Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MADAI, DENTI MIAKA 12 AWEKWA KINYUMBA NA TICHA

Mayasa Mariwata
MWANAFUNZI mmoja wa darasa la sita katika shule moja ya msingi iliyopo Ubungo jijini Dar, aliyefahamika kwa jina la Magida mwenye umri wa miaka 12, mkazi wa Kipawa jijini Dar, anadaiwa kuwekwa kinyumba na mwalimu wake aliyetajwa kwa jina moja la Kimweri katika tukio lililofanyika kwenye nyumba mbalimbali za kulala wageni na kumfanya kushindwa kuhudhuria masomo. Magida anayedaiwa kuwekwa kinyumba na ticha. Mama...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Denti atoroshwa, awekwa kinyumba


Denti
Binti huyo anayedaiwa kuwekwa kinyumba.

Boniphace Ngumije
Dunia imekwisha! Binti mwenye umri wa miaka 14 (jina linahifadhiwa kimaadili), mkazi wa Majohe-Kwawarioba, Gongo la Mboto jijini Dar ambaye ni mwanafunzi (denti) wa kidato cha kwanza katika shule moja ya sekondari iliyopo maeneo hayo, anadaiwa kutoroshwa nyumbani kisha kuwekwa kinyumba.

Kwa mujibu wa mama mzazi wa denti huyo, Edna Zacharia, tukio hilo lilijiri hivi karibuni ambapo juhudi zote alizozifanya kumtafuta mwanaye huyo...

 

11 years ago

GPL

TICHA, DENTI ANAJIFANYAJE MJANJA?

Oyaa, mambo niaje madenti?
Ni wikiendi nyingine tena tunakutana mitaa hii kwa ajili ya kupeana mbili tatu za kushtuana wakati huu ambao wote tunalisongesha gurudumu la maendeleo ya taifa letu. Kuna watu wengine wanafikiri wanafunzi hawana mchango kwa taifa hili, siyo kweli. Madenti wana mchango mkubwa sana, kuanzia wale wa msingi, sekondari, vyuo hadi elimu ya juu, lakini bahati mbaya wengi wao huwa hawajijui kama wana kitu...

 

10 years ago

GPL

KONDA WA DALADALA MATATANI KWA KUISHI KINYUMBA NA DENTI!

Stori: Waandishi wetu
KONDAKTA wa daladala inayopiga kazi njia ya Makumbusho na Gongo la Mboto, jijini Dar aliyetambulika kwa jina moja la Saidi (pichani), ameingia matatani baada ya kudaiwa kuishi kinyumba na mwanafunzi wa kidato cha tatu, tukio lililotokea Magomeni Kagera hivi karibuni, kinyume na sheria za nchi. Kondakta wa daladala Saidi anayedaiwa kuishi kinyumba na mwanafunzi. Kwa mujibu wa chanzo cha habari hizo, denti...

 

11 years ago

GPL

DENTI MIAKA 12 AOLEWA

Stori: Denis Mtima na Mayasa Mariwata, Pwani YELEUWII! Kuishi kwingi ni kuona mengi, kijana aliyejitambulisha kwa jina la Andrew Vincent (23) ambaye amemaliza kidato cha nne mwaka jana, amejikuta katikati ya matatizo kufuatia kufunga pingu za maisha na mwanafunzi wa darasa la tano aliyefahamika kwa jina moja la Wastara (12), wote wakazi wa Bagamoyo, Mkoa wa Pwani. Wastara akifanya usafi ndani kwake baada ya kuolewa. Tukio hilo...

 

9 years ago

Habarileo

Wanafunzi wawekwa kinyumba

BAADHI wa wanafunzi wa kike wanaosoma katika shule za sekondari mkoani Rukwa, wamejikuta wakiwekwa kinyumba baada ya wazazi na walezi wao kuwapangishia vyumba vijijini na kuwatelekeza.

 

11 years ago

Mwananchi

Baba adaiwa kuishi kinyumba na binti zake

Mkazi mmoja wa Same mkoani Kilimanjaro anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuwabaka watoto wake wawili kwa kipindi cha miaka minne mfululizo.

 

11 years ago

GPL

AIBU TICHA WA TRA

Stori: Waandishi Wetu
HII ni aibu kubwa! Mhadhiri wa Chuo cha Kodi ya Mapato Tanzania, Richard Donati amezuliwa timbwili la aina yake nyumbani kwake, hali iliyosababisha mtaa kufungwa, kisa kikielezwa ni kukutwa na mchumba wa mtu aliyetajwa kwa jina moja la Aisha. Mwenye mchumba (kushoto) akitulizwa baada ya kupandisha hasira. HABARI KAMILI
Sakata hilo lilitokea mchana kweupe, Ijumaa iliyopita,  Sinza – Kwa Remmy...

 

9 years ago

StarTV

Mwili waharibika kwa madai ya kuhifadhiwa chini kwa  madai ya uzembe Sekou Toure

Mwili wa kijana aliyekuwa akiishi mitaani jijini Mwanza marehemu Baraka Hamisi hatimaye umezikwa baada ya kukosa hifadhi katika jokofu la maiti kwa takribani siku sita katika Hospitali ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure

Marehemu Bakari Hamisi mwenye umri wa miaka 22 kijana wa mitaani aliyekuwa akijishughulisha na biashara ndogondogo alifariki dunia alipokuwa akipelekwa hospitalini hapo na vijana wenzake wa mitaani kwa ajili ya kupata matibabu.

Awali kabla ya kufikwa na mauti, vijana wenzake wa...

 

11 years ago

Mwananchi

tunda la ‘ticha’ Jento THT

Wahenga walisema: “Subira yavuta heri.”Ukweli wa kauli hiyo ya Kiswahili umedhihirika miongoni mwa wasanii wa muziki wa kizazi kipya maarufu Bongo Fleva kwani wapo waliovumilia wakapata mafanikio, ingawa pia wapo waliokata tamaa wakishindwa kusubiri kwa kutaka mafanikio ya haraka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani