Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baba adaiwa kuishi kinyumba na binti zake

Mkazi mmoja wa Same mkoani Kilimanjaro anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuwabaka watoto wake wawili kwa kipindi cha miaka minne mfululizo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Baba adaiwa kumbaka binti na kumpa ujauzito

girl raped

Na Mwandishi wetu

SERIKALI ya Kijiji cha Bwekela,Kitongoji cha Mwina, kata ya Igoweko,wilayani Igunga, Mkoa wa  Tabora inamtafuta mkazi mmoja wa Kijiji hicho, Kashinje Shima kwa tuhuma za kumbaka na kumpa mimba mtoto wake wa kike,Mbalu Kashinde mwenye umri wa miaka 17.

Mama mzazi wa mtoto huyo,Jeni Njiro alisema tukio hilo lilitokea Julai,23,mwaka huu baada ya binti huyo kugundulika kuwa na ujauzito wa miezi saba sasa.

Alisema kabla ya kugundua kitendo hicho cha kinyama kilichokuwa...

 

10 years ago

GPL

KONDA WA DALADALA MATATANI KWA KUISHI KINYUMBA NA DENTI!

Stori: Waandishi wetu
KONDAKTA wa daladala inayopiga kazi njia ya Makumbusho na Gongo la Mboto, jijini Dar aliyetambulika kwa jina moja la Saidi (pichani), ameingia matatani baada ya kudaiwa kuishi kinyumba na mwanafunzi wa kidato cha tatu, tukio lililotokea Magomeni Kagera hivi karibuni, kinyume na sheria za nchi. Kondakta wa daladala Saidi anayedaiwa kuishi kinyumba na mwanafunzi. Kwa mujibu wa chanzo cha habari hizo, denti...

 

10 years ago

Habarileo

Adaiwa kukata mkono wa binti albino

MKAZI wa Kata ya Usinge, Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, John Fumbuka, amefikishwa mahakamani kwa mashitaka ya kujaribu kumuua binti wa miaka 15 ambaye ni albino.

 

9 years ago

Mwananchi

Baba wa kambo ambaka binti yake

Watoto wawili wenye umri wa miaka 13 wamebakwa kwa nyakati tofauti, huku mmoja akidaiwa kufanyiwa ukatili huo na baba yake wa kambo.

 

10 years ago

GPL

BABA ALIYEMBAKA BINTI YAKE WA KAMBO AKAMATWA PARAGUAY

Bw. Gilberto Benitez Zarate anayedaiwa kumbaka binti yake wa kambo na kumsababishia ujauzito. ...Akihojiwa na waandishi wa habari. ...Akipelekwa kituo cha Polisi. Asuncion, Paraguay
GILBERTO Benitez Zarate wa Paraguay amekamatwa akishitakiwa kwa kumbaka na kumpa…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baba adaiwa kumnyonga mwanaye

MTOTO Henry Juma, mwenye umri wa miezi saba, mkazi wa Migombani mjini Tunduma, wilayani Momba, mkoani hapa, amekutwa ameuawa kwa kunyongwa shingo na baba yake mzazi, Juma Venance, kisha mwili...

 

10 years ago

Mwananchi

Kila baba anatakiwa atoe somo kwa binti yake

Baba yangu alinipa zawadi ambayo mtu yeyote angeweza kuitoa kwa mtoto wake.

 

11 years ago

Habarileo

Baba wa binti aliyefanya vyema kidato cha 6 atoa ya moyoni

BABA wa mwanafunzi aliyefanya vizuri katika mtihani wa kidato cha sita na kushika nafasi ya pili kitaifa masomo ya sayansi, Doris Noah amesema mtoto wake ana ndoto ya kuwa rubani lakini bado hakubaliani na maamuzi yake.

 

11 years ago

GPL

BABA LEVO ADAIWA KUMDUNDA SHEMEJIYE

Stori: Mwandishi Wetu
STAA wa Bongo Fleva, Trey Revocatus ‘Baba Levo’ amedaiwa kumshushia kipigo shemeji yake aliyefahamika kwa jina la Pili Kimenya, mkazi wa Kisangani, Kigoma. Staa wa Bongo Fleva, Trey Revocatus ‘Baba Levo’ akipozi. Kwa mujibu wa chanzo, Baba Levo alikwenda kwenye mazishi ya kaka yake ambaye alikuwa mchumba wa Pili, Patrick Revocatus, baada ya kuzika alimtuhumu shemeji yake huyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani