Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MUCCoBS YAWAKUTANISHA WANATAALUMA NA WAAJIRI KATIKA CAREER DAY

Baadhi ya wananfunzi katika chuo kikuu cha Ushirika na Biashara Moshi(MUCCoBS) mjini Moshi wakiwa katika ukumbi wa Nyerere kufuatilia Career Day iliyofanyika chuoni hapo. Wanafunzi wanaochukua taaluma mbalimbali walipata nafasi ya kuwaeleza waajiri nini wanaweza kufanya pindi watapato nafasi ya kuajiri wa katika taasisi ,kampuni na mashirika mablimbali.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

‘Waajiri shirikini Career Day’

WAAJIRI nchini wametakiwa kushiriki Siku ya Taaluma (Career Day) ambayo hufanyika kila mwaka katika Chuo Kikuu cha Ushirika na Biashara Moshi (MUCCoBS) kwani ni sehemu muhimu ambayo wanaweza kukutana na...

 

10 years ago

Michuzi

Engen Tanzania yawakutanisha wafanyakazi wake pamoja katika Bonanza la Kumaliza Mwaka

Sehemu ya Wafanyakazi wa kampuni ya mafuta ya Engen Tanzania wakijadiliana jambo kabla ya kuanza mtanange wao katika Bonanza la kusherehekea kumaliza mwaka 2014,lililofanyika mwishoni mwa wiki katika Sunrise,Kigamboni jijini Dar es Salaam.Wafanyakazi wa kampuni ya mafuta ya engen wakiendelea kuonesha vipaji vyao vingine kwenye sherehe ya kumaliza mwaka.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

11 years ago

Oman News Agency

SQU Career Guidance Centre to Organize Career & Training Fair 2014


SQU Career Guidance Centre to Organize Career & Training Fair 2014
Oman News Agency
Muscat, Feb 23 (ONA) ---- Sultan Qaboos University (SQU), represented by the Career Guidance Centre will organize the Career & Training Fair 2014 during March 11th to 13th at SQU Cultural Centre with participation of over 50 institutions representing the ...
Zanzibar team praises Sultan Qaboos UniversityTimes of Oman

all 2

 

10 years ago

Daily News

MUCCoBS becomes fully fledged university


Daily News
MUCCoBS becomes fully fledged university
Daily News
A NEW era has dawned at one of the oldest training institutions in Tanzania. Moshi University College of Co-operative and Business Studies (MUCCoBS) becomes a university. The varsity now goes by the name of Moshi Co-operative University (MoCU).

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

MUCCoBS chapandishwa hadhi kuwa Chuo Kikuu

 Na Rodrick Makundi, Moshi
SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, imekipandisha hadhi Chuo Kikuu kishiriki cha Ushirika Moshi (MUCCoBS) cha mkoani Kilimanjaro, kuwa Chuo Kikuu rasmi.
Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA), Philemon Luhanjo, alitangaza hatua hiyo juzi mjini hapa, mbele ya viongozi wa serikali mkoa wa Kilimanjaro, uongozi na watumishi wa MUCCoBS.
Baada ya kupandishwa hadhi chuo hicho, sasa kitaitwa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi, kikiwa chini...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mgimwa: Jiungeni mtandao wa wanataaluma

NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii Mahmoud Mgimwa amewataka wanafunzi wa vyuo vikuu nchini kujiunga na Mtandao wa Wanataaluma (TNP) ili waweze kupata elimu bora juu ya ujasiliamali. Akizungumza jijini...

 

11 years ago

Mwananchi

Wanataaluma waonyesha wasiwasi matokeo kidato 4

Siku moja baada ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, kutangaza matokeo ya kidato cha nne na kuonyesha ufaulu kuongezeka kwa asilimia 15, wadau wa elimu wamepinga matokeo hayo kwa madai kuwa ubora wa elimu haukuangaliwa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Bodi ya ugavi yatakiwa kusimamia wanataaluma

BODI ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB), imetakiwa kusimamia mienendo ya wanataaluma ili kuhakikisha kunakuwa na heshima na maadili ya fani na kazi. Rai hiyo imetolewa jijini Dar es...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani