Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Waajiri shirikini Career Day’

WAAJIRI nchini wametakiwa kushiriki Siku ya Taaluma (Career Day) ambayo hufanyika kila mwaka katika Chuo Kikuu cha Ushirika na Biashara Moshi (MUCCoBS) kwani ni sehemu muhimu ambayo wanaweza kukutana na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MUCCoBS YAWAKUTANISHA WANATAALUMA NA WAAJIRI KATIKA CAREER DAY

Baadhi ya wananfunzi katika chuo kikuu cha Ushirika na Biashara Moshi(MUCCoBS) mjini Moshi wakiwa katika ukumbi wa Nyerere kufuatilia Career Day iliyofanyika chuoni hapo. Wanafunzi wanaochukua taaluma mbalimbali walipata nafasi ya kuwaeleza waajiri nini wanaweza kufanya pindi watapato nafasi ya kuajiri wa katika taasisi ,kampuni na mashirika mablimbali.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

11 years ago

Oman News Agency

SQU Career Guidance Centre to Organize Career & Training Fair 2014


SQU Career Guidance Centre to Organize Career & Training Fair 2014
Oman News Agency
Muscat, Feb 23 (ONA) ---- Sultan Qaboos University (SQU), represented by the Career Guidance Centre will organize the Career & Training Fair 2014 during March 11th to 13th at SQU Cultural Centre with participation of over 50 institutions representing the ...
Zanzibar team praises Sultan Qaboos UniversityTimes of Oman

all 2

 

10 years ago

Mwananchi

TCCIA: Shirikini maonyesho ya biashara

Wafanyabiashara wametakiwa kushiriki maonyesho ya kimataifa ya biashara yanayotarajiwa kufanyika mkoani hapa kati ya Oktoba 23 na 29, mwaka huu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Siro: Jamii shirikini katika ulinzi

NAIBU Kamishna wa Jeshi la Polisi nchini, Simon Siro, ameitaka jamii kushiriki katika ulinzi kuanzia ngazi za familia ili kukomesha vitendo vya uhalifu na udokozi. Akizungumza jijiji Dar es Salaam,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waajiri wafundwa

WAAJIRI wametakiwa kushiriki Siku ya Taaluma nchini (Career Day) ambayo hufanyika kila mwaka katika Chuo Kikuu cha Ushirika na Biashara cha Moshi (MUCCoBS) kama sehemu muhimu ya kukutana na watu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

SSRA yawaonya waajiri

MAMLAKA ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), imewaonya waajiri na Mifuko ya Hifadhi nchini kutowalazimisha wafanyakazi kujiunga na mifuko wanayoitaka wao. Akitoa taarifa kwa umma...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Mwigulu awavaa waajiri



Aagiza wakamatwe na kushitakiwa haraka
NA MOHAMMED ISSA NA LILIAN JOEL, ARUSHA
SERIKALI imeagiza kushitakiwa kwa waajiri wote nchini, ambao hawawasilishi michango ya wafanyakazi wao kwenye Mifuko ya Hifadhi ya Jamii.
Pia imewaonya waajiri kuacha mara moja tabia ya kutopeleka ama kuchelewesha michango ya wafanyakazi kwa kuwa ni kinyume cha sheria.
Mbali na hilo, imesema inaridhishwa na utendaji unaofanywa na uongozi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, kwa kuongeza thamani ya mfuko huo.
Naibu Waziri wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waajiri nchini washauriwa

WAAJIRI nchini wameshauriwa kujenga utamaduni wa kuwa na siku maalumu ya kuwakutanisha wafanyakazi na familia zao nje ya maeneo ya kazi, jambo ambalo litawaongezea upendo na ufanisi katika utendaji kazi...

 

9 years ago

Habarileo

Waajiri wa madereva waonywa

SERIKALI itaanza kuchukua hatua za kisheria kwa waajiri watakaokiuka makubaliano katika mikataba mipya ya madereva kuanzia Oktoba Mosi mwaka huu, huku madereva wakionywa kuacha tishio la migomo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani