Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTOTO ALIYETESWA SIKU 730 ATOROSHWA

Stori: MWANDISHI WETU
YULE binti Melina (15) aliyeandikwa kwenye Gazeti la Uwazi toleo la Juni 17, mwaka huu kwa kichwa cha habari kisemacho; MTOTO ATESWA SIKU 730 amedaiwa kutoroshwa na kupelekwa kusikojulikana. Mtoto Melina akiwa hospitali. Binti huyo aliyekuwa akifanya kazi za ndani ‘hausigeli,’ alidaiwa kuteswa na bosi wake aliyejulikana kwa jina la Yasinta Rwechungura, mkazi wa Boko Magengeni jijini Dar...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MTOTO ATESWA SIKU 730!

Stori: Deogratius Mongela
SIKU 730 au miaka miwili ya unyama na ukatili uliombatana na vipigo mfululizo, vimempa wakati mgumu katika maisha mtoto wa miaka 15, Melina aliyefika katika Jiji la Dar es Salaam mwaka 2012 akitokea  kijijini Ishozi- Kiziba, Kagera kwa lengo la kufanya kazi za ndani, yaani ‘hausigeli’. Mtoto Melina wa (15) aliyefika katika Jiji la Dar es Salaam mwaka 2012 akitokea kijijini Ishozi-...

 

11 years ago

GPL

ALIYEMTESA MTOTO KWA SIKU 730 AKOSA DHAMANA, ARUDISHWA RUMANDE

WAKILI wa kujitegemea, Yasinta Rwechungura (44) anayekabiliwa na kesi ya kumtesa, kumpiga na kumnyanyasa mfanyakazi wake wa ndani, Merina Mathayo (15) amezidi kusota rumande baada ya kushindwa kutimiza masharti ya dhamana Julai 11, 2014 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni.

 

11 years ago

Habarileo

Mtoto aliyeteswa kwenye boksi azikwa

SAFARI ya mwisho ya mtoto Nasra Mvungi (4), iliyokuwa ya mateso hapa duniani, imefikia mwisho jana katika makaburi ya Kola, Manispaa ya Morogoro, bila kusindikizwa na baba yake mzazi, Rashid Mvungi. Nasra kwa zaidi ya miaka mitatu hapa duniani, inadaiwa alikuwa akiishi katika boksi lililokuwa kitanda, choo, sehemu ya kuchezea na meza yake ya kulia chakula.

 

11 years ago

GPL

RAY C SIKU 730 HOSPITALINI

Stori: makongoro oging’
IMEELEZWA kwamba, nyota wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ (pichani) anatakiwa kuendelea kuhudhuria kliniki kila siku katika Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar kwa siku 730 (miaka miwili) bila kukosa hata siku moja kufuatia athari ya matumizi ya madawa ya kulevya kinyume cha hapo ni kuhatarisha maisha yake. Nyota wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ Taarifa...

 

11 years ago

GPL

SIKU 730 ZA MATESO YA MZEE SMALL

STORI: Nyemo Chilongani
GWIJI la sanaa nchini, Said Ngamba ‘Mzee Small’ ameanika mateso mazito aliyopitia kwa takriban miaka miwili (siku 730) akiugua ugonjwa wa kupooza. Gwiji la sanaa nchini, Said Ngamba ‘Mzee Small’ akiwa nyumani kwake Tabata-Mawenzi, jijini Dar. Akizungumza na paparazi wetu nyumbani kwake Tabata-Mawenzi, jijini Dar, Mzee Small alisema ugonjwa huo uliomuanza tangu Mei, mwaka 2012,...

 

11 years ago

GPL

ALIYEMTESA HAUSIGELI SIKU 730 AHENYESHWA!

stori: Haruni Sanchawa na Deogratius Mongela Mwanamke Yasinta Rwechengura, mkazi wa Boko wilayani Kinondoni, Dar anayekabiliwa na kesi ya kutuhumiwa kumtesa hausigeli wake kwa miaka miwili (siku 730), amejikuta akihenyeshwa mahakamani.Hayo yamemkuta juzi alipofikishwa kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Wilaya ya Kinondoni kujibu tuhuma zinazomkabili ambapo alikuwa akipokea amri kutoka kwa askari na kumfanya kukosa raha. ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Msichana aliyeteswa kinyama kwa miaka 9

Polisi nchini Argentina wamemwokoa msichana mwenye umri wa miaka 15 ambaye alifungiwa katika eneo la kuegesha magari na kunyimwa chakula pamoja na kupigwa kwa miaka tisa.

 

9 years ago

Global Publishers

Denti atoroshwa, awekwa kinyumba


Denti
Binti huyo anayedaiwa kuwekwa kinyumba.

Boniphace Ngumije
Dunia imekwisha! Binti mwenye umri wa miaka 14 (jina linahifadhiwa kimaadili), mkazi wa Majohe-Kwawarioba, Gongo la Mboto jijini Dar ambaye ni mwanafunzi (denti) wa kidato cha kwanza katika shule moja ya sekondari iliyopo maeneo hayo, anadaiwa kutoroshwa nyumbani kisha kuwekwa kinyumba.

Kwa mujibu wa mama mzazi wa denti huyo, Edna Zacharia, tukio hilo lilijiri hivi karibuni ambapo juhudi zote alizozifanya kumtafuta mwanaye huyo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mama anayeugua Ebola atoroshwa

Hali ya tahadhari imetangazwa mjini Freetown baada ya mwanamke aliyeambukizwa Ebola kutoroshwa na jamaa zake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani