Mtoto albino anyakuliwa mbele ya wazazi
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Valentino Mlowola.
Mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Pendo Emmanuel (4), ameibiwa nyumbani kwao katika kijiji cha Ndami, Tarafa ya Mwamashimba, Wilaya ya Kwimba, mkoani Mwanza, akiwa amelala na wazazi wake.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Valentino Mlowola, akizungumza na waandishi wa habari jana, alisema kuwa tukio hilo lilitokea Desemba 27, mwaka huu saa 4:30 usiku, baada ya watu hao kuvunja mlango wa nyumba kwa kutumia jiwe kubwa, maarufu kama...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog15 Jun
UN yaisifu Tanzania kuwa mstari wa mbele kutetea albino
Baadhi ya watu wenye ulemavu wakipita na mabango yenye ujumbe katika mitaa mbalimbali ya Jiji la Arusha kwa maandamano kwenye maadhimisho ya Siku yao ambayo inalenga kutoa elimu ya kupinga matendo maovu wanayofanyiwa na watu wenye nia mbaya.(Picha na modewjiblog)
Na Mwandishi wetu, Arusha
MRATIBU Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mkurugenzi wa Shirika la Mpango wa maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodgriguez amepongeza Tanzania kwa kuwa mstari wa mbele kushawishi dunia siku ya...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/UN-12.jpg?width=640)
UN YAISIFU TANZANIA KUWA MSTARI WA MBELE KUTETEA ALBINO
10 years ago
BBCSwahili25 Feb
UK yapitisha Sheria ya mtoto wa wazazi 3
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_lLITEcPF8o/U8ZiurAkz8I/AAAAAAAF2tU/IsDjezrFA70/s72-c/IMG-20140716-WA0000.jpg)
MTOTO ANATAFUTWA NA WAZAZI WAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-_lLITEcPF8o/U8ZiurAkz8I/AAAAAAAF2tU/IsDjezrFA70/s1600/IMG-20140716-WA0000.jpg)
Tunawaomba Watanzania na watu wote mtusaidie kumtafuta mtoto wetu. Maneno yanayosemwa kwamba kachukuliwa na baba yake si ya kweli kwani mimi ndiye baba yake mzazi na tunaishi pamoja na mke wangu.
Asanteni sana kwa msaada wenu na Mungu awabariki.
![](http://4.bp.blogspot.com/-10qH2Fj-ndk/U8Zj2y52sYI/AAAAAAAF2tg/vAw_5olN6uY/s1600/IMG-20140716-WA0001.jpg)
10 years ago
Habarileo10 Oct
'Wazazi zingatieni haki za mtoto'
WAZAZI na walezi wa watoto wamehimizwa kuzingatia haki za mtoto katika malezi yao kuanzia ngazi ya familia kwa kuwapa stahili zote muhimu zinazotajwa katika Katiba, sheria na mikataba ya kimataifa ambayo Tanzania imeiridhia.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q7T2q86GkzU*BQnXaPUMs524QpZ*1hYVfDJ8Xx80R*xrnyZ456KD8LYpVeXSZFAC4ttrw-2Kbql*Y3IogKmy4MCEUJ5uwZvc/wazazi8.jpg)
WAZAZI WASUSA MAITI YA MTOTO WAO
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wXm8jmQncmA/VjChSF0I61I/AAAAAAAIDKA/wWQW3dD64-8/s72-c/unnamed.png)
Mtoto Amepotea, anatafutwa na wazazi wake
![](http://1.bp.blogspot.com/-wXm8jmQncmA/VjChSF0I61I/AAAAAAAIDKA/wWQW3dD64-8/s1600/unnamed.png)
Miaka: 12, mweupe
Kawaida anaishi na babu mzaa mama yake kijiji cha Kikore wilayani Babati Mkoa wa Manyara. Anasoma Kikore shule ya Msingi darasa la saba.Alitoweka nyumbani kwa babu yake tarehe 16/10/2015, mida ya saa nane mchana akiaga anaelekea sokoni.
Atakayemuona atoe taarifa kituo cha Polisi kilicho karibu nae au piga simu 0717924389 (Asha Mlei – Mama Mzazi; CCBRT, DSM)/0683075536 (Mzee Ally Kature Ally – Babu)
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Nafasi ya wazazi katika mavazi ya mtoto
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Mtoto mkimbizi akutanishwa na wazazi wake