWE RASHID MWISHEHE "KINGWENDU"



 Mgombea Mwenza wa Ukawa Juma Duni Haji akipokea kadi ya CCM kutoka kwa mwanachama wa chama hicho, Kasim Msham aliyekihama na kujiunga na CUF katika kijiji cha Nanjilinji Mkoa wa Lindi. (Picha na Francis Dande)Kadi za CCM zilizorudishwa na wanachama wa Chama hicho na kujiunga na CUF katika kijiji cha Nanjilinjimkoa wa Lindi.
 Umati wa watu ukiwa katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Shule ya Msingi Majengo wilayani Bagamoyo. Umati wa watu ukiwa katika mkutano wa kampeni...

 

10 years ago

Mwananchi

Mgombea urais mteule John Magufuli amteua Samiah Suluhu Hassan kuwa mgombea mwenza

Mgombea urais mteule kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amteua Samiah Suluhu Hassan kuwa mgombea mwenza  kwenye Uchaguzi  Mkuu 2015.

 

9 years ago

Dewji Blog

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani