Uchimbaji kokoto watia hofu
MWENYEKITI wa Serikali ya Mtaa wa Kizani, Kata ya Somangila, Kigamboni jijini Dar es Salaam, Julius Kibwina, ameitaka serikali kuu kuingilia kati uharibifu wa mazingira unaofanywa na wajenzi wa daraja...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox6YhrQ6NAxnqj1pEBw-AyqK0Xw3WIKekw6l390DlqKcet3wv*9vQNaldeiRNgexliXE*9*fJIq80*br26UcNCA5/mjamzito.jpg?width=650)
MJAMZITO AJIFUNGULIA KWENYE KOKOTO
11 years ago
CloudsFM18 Jul
LORI LA KOKOTO LAUA MTU MOROGORO.
Mtu mmoja amefariki dunia papo hapo na wengine sita wamejeruhiwa baada ya kuangukiwa na lori lilisheheni kokoto waakati likijaribu kukwepa mwendesha pikipiki kisha kuacha njia na kupinduka na kuwaangukia watembea na kuwabana kwa masaa kadhaa katika eneo la msamvu mjini Morogoro.
Vilio na mazonzi vilitawala katika eneo la tukio la ajali wakati zoezi la kuokoa mtu aliebanwa na gari likiendelea ambapo kamanda polisi mkoa wa Morogoro Lenarld Paul akizungumza katika eneo la tukio amesema chanzo...
9 years ago
Habarileo21 Oct
JK azindua kiwanda cha kupasua kokoto B’moyo
RAIS Jakaya Kikwete amezindua kiwanda cha kupasua kokoto za ukubwa mbalimbali kwa wastani wa meta za ujazo 2,000 kwa siku katika kijiji cha Pongwe, Msungura wilayani Bagamoyo mkoani Pwani.
10 years ago
Habarileo20 Dec
Washauri waponda kokoto kupewa ajira nyingine
MJUMBE wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Dk Pudensiana Kikwembe ameshauri wanawake wanaofanya kazi ya kuponda kokoto katika bandari mpya ya Kiwira iliyopo Ziwa Nyasa wilayani Kyela watafutiwe kazi nyingine ya ujasiriamali.
9 years ago
VijimamboRAIS KIKWETE AZINDUA MRADI WA KUSAGA KOKOTO PONGWE MSUNGURA
10 years ago
Michuzi10 Apr
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HsO54I7bv6g/Xm58nJIipaI/AAAAAAALjyQ/vrvoSxBa9-Qz_QPdQrp02LlL4BwipwFIQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_101.jpg)
RUZUKU YA TASAF YAMUWEZESHA ALBINA KUENDESHA MRADI WA KOKOTO NA KUBORESHA MAISHA YAKE MJINI BABATI
![](https://1.bp.blogspot.com/-HsO54I7bv6g/Xm58nJIipaI/AAAAAAALjyQ/vrvoSxBa9-Qz_QPdQrp02LlL4BwipwFIQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_101.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG_100.jpg)
Mnufaika wa Ruzuku inayotolewa na Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF), Bibi Albina Matayo, mkazi wa Halmashauri ya Mji wa Babati, Mtaa wa Mrara, akitoa ushuhuda jana kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa wa namna TASAF ilivyomuwezesha...
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Friends of Simba watia ubani
9 years ago
Mwananchi02 Sep
Makomandoo watia fora hafla ya kumuaga JK