Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muasi wa Mayi mayi ajisalimisha DRC

Kanali mmoja wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo aliyeaasi Jeshi na kujiunga na waasi wa mai mai YAKUTUMBA,amejisalimisha ktika jeshi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Muasi Dominic Ongwen ajisalimisha

Dominic Ongwen, mmoja kati ya makamanda aliyekuwa na cheo kikubwa katika jeshi la waasi wa Uganda LRA amejisalimisha

 

10 years ago

BBCSwahili

Kamanda mwanamke muasi akamatwa

Mashirika ya kutetea haki za binadamu yameisifu hatua ya kukamatwa kwa kamanda mwanamke aliyekuwa mmoja wa waasi wa Charles Taylor.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania yamshikilia muasi wa ADF

Polisi nchini Tanzania wamethibitisha kuendelea kumshikilia Jamil Mukulu ambaye ni kiongozi wa waasi wa ADF wa Uganda.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mukulu muasi wa ADF apelekwa Uganda

Kiongozi wa kundi la waasi wa Uganda la Allied Democratic Forces-ADFJamil Mukulu amekabidhiwa uganda.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jenerali muasi anusurika katika mlipuko

Jenrerali anayeongoza vita dhidi ya makundi ya wapiganaji wa kiislamu huko Benghazi anusurika kifo

 

10 years ago

BBCSwahili

ICC yakataa ombi la muasi Lubanga

Mahakama ya ICC imetupilia mbali ombio la rufaa lililowasilishwa na muasi wa zamani DRC Thomas Lubanga dhidi ya hukumu aliyopewa ya miaka 14 jela

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanajeshi muasi Burkina Faso ashtakiwa

Utawala nchini Burkina Faso umemfungulia mashtaka mwanajeshi muasi ambaye aliongaza mapinduzi ya kijeshi yaliyofeli mwezi uliopita

 

10 years ago

BBCSwahili

Muasi Dominic Ongwen afikishwa Hague

Kamanda mkuu wa kundi la waasi la LRA nchini Uganda Dominic Ongwen amewasili mjini Hague ambako atafunguliwa mashitaka ya uhalifu wa kivita.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wamuua muasi wa Seleka CAR

Wanajeshi katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, wamemuua mwanamume mmoja anayetuhumiwa kuwa muasi wa Seleka huku ghasia zikikithiri nchini humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani