MJAMZITO AJIFUNGULIA KWENYE KOKOTO
![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox6YhrQ6NAxnqj1pEBw-AyqK0Xw3WIKekw6l390DlqKcet3wv*9vQNaldeiRNgexliXE*9*fJIq80*br26UcNCA5/mjamzito.jpg?width=650)
Stori: Gordon Kalulunga, Mbeya MASIKINI! Mama mjamzito aliyetambulika kwa jina la Sabina Mwakyusa (28), mkazi wa Kijiji cha Iwala, Kata ya Utengule Usongwe wilayani Mbalizi mkoani hapa anadaiwa kujifungulia nje kwenye kokoto. INASIKITISHA Tukio hilo la kufungia mwaka lilijiri nje ya Hospitali Teule ya Ifisi-Mbalizi hivi karibuni na kusababisha masikitiko makubwa kwa mashuhuda waliodai kuwa ishu hiyo ni kali ya kufungia mwaka...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/i*tFWQTF2R8R6GO*17Xksx*FTfeBSwk9j9BkDBAB1E14h72DzL13va*aEZQ2U*l79iNHevqEU8HklhqiOOfMEkJpCd1tqkoH/ASALITI.jpg?width=650)
MJAMZITO ASALITI NDOA, AJIFUNGULIA GESTI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wjLHhX7eljzg-rUFTKPawkPQFE4hz8Mvh5s94VIcXfWReeOIsj07C470*FizzS2zyVT2O8beD1JhJ0F8-z0Ga19wzS8XvX*J/mjamzitocopy.jpg?width=650)
MJAMZITO ATIMULIWA KWENYE NYUMBA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SJHyuKr55TOY3NlnUssAVA*VBbPPuj*9A5mvxq0JkOvL4kkn9*-HQ5mzXeBNKGnGHuhmgr*YQiMHz2a2sceP8Ag89NR4Jq5A/ticha.jpg?width=650)
TICHA MJAMZITO ACHOMOKEA DIRISHANI KWENYE DALADALA
11 years ago
BBCSwahili27 Feb
Mama ajifungulia barabarani New York
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Uchimbaji kokoto watia hofu
MWENYEKITI wa Serikali ya Mtaa wa Kizani, Kata ya Somangila, Kigamboni jijini Dar es Salaam, Julius Kibwina, ameitaka serikali kuu kuingilia kati uharibifu wa mazingira unaofanywa na wajenzi wa daraja...
11 years ago
CloudsFM18 Jul
LORI LA KOKOTO LAUA MTU MOROGORO.
Mtu mmoja amefariki dunia papo hapo na wengine sita wamejeruhiwa baada ya kuangukiwa na lori lilisheheni kokoto waakati likijaribu kukwepa mwendesha pikipiki kisha kuacha njia na kupinduka na kuwaangukia watembea na kuwabana kwa masaa kadhaa katika eneo la msamvu mjini Morogoro.
Vilio na mazonzi vilitawala katika eneo la tukio la ajali wakati zoezi la kuokoa mtu aliebanwa na gari likiendelea ambapo kamanda polisi mkoa wa Morogoro Lenarld Paul akizungumza katika eneo la tukio amesema chanzo...
9 years ago
Habarileo21 Oct
JK azindua kiwanda cha kupasua kokoto B’moyo
RAIS Jakaya Kikwete amezindua kiwanda cha kupasua kokoto za ukubwa mbalimbali kwa wastani wa meta za ujazo 2,000 kwa siku katika kijiji cha Pongwe, Msungura wilayani Bagamoyo mkoani Pwani.
10 years ago
Habarileo20 Dec
Washauri waponda kokoto kupewa ajira nyingine
MJUMBE wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Dk Pudensiana Kikwembe ameshauri wanawake wanaofanya kazi ya kuponda kokoto katika bandari mpya ya Kiwira iliyopo Ziwa Nyasa wilayani Kyela watafutiwe kazi nyingine ya ujasiriamali.
9 years ago
VijimamboRAIS KIKWETE AZINDUA MRADI WA KUSAGA KOKOTO PONGWE MSUNGURA