Mtoto albino aporwa mikononi mwa mama yake
NA VICTOR BARIETY,GEITA
WATU wasiojulikana wamempora mikononi mwa mama yake, mtoto mchanga ambaye ni albino,Yohana Bahati (1), mkazi wa Kitongoji cha Ilyamchele,Kijiji cha Ilelema katika Wilaya ya Chato mkoani Geita na kutokomea naye kusikojulikana.
Katika tukio hilo mama wa mtoto huyo alijeruhiwa kwa mapanga.
Tukio hilo linalohusishwa na imani za ushirikina lilitokea Februari 15 mwaka huu usiku.
Kwa mujibu wa polisi,watu wanaodaiwa kufanya unyama huo walikuwa wawili ambao walivamia nyumbani...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo19 Feb
Mtoto albino aliyenyang'anywa mikononi mwa mamaye akutwa amekatwa miguu, mikono yote. Kiwiliwili chake chatelekezwa msituni
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Joseph-konyo-19Feb2015.jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Joseph Konyo.
Siku tatu baada ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Yohana Bahati (1), kutekwa na watu wasiofahamika, hatimaye mwili wake umepatikana ukiwa umekatwa miguu, mikono yote na kiwiliwili chake kufukiwa shambani katika Kitongoji cha Mapinduzi, Kijiji cha Rumasa ndani ya hifadhi ya msitu wa Biharamulo Wilaya ya Chato, mkoani Geita.
Mtoto huyo alinyakuliwa Jumapili iliyopita nyumbani kwao saa 2:15 usiku akiwa amebebwa na mama yake mzazi, Esther...
5 years ago
CCM BlogMTOTO WA MIAKA 17 MIKONONI MWA POLISI KWA KWA TUHUMA ZA KUMUUA BABA YAKE
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Wilbroad Mutafungwa, alidai kuwa Mei 31, saa 12 alfajiri Kitongoji cha Manyani, Kata ya Mkalama wilayani Gairo, mtu aliyejulikana kwa jina la Issaya Lameck (41), maarufu kama Kusaganika, fundi Muwashi, aliuawa kwa kupigwa na mtoto wake mwenye miaka 17 (jina linahifadhiwa kwa sababu za kimaadili).
Kamanda Mutafungwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2qurjWLm0IL3Zg*GdwBKG0*YnZivT-ERAQD7bxteJFXn6tqe2ge16t5lVeDmmQjSEqt4S1xY113bFlaMkkNRwURs/4.jpg)
MAMA WA MTOTO ALBINO ALIYEUAWA AMLIZA JB
10 years ago
Mwananchi18 Feb
Mama aliyeporwa mtoto albino afanyiwa upasuaji wa kichwa
10 years ago
Vijimambo18 Feb
Mama aliyeporwa mtoto albino afanyiwa upasuaji wa kichwa
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2627310/highRes/948169/-/maxw/600/-/ni76wr/-/albino.jpg)
Geita/Dar. Mama wa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi ambaye alitekwa juzi na watu wasiofahamika mkoani Geita, amefanyiwa upasuaji wa kichwa na jopo la madaktari wa Hospitali ya Rufaa ya Bugando (BMC) mjini Mwanza.Mama huyo aliyefahamika kwa jina la Ester Jonas (30), alilazimika kufanyiwa upasuaji huo...
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Yondani mikononi mwa TFF
BENCHI la ufundi la timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars chini ya kocha wake Mart Nooij, limesema halitambui sababu za beki wa timu hiyo Kelvin Yondani kushindwa kwenda kambini,...
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Sherehe 30 mikononi mwa Magufuli
10 years ago
Tanzania Daima18 Sep
Mbowe mikononi mwa polisi
JOPO la Mawakili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), na wanachama wa chama hicho, leo wamepanga kumsindikiza mwenyekiti wao Freeman Mbowe aliyeitwa Makao Makuu ya Polisi kwa ajili ya...
10 years ago
Mtanzania19 Feb
Albino aliyeporwa kwa mama yake auawa
Na Victor Bariety, Geita
MWILI wa mtoto albino, Yohana Bahati (mwaka mmoja) aliyeporwa kutoka mikononi mwa mama yake katika Kijiji cha Lumasa, Wilaya ya Geita, Mkoa wa Geita, umepatikana.
Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Geita, Joseph Konyo, aliliambia MTANZANIA jana kuwa mwili huo ulipatikana jana katika Pori la Hifadhi ya Biharamulo lililoko Wilaya ya Biharamulo, Mkoa wa Kagera, ukiwa umenyofolewa mikono na miguu.
Alisema mwili wa mtoto huyo uliokotwa juzi saa 12 jioni na wakazi wa eneo hilo...