Denti atoroshwa, awekwa kinyumba
Binti huyo anayedaiwa kuwekwa kinyumba.
Boniphace Ngumije
Dunia imekwisha! Binti mwenye umri wa miaka 14 (jina linahifadhiwa kimaadili), mkazi wa Majohe-Kwawarioba, Gongo la Mboto jijini Dar ambaye ni mwanafunzi (denti) wa kidato cha kwanza katika shule moja ya sekondari iliyopo maeneo hayo, anadaiwa kutoroshwa nyumbani kisha kuwekwa kinyumba.
Kwa mujibu wa mama mzazi wa denti huyo, Edna Zacharia, tukio hilo lilijiri hivi karibuni ambapo juhudi zote alizozifanya kumtafuta mwanaye huyo...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zXzp3DhECP767huU0dGBYVRbK9gquzode2IIQT7ShKFByO7NogbkAA8YRyNQViOlXpNVMOHdZrWnSfNHSj2V75VCrPaxp0nS/Mamaaa.jpg?width=650)
MADAI, DENTI MIAKA 12 AWEKWA KINYUMBA NA TICHA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ytz*1w0-YzADyBt6-K-qAuLPhWhXZ1k1SXXW-VNLGAs4-*5sKb5qZslbMLbrRP3hmDj3vC18MQ71mhry5LVKKSUkmo0PBkJ3/BACKUWAZI.jpg)
KONDA WA DALADALA MATATANI KWA KUISHI KINYUMBA NA DENTI!
11 years ago
BBCSwahili25 Jul
Mama anayeugua Ebola atoroshwa
9 years ago
Habarileo05 Dec
Wanafunzi wawekwa kinyumba
BAADHI wa wanafunzi wa kike wanaosoma katika shule za sekondari mkoani Rukwa, wamejikuta wakiwekwa kinyumba baada ya wazazi na walezi wao kuwapangishia vyumba vijijini na kuwatelekeza.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DBD4PE5EidUIvgkb*4K90WHyw6JNd8SPfXNdLxeHl4e*te8jaH4E3d8TUSHLCZIifS8J3H4I-VcIk1k44kXD2IOpwSB5th*C/mtoto.jpg?width=650)
MTOTO ALIYETESWA SIKU 730 ATOROSHWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zMJxnqMJKq32jslxILUSZgH9aCJoWUugMJkA1UluG5YH43ArMQie4eMeIeXhfGmHrOlCuVckMezBO1PIU-Zn*Ew1FbMKzKAt/biharusi.jpg)
BI HARUSI ATOROSHWA, MAMA MZAZI AHAHA!
11 years ago
Mwananchi09 Jun
Baba adaiwa kuishi kinyumba na binti zake
10 years ago
Habarileo04 Mar
Ngeleja awekwa kikaangoni Dar
MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja, amekiri mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma kwamba, aliomba na kupokea Sh milioni 40.4, kutoka kwa James Rugemalira kwa kujitetea, alifanya hivyo kama ilivyo kawaida pia kwa wabunge wengine.
11 years ago
Mwananchi28 Mar
... Samuel Sitta awekwa mtegoni