Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtoni Sabasaba walalamikia TRH

WAKAZI wa Mtoni Sabasaba mtaa wa Chaurembo, wamelalamikia kitendo cha Kampuni ya Usafirishaji (TRH), kuendelea na ujenzi hali ya kuwa hajawalipwa fedha zao, jambo wanalohisi anataka kuwahamisha kwa nguvu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

60 wanusurika kufa mtoni

Mkuu wa wilaya ya Busega, Paul Mzindakaya
Zaidi ya abiria 60 waliokuwa wakisafiri na basi la kampuni ya Mwanza Coach, kwenda Musoma mjini wamenusurika kufa baada ya tairi la mbele kupasuka na kutumbukia mtoni.

Tukio hilo limetokea juzi na kulihusisha basi lenye namba za usajili T714 BJB ambalo baada ya tairi kupasula liliacha kuacha njia.

Mkuu wa wilaya ya Busega, Paul Mzindakaya, alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kwamba watu tisa walipata michubuko kidogo baada ya basi hilo kutumbukia...

 

10 years ago

GPL

AFARIKI AKIFANYA MASIHARA MTONI

Marehemu Jackson Nyambele enzi za uhai wake.
WAANDISHI wetu
KIJANA mmoja aliyefahamika kwa jina la Jackson Nyambele (28) mkazi wa Mbezi Mtoni jijini Dar, amefariki dunia baada ya kusombwa na maji ya mto uliopo Mbezi alipokuwa akifanya masihara na wenzake.Tukio hilo la kusikitisha lilitokea Machi 22, mwaka huu ambapo chanzo chetu makini kinadai kuwa, awali marehemu alikuwa akibishana na wenzake kwamba yeye anaweza kuvuka...

 

10 years ago

Habarileo

Majambazi 5 wauawa wakiogelea mtoni

WATU watano wanaosadikiwa kuwa majambazi, wamepigwa kwa mawe hadi kufa wakijaribu kutoroka nguvu za umma kwa kutumia Mto Mara, wilayani Tarime huku wakiwa na bunduki mbili zinazotumika vitani aina ya sub machine gun (SMG).

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndege ya Taiwan yaangukia mtoni

Ndege inayoimilikiwa na Shirika la Ndege la Taiwan, la TransAsia imepata ajali na kuangukia kwenye mto katika mji mkuu, Taipei.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Vedio- Mkutano wa Kampeni za Urais Mtoni

The post Vedio- Mkutano wa Kampeni za Urais Mtoni appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtoto anusurika baada ya kutumbukia mtoni

Mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja amenusuriwa kutoka mtoni zaidi ya saa 14 baada ya gari lao kutumbukia

 

9 years ago

Habarileo

Basi lenye abiria 42 latumbukia mtoni

WATU sita wamekufa papo hapo na wengine 25 kujeruhiwa na kulazwa hospitalini kutokana na ajali mbili tofauti. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo, alisema mjini hapa jana kuwa ajali ya kwanza, ilihusisha basi la abiria lililokuwa na abiria 42, ambalo liligonga kingo za daraja, likaparamia miti miwili kisha kutumbukia ndani ya mto Lukosi, Iyovi eneo la Msosa huko Mikumi wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, katika barabara kuu ya Iringa – Morogoro.

 

10 years ago

GPL

MH. TEMBA AANGUSHA BETHIDEI YA NGUVU MTONI, DAR

Picha kubwa ya Mh.Temba. Mashabiki wa msanii huyo wakifuatilia moja ya burudani zilizokuwepo. Bendi ya Isha Mashauzi…

 

11 years ago

Habarileo

Kinana aonya uzalishaji gesi dampo la Mtoni

KATIBU Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahaman Kinana, amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kuwa mwangalifu na wawekezaji wapya wanaotaka kuchukua mradi wa uzalishaji gesi kwa kutumia takataka katika dampo la Mtoni kwa Azizi Ally.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani