Baba adaiwa kuishi kinyumba na binti zake
Mkazi mmoja wa Same mkoani Kilimanjaro anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuwabaka watoto wake wawili kwa kipindi cha miaka minne mfululizo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog09 Aug
Baba adaiwa kumbaka binti na kumpa ujauzito
Na Mwandishi wetu
SERIKALI ya Kijiji cha Bwekela,Kitongoji cha Mwina, kata ya Igoweko,wilayani Igunga, Mkoa wa Tabora inamtafuta mkazi mmoja wa Kijiji hicho, Kashinje Shima kwa tuhuma za kumbaka na kumpa mimba mtoto wake wa kike,Mbalu Kashinde mwenye umri wa miaka 17.
Mama mzazi wa mtoto huyo,Jeni Njiro alisema tukio hilo lilitokea Julai,23,mwaka huu baada ya binti huyo kugundulika kuwa na ujauzito wa miezi saba sasa.
Alisema kabla ya kugundua kitendo hicho cha kinyama kilichokuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ytz*1w0-YzADyBt6-K-qAuLPhWhXZ1k1SXXW-VNLGAs4-*5sKb5qZslbMLbrRP3hmDj3vC18MQ71mhry5LVKKSUkmo0PBkJ3/BACKUWAZI.jpg)
KONDA WA DALADALA MATATANI KWA KUISHI KINYUMBA NA DENTI!
10 years ago
Habarileo22 Aug
Adaiwa kukata mkono wa binti albino
MKAZI wa Kata ya Usinge, Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, John Fumbuka, amefikishwa mahakamani kwa mashitaka ya kujaribu kumuua binti wa miaka 15 ambaye ni albino.
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Baba wa kambo ambaka binti yake
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XkRrFz4ymKk-JL1XS8hbUF8b9QcSkmEmDTFtFbbdHefp7qtOJuQwXBlrCF5ZnTuNozcl05cFn-VZwoId0G4M-tuDRtXdtS7S/963553224e8230f75e11e49416e181221d5c3b.jpg)
BABA ALIYEMBAKA BINTI YAKE WA KAMBO AKAMATWA PARAGUAY
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Baba adaiwa kumnyonga mwanaye
MTOTO Henry Juma, mwenye umri wa miezi saba, mkazi wa Migombani mjini Tunduma, wilayani Momba, mkoani hapa, amekutwa ameuawa kwa kunyongwa shingo na baba yake mzazi, Juma Venance, kisha mwili...
10 years ago
Mwananchi24 Aug
Kila baba anatakiwa atoe somo kwa binti yake
11 years ago
Habarileo18 Jul
Baba wa binti aliyefanya vyema kidato cha 6 atoa ya moyoni
BABA wa mwanafunzi aliyefanya vizuri katika mtihani wa kidato cha sita na kushika nafasi ya pili kitaifa masomo ya sayansi, Doris Noah amesema mtoto wake ana ndoto ya kuwa rubani lakini bado hakubaliani na maamuzi yake.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mrjGDDFzeeFajNbnD9rjV*ZSLWaja51EsV89H9gvfv1rUEVOI3T8EEvqWwiM3Suqk5-pQXbbIYvZL0bW71PRazXzZrps7rz5/babalevo.jpg)
BABA LEVO ADAIWA KUMDUNDA SHEMEJIYE