Mufti aonya kuchagua kiudini
MUFTI Mkuu wa Tanzania, Shehe Abubakar Zubery amewataka wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, kuacha kutumia nyumba za ibada kuomba kura.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili03 Nov
Rais wa Myanmar aonya dhidi ya kuchagua upinzani
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Mufti Simba aonya Waislamu
SHEIKH Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa bin Shaaban Simba, amewataka waumini wa dini ya Kiislamu kufuata amri na mafundisho sahihi ya dini hiyo ili kujiepusha na maovu. Mufti Simba alisema...
9 years ago
BBCSwahili25 Oct
Argentina kuchagua mrithi wa Kirchner
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
UJAUZITO WIKI YA 18: Kuchagua jina la mtoto — 2
KAMA tulivyoona katika makala zilizotangulia, watu huchagua jina la mtoto kwa kufuata vigezo tofauti tofauti, lakini kwa makabila mengi nchini, moja ya jambo ambalo linatumiwa na watu wengi wakati wanapochagua...
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Mashabiki Tamasha la Pasaka kuchagua mikoa
WAKATI Tamasha la Pasaka linatarajia kufanyika kwenye mikoa mbalimbali mwaka huu hapa nchini, mashabiki ndio watachagua mikoa litakakofanyika. Mfumo huo utasaidia mashabiki wa mikoani kuteua mikoa yao ifikiwe na tamasha...
10 years ago
BBCSwahili28 Mar
Raia wa Nigeria kuchagua rais mpya
10 years ago
Mwananchi11 Jul
Wabunge wa Ukawa kuchagua mgombea urais
10 years ago
StarTV05 Jan
Watanzania waaswa kuchagua viongozi waadilifu.
Na Immaculate Kilulya,
Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe amesema umefika wakati wa watanzania kupiga vita vitendo vya kifisadi kwa kuchagua viongozi wazalendo na waadilifu kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Amesema vitendo vya kifisadi pamoja na rushwa vinakwamisha maendeleo ya Tanzania hali inayosababisha uchumi wa nchi kukua wakati watanzania wakiendelea kubaki masikini.
Waziri Membe amesema hayo wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya...
10 years ago
Mwananchi11 Jul
Wabunge Ukawa kuchagua mgombea urais