Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mufti aonya kuchagua kiudini

MUFTI Mkuu wa Tanzania, Shehe Abubakar Zubery amewataka wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, kuacha kutumia nyumba za ibada kuomba kura.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa Myanmar aonya dhidi ya kuchagua upinzani

Rais wa Myanmar Thein Sein amewaonya raia wa nchi hiyo dhidi ya kupigia kura chama cha upinzani cha Aung San Suu-Kyi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mufti Simba aonya Waislamu

SHEIKH Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa bin Shaaban Simba, amewataka waumini wa dini ya Kiislamu kufuata amri na mafundisho sahihi ya dini hiyo ili kujiepusha na maovu. Mufti Simba alisema...

 

9 years ago

BBCSwahili

Argentina kuchagua mrithi wa Kirchner

Wapiga kura nchini Argentina wanachagua rais mpya kwenye uchaguzi mkuu utakaofikisha kikomo uongozi wa familia ya Kirchner wa miaka 12.

 

10 years ago

Tanzania Daima

UJAUZITO WIKI YA 18: Kuchagua jina la mtoto — 2

KAMA tulivyoona katika makala zilizotangulia, watu huchagua jina la mtoto kwa kufuata vigezo tofauti tofauti, lakini kwa makabila mengi nchini, moja ya jambo ambalo linatumiwa na watu wengi wakati wanapochagua...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mashabiki Tamasha la Pasaka kuchagua mikoa

WAKATI Tamasha la Pasaka linatarajia kufanyika kwenye mikoa mbalimbali mwaka huu hapa nchini, mashabiki ndio watachagua mikoa litakakofanyika. Mfumo huo utasaidia mashabiki wa mikoani kuteua mikoa yao ifikiwe na tamasha...

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Nigeria kuchagua rais mpya

Mamilioni ya wapiga kura hii leo wanapiga kura nchini Nigeria kwenye uchaguzi wa urais wa kinyang'anyiro kikali

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge wa Ukawa kuchagua mgombea urais

Dar es Salaam. Hatimaye leo wabunge wote wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wanakutana na viongozi wao wa jijini hapa kumchagua mgombea urais atakayeviwakilisha vyama hivyo katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25.

 

10 years ago

StarTV

Watanzania waaswa kuchagua viongozi waadilifu.

Na Immaculate Kilulya,

Dar es Salaam.

 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe amesema umefika wakati wa watanzania kupiga vita vitendo vya kifisadi kwa kuchagua viongozi wazalendo na waadilifu kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Amesema vitendo vya kifisadi pamoja na rushwa vinakwamisha maendeleo ya Tanzania hali inayosababisha uchumi wa nchi kukua wakati watanzania wakiendelea kubaki masikini.

Waziri Membe amesema hayo wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge Ukawa kuchagua mgombea urais

Ni baada ya vikao mfululizo vinavyoshirikisha viongozi wa juu wa vyama husika na kufanya maridhiano

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani