MTOTO ALIYETESWA SIKU 730 ATOROSHWA
![](http://api.ning.com:80/files/DBD4PE5EidUIvgkb*4K90WHyw6JNd8SPfXNdLxeHl4e*te8jaH4E3d8TUSHLCZIifS8J3H4I-VcIk1k44kXD2IOpwSB5th*C/mtoto.jpg?width=650)
Stori: MWANDISHI WETU YULE binti Melina (15) aliyeandikwa kwenye Gazeti la Uwazi toleo la Juni 17, mwaka huu kwa kichwa cha habari kisemacho; MTOTO ATESWA SIKU 730 amedaiwa kutoroshwa na kupelekwa kusikojulikana. Mtoto Melina akiwa hospitali. Binti huyo aliyekuwa akifanya kazi za ndani ‘hausigeli,’ alidaiwa kuteswa na bosi wake aliyejulikana kwa jina la Yasinta Rwechungura, mkazi wa Boko Magengeni jijini Dar...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm8kIJYeSn6hs5iD-oDC4QBC0VPNp2nUWE62ay3kQOw-DwzRqtMLcyI97csnxreRZVSQXh1q-lF9BGctzgYB1PDX/mtoto.jpg)
MTOTO ATESWA SIKU 730!
11 years ago
GPL13 Jul
ALIYEMTESA MTOTO KWA SIKU 730 AKOSA DHAMANA, ARUDISHWA RUMANDE
11 years ago
Habarileo04 Jun
Mtoto aliyeteswa kwenye boksi azikwa
SAFARI ya mwisho ya mtoto Nasra Mvungi (4), iliyokuwa ya mateso hapa duniani, imefikia mwisho jana katika makaburi ya Kola, Manispaa ya Morogoro, bila kusindikizwa na baba yake mzazi, Rashid Mvungi. Nasra kwa zaidi ya miaka mitatu hapa duniani, inadaiwa alikuwa akiishi katika boksi lililokuwa kitanda, choo, sehemu ya kuchezea na meza yake ya kulia chakula.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yIMM0nQ11N7ns8i0vzcWio9rI18iUWGhNfwQXlrFsQ9gwC1xSKvkE334By2Lv6yHUM2LiqzSuGWz-etHMsGbJZc/rayc.jpg)
RAY C SIKU 730 HOSPITALINI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqph945LI8pkR8H1sr9U*IJGaRjDytAP7xFD*983u5BtUs916WW-kvemcj70X1jjjINv3miZ6I1kuKIRK-ClnwaX/mzeesmall.jpg?width=650)
SIKU 730 ZA MATESO YA MZEE SMALL
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FsV0PLw632pgHkB03r1q0uJhpVLjkHXdt8iaEZDxWDTD9qsoc*wq4UwWj-Yg6hMtvw6d2M67qLwocWup96-QMPdXeugIrfly/BACK.jpg?width=650)
ALIYEMTESA HAUSIGELI SIKU 730 AHENYESHWA!
11 years ago
BBCSwahili17 Apr
Msichana aliyeteswa kinyama kwa miaka 9
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Denti atoroshwa, awekwa kinyumba
Binti huyo anayedaiwa kuwekwa kinyumba.
Boniphace Ngumije
Dunia imekwisha! Binti mwenye umri wa miaka 14 (jina linahifadhiwa kimaadili), mkazi wa Majohe-Kwawarioba, Gongo la Mboto jijini Dar ambaye ni mwanafunzi (denti) wa kidato cha kwanza katika shule moja ya sekondari iliyopo maeneo hayo, anadaiwa kutoroshwa nyumbani kisha kuwekwa kinyumba.
Kwa mujibu wa mama mzazi wa denti huyo, Edna Zacharia, tukio hilo lilijiri hivi karibuni ambapo juhudi zote alizozifanya kumtafuta mwanaye huyo...
11 years ago
BBCSwahili25 Jul
Mama anayeugua Ebola atoroshwa