TICHA MJAMZITO ACHOMOKEA DIRISHANI KWENYE DALADALA
![](http://api.ning.com:80/files/SJHyuKr55TOY3NlnUssAVA*VBbPPuj*9A5mvxq0JkOvL4kkn9*-HQ5mzXeBNKGnGHuhmgr*YQiMHz2a2sceP8Ag89NR4Jq5A/ticha.jpg?width=650)
CHEZEA kifo wewe! Mwalimu wa Shule ya Msingi Mwere ya mjini hapa ambaye jina halikupatikana mara moja, akiwa mjamzito, amenusurika kifo baada ya daladala walilopanda kutumbukia mtaroni na yeye kuchomokea kwenye dirishani. Gari likiwa limepinduka baada ya ajali hiyo. Tukio hilo lilijiri jirani kabisa na eneo la Kanisa la KKKT ambapo mashuhuda walidai kwamba tukio hilo lilitokea baada ya dereva wa daladala aliyefahamika kwa jina...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox6YhrQ6NAxnqj1pEBw-AyqK0Xw3WIKekw6l390DlqKcet3wv*9vQNaldeiRNgexliXE*9*fJIq80*br26UcNCA5/mjamzito.jpg?width=650)
MJAMZITO AJIFUNGULIA KWENYE KOKOTO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wjLHhX7eljzg-rUFTKPawkPQFE4hz8Mvh5s94VIcXfWReeOIsj07C470*FizzS2zyVT2O8beD1JhJ0F8-z0Ga19wzS8XvX*J/mjamzitocopy.jpg?width=650)
MJAMZITO ATIMULIWA KWENYE NYUMBA
10 years ago
GPLALI KIBA KIVUTIO KWENYE DALADALA DAR
9 years ago
Habarileo30 Aug
Polisi Ilala wachunguza ujambazi kwenye daladala
JESHI la Polisi limesema linachunguza tukio la uporaji wa Dola za Marekani 570 lililofanyika kwenye daladala katika eneo la Jangwani, jijini Dar es Salaam lililosababisha kifo na majeruhi.
10 years ago
Mwananchi24 Jul
Auawa baada ya kuwachoma visu wenzake kwenye daladala
10 years ago
Vijimambo24 Jul
Auawa baada ya kuwachoma visu wenzake kwenye daladala
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2805486/highRes/1069784/-/maxw/600/-/qejcs8z/-/pic_kisu.jpg)
By Pamela Chilongola, Mwananchi
Dar es Salaam. Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Mosha Mahona ameuawa na wananchi baada ya kuwachoma kwa kisu abiria watano waliokuwa kwenye daladala linalofanya safari zake kati ya Posta na Ubungo Simu 2000.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camilius Wambura alisema jana kuwa tukio hilo lilitokea juzi saa moja usiku katika eneo la Magomeni Usalama na Mahona aliuawa kwa kushambuliwa na wananchi baada ya...
11 years ago
Michuzi11 Feb
MDAU KIZITO ASHINDA MILIONI 10 ZA 'CHAMPIONI MAHELA' AKIWA KWENYE DALADALA
Droo hiyo iliyochezeshwa mbele ya Msimamizi wa Bodi ya Bahati Nasibu, Mrisho Milao kwenye Viwanja vya Mbagala- Zakhem jana Jumanne.
Akizungumza Kizito ambaye ni makazi wa Kawe jijini Dar alipopigiwa simu na muendeshaji wa shughuli hiyo MC Chaku, mshindi huyo alikuwa ndani ya daladala hivyo hakuwa na mengi ya kuongeza zaidi ya kushukuru kwa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HD0RdVTwp0DYdyWdOo99XH49s8gSxFq*6HpoXrmYEwVw97rgn2*1X7WAfMx*TGTgpfR7Ak8Mlwyq33kALkPspCCmZ-YVXKcE/Mrisho1.jpg?width=650)
MRISHO MPOTO ATAFUTA NAULI KWA KUPIGA DEBE KWENYE DALADALA - 4