Albino aliyeporwa kwa mama yake auawa
Na Victor Bariety, Geita
MWILI wa mtoto albino, Yohana Bahati (mwaka mmoja) aliyeporwa kutoka mikononi mwa mama yake katika Kijiji cha Lumasa, Wilaya ya Geita, Mkoa wa Geita, umepatikana.
Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Geita, Joseph Konyo, aliliambia MTANZANIA jana kuwa mwili huo ulipatikana jana katika Pori la Hifadhi ya Biharamulo lililoko Wilaya ya Biharamulo, Mkoa wa Kagera, ukiwa umenyofolewa mikono na miguu.
Alisema mwili wa mtoto huyo uliokotwa juzi saa 12 jioni na wakazi wa eneo hilo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Feb
Mama aliyeporwa mtoto albino afanyiwa upasuaji wa kichwa
10 years ago
Vijimambo18 Feb
Mama aliyeporwa mtoto albino afanyiwa upasuaji wa kichwa
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2627310/highRes/948169/-/maxw/600/-/ni76wr/-/albino.jpg)
Geita/Dar. Mama wa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi ambaye alitekwa juzi na watu wasiofahamika mkoani Geita, amefanyiwa upasuaji wa kichwa na jopo la madaktari wa Hospitali ya Rufaa ya Bugando (BMC) mjini Mwanza.Mama huyo aliyefahamika kwa jina la Ester Jonas (30), alilazimika kufanyiwa upasuaji huo...
10 years ago
Habarileo10 Jun
Auawa kwa kipigo akipinga mama yake kuolewa na tineja
MKAZI wa kitongoji cha Izia, manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa, Sylvester Mtoni (32) ameuawa kikatili na baba yake wa kambo wakishirikiana na bibi yake baada ya kushambulia kwa ngumi, mateke na rungu.
10 years ago
Mtanzania17 Feb
Mtoto albino aporwa mikononi mwa mama yake
NA VICTOR BARIETY,GEITA
WATU wasiojulikana wamempora mikononi mwa mama yake, mtoto mchanga ambaye ni albino,Yohana Bahati (1), mkazi wa Kitongoji cha Ilyamchele,Kijiji cha Ilelema katika Wilaya ya Chato mkoani Geita na kutokomea naye kusikojulikana.
Katika tukio hilo mama wa mtoto huyo alijeruhiwa kwa mapanga.
Tukio hilo linalohusishwa na imani za ushirikina lilitokea Februari 15 mwaka huu usiku.
Kwa mujibu wa polisi,watu wanaodaiwa kufanya unyama huo walikuwa wawili ambao walivamia nyumbani...
11 years ago
Dewji Blog23 Apr
Auawa kwa kutembea na mama wa mtu
Kaimu kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobius Sedoyeka, akitoa taarifa kwa waandishi wa habari juu ya mauaji ya watu wawili wakazi wa wilaya ya Ikungi akiwemo mmoja kuuawa kwa kutuhumiwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mama mzazi wa muuaji. Salumu Juma mkazi wa kijiji cha Makotea, amemuawa Faraja Emmanuel, kwa madai kuwa ana mahusiano ya kimapenzi na mama yake.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
MKULIMA mmoja na mkazi wa kijiji cha Makotea wilaya ya...
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-HHw7P_B8MaI/UsqT9p7-g8I/AAAAAAAFE-E/yM_qMszmEJY/s1600/1.jpg?width=640)
MTOTO AUAWA NA BABA YAKE KWA KUPIGWA NGUMI MKOANI MBEYA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lJRHJ_ELMbA/VOhaablsH9I/AAAAAAAHE6I/ru4n-3-gc0M/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
DKT. MAGUFULI ATOA MSAADA KWA MAMA MZAZI WA ALBINO ALIYETEKWA NA KUUAWA
Akizungumza kwa masikitiko makubwa jijini Dar es Salaam, Dkt.Magufuli amewataka Watanzania kuishi kwa amani na upendo na kuacha dhana ya kutajirika kutokana na viungo vya watu wenye ulemavu wa ngozi(Albino).
“Tukio hili ni la kinyama na halikubaliki popote...
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Albino auawa, akatwa kucha
11 years ago
Mwananchi14 May
Albino auawa, wauaji watoweka na viungo