Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TICHA, DENTI ANAJIFANYAJE MJANJA?

Oyaa, mambo niaje madenti?
Ni wikiendi nyingine tena tunakutana mitaa hii kwa ajili ya kupeana mbili tatu za kushtuana wakati huu ambao wote tunalisongesha gurudumu la maendeleo ya taifa letu. Kuna watu wengine wanafikiri wanafunzi hawana mchango kwa taifa hili, siyo kweli. Madenti wana mchango mkubwa sana, kuanzia wale wa msingi, sekondari, vyuo hadi elimu ya juu, lakini bahati mbaya wengi wao huwa hawajijui kama wana kitu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MADAI, DENTI MIAKA 12 AWEKWA KINYUMBA NA TICHA

Mayasa Mariwata
MWANAFUNZI mmoja wa darasa la sita katika shule moja ya msingi iliyopo Ubungo jijini Dar, aliyefahamika kwa jina la Magida mwenye umri wa miaka 12, mkazi wa Kipawa jijini Dar, anadaiwa kuwekwa kinyumba na mwalimu wake aliyetajwa kwa jina moja la Kimweri katika tukio lililofanyika kwenye nyumba mbalimbali za kulala wageni na kumfanya kushindwa kuhudhuria masomo. Magida anayedaiwa kuwekwa kinyumba na ticha. Mama...

 

10 years ago

Mwananchi

Laif ni denja, haina mjanja

Ule mzuka ambao sikuwa nao wa kwenda mamtoni, unaanza kama kutoweka taratibu. 

 

11 years ago

GPL

AIBU TICHA WA TRA

Stori: Waandishi Wetu
HII ni aibu kubwa! Mhadhiri wa Chuo cha Kodi ya Mapato Tanzania, Richard Donati amezuliwa timbwili la aina yake nyumbani kwake, hali iliyosababisha mtaa kufungwa, kisa kikielezwa ni kukutwa na mchumba wa mtu aliyetajwa kwa jina moja la Aisha. Mwenye mchumba (kushoto) akitulizwa baada ya kupandisha hasira. HABARI KAMILI
Sakata hilo lilitokea mchana kweupe, Ijumaa iliyopita,  Sinza – Kwa Remmy...

 

11 years ago

Mwananchi

tunda la ‘ticha’ Jento THT

Wahenga walisema: “Subira yavuta heri.”Ukweli wa kauli hiyo ya Kiswahili umedhihirika miongoni mwa wasanii wa muziki wa kizazi kipya maarufu Bongo Fleva kwani wapo waliovumilia wakapata mafanikio, ingawa pia wapo waliokata tamaa wakishindwa kusubiri kwa kutaka mafanikio ya haraka.

 

5 years ago

Michuzi

TCRA yafikiksha Kampeni ya Sirubuniki Mjanja haingizwi Chaka Mkoani Kagera

KATIBU Tawala wa Mkoa wa Kagera Profesa Faustine Kamuzora ameiopongeza Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuja kwa kampeni ya sirubuniki Mjanja Haingizwi Chaka.
Profesa Kamuzora ameyasema hayo wakati akifungua semina ya Kamati ya Amani Mkoa wa Kagera iliyoandaliwa na TCRA kutoa Elimu ya Kujikinga na uhalifu unapotumia huduma za mawasiliano.
Katibu Tawala Profesa Kamuzora amewaomba viongozi wa dini waunge mkono serikali kupitia TCRA kueneza elimu ya Mawasiliano.
Amesema viongozi...

 

9 years ago

GPL

TICHA MJAMZITO ACHOMOKEA DIRISHANI KWENYE DALADALA

CHEZEA kifo wewe! Mwalimu wa Shule ya Msingi Mwere ya mjini hapa ambaye jina halikupatikana mara moja, akiwa mjamzito, amenusurika kifo baada ya daladala walilopanda kutumbukia mtaroni na yeye kuchomokea kwenye dirishani. Gari likiwa limepinduka baada ya ajali hiyo. Tukio hilo lilijiri jirani kabisa na eneo la Kanisa la KKKT ambapo mashuhuda walidai kwamba tukio hilo lilitokea baada ya dereva wa daladala aliyefahamika kwa jina...

 

11 years ago

GPL

PAMOJA NA MBWEMBWE NYINGI... TICHA AVUNJA NDOA YA MTU

Stori: Haruni Sanchawa
RB namba STK//RB/4457/2014 -KUTUMIA LUGHA YA MATUSI inawahusu wanandoa waliodumu kwa zaidi ya miaka 10, waliofunga ndoa kwa mbwembwe nyingi, Nyange na Ruth kisa kikielezwa kuwa ni ticha anayedaiwa kuvunja utatu huo mtakatifu, Ijumaa lina kisa na mkasa. Ruth na Nyange wakati wa harusi. Habari zilieleza kwamba wahusika ni  wakazi wa Pugu, Dar.
Kwa mujibu wa habari za mtaani wanakoishi wawili hao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani