Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jenerali muasi anusurika katika mlipuko

Jenrerali anayeongoza vita dhidi ya makundi ya wapiganaji wa kiislamu huko Benghazi anusurika kifo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa Maldives anusurika mlipuko

Rais wa Maldives Yameen Abdul Gayoom, amenusurika baada ya mlipuko kutokea kwenye boti yake alipokuwa akitoka kuhiji Saudi Arabia.

 

11 years ago

BBCSwahili

5 wauawa katika mlipuko Nigeria

Watu 5 akiwemo mshambuliaji wauawa katika mlipuko wa bomu katika gari, kaskazini mashariki mwa Nigeria

 

11 years ago

BBCSwahili

21 Wafariki katika mlipuko Abuja

Zaidi ya watu 21 wamedhibitishwa kufariki baada ya mlipuko kutoka katikakati ya jiji la Abuja Nigeria

 

11 years ago

BBCSwahili

8 wajeruhiwa katika mlipuko Arusha,TZ

Watu wanane wamejeruhiwa mmoja akiwa hali mahututi kufuatia mlipuko katika mkahawa mjini Arusha Tanzania

 

11 years ago

BBCSwahili

2 wajeruhiwa katika mlipuko Mombasa

Mwanamume mmoja amewarushia maafisa wa polisi guruneti kuzuiwa kukamatwa kwa mshukiwa wa ugaidi aliyekuwa mikononi mwa maafisa hao

 

10 years ago

GPL

MWAKIFWAMBA ANUSURIKA KIFO KATIKA AJALI MORO

Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba. RAIS wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba jana usiku amenusurika kifo baada ya gari alilokuwa akiendesha kupata ajali na kupinduka eneo la Mkindu jirani na mizani mkoani Morogoro. Mwakifwamba alipata ajali hiyo wakati akijaribu kumkwepa mwendesha pikipiki 'bodaboda' baada ya gari lake aina ya Toyota Noah lenye namba za usajili T 176 CYM kupata...

 

10 years ago

GPL

MWENDESHA PIKIPIKI ANUSURIKA KATIKA AJALI MOROCCO

Picha za tukio zima la kuteleza kwa pikipiki hiyo na kuanguka hadi kusaidiwa na wasamaria kuiweka sawa. MWENDESHA pikipiki ambaye hakujulikana jina, amenusurika katika ajali iliyotokea maeneo ya Morocco, jijini Dar es Salaam, baada ya pikipiki aliyokuwa anaendesha kuteleza na kuacha njia na kuanguka.…

 

11 years ago

Dewji Blog

Balozi wa CCM anusurika katika ajali ya moto

DSC08840

Mwenyekiti wa CCM manispaa ya Singida, Hamisi Nguli (wa pili kulia), akimpa pole balozi na mjumbe wa kamati ya siasa ya mtaa wa Mwenge mjini Singida, Tatu Juma Mohammed (kushoto) kwa nyumba yake kuungua moto na kuteketeza baadhi ya mali.Wa kwanza kulia ni katibu wa uchumi na fedha wa CCM jimbo la Singida mjini.

DSC08842

Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) taifa jimbo la Singida mjini, Hassani Mazala akiwa na katibu CCM manispaa ya Singida, Magdalena Ndwete, nyumbani kwa balozi na mjumbe wa kamati...

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi 6 wauawa katika mlipuko Misri

Polisi 6 wameuawa katika mlipuko uliotokea barabarani katika rasi ya Sinai Misri

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani