Muhongo usiishie kutoa takwimu tu, tunataka maendeleo
Akitoa mada katika kongamano la ‘Rasilimali za Tanzania kama kichocheo cha kuondoa umaskini na mafanikio ya uchumi kwa wote’ lililofanyika Desemba 8, mwaka huu katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo alitaja baadhi ya Watanzania wanaomiliki maeneo makubwa ya madini nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 May
Takwimu zakwamisha upatikanaji wa maendeleo
Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango Zanzibar, Bi Amina Shabani akifungua semina ya siku moja ya kujadili mpango utekelezaji wa Maendeleo ya Malengo ya Millenia MDG’s, iliyofanyika katika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini Zanzibar na kuwashirikisha Maofisa Mipango wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Viongozi wa Taasisi zisizo za Kiserekali, ulioandaliwa na Tume ya Mipango Zanzibar na Wizara ya Mambo ya Nje Tanzania na kufadhiliwa na UNDP.
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
UKOSEFU wa...
10 years ago
Habarileo17 May
Upotoshaji wa takwimu wakwamisha maendeleo
UKOSEFU wa takwimu sahihi katika masuala mbalimbali umeelezwa kuchangia kutopiga hatua kwenye mipango ya kimaendeleo inayopangwa na serikali juu ya wananchi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FrBUKu05jtc/XrVe4V4Y_zI/AAAAAAALpe4/3_kdD70AWC88lGa3lCaFVgINMwWVNBh2gCLcBGAsYHQ/s72-c/f9c472e9-8b11-401b-906c-2b20ea4e62ed.jpg)
SERIKALI KUENDELEA KUTOA TAKWIMU ZA MWENENDO WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-FrBUKu05jtc/XrVe4V4Y_zI/AAAAAAALpe4/3_kdD70AWC88lGa3lCaFVgINMwWVNBh2gCLcBGAsYHQ/s640/f9c472e9-8b11-401b-906c-2b20ea4e62ed.jpg)
Waziri Ummy Mwalimu akiongea na mwananchi kupitia kituo cha afya cha huduma kwa wateja mara baada ya kukizindua .
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/5572e3e8-f44a-48f4-b941-43bb12ba8d53-1024x683.jpg)
Waziri Ummy Mwalimu akiongea wakati wa uzinduzi huo
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/a1750514-60b7-4c83-87f0-1efd2e972d5d-1024x683.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akiangalia namna watoa huduma wanavyopokea simu kutoka kwa wananchi kwa ajili ya kupata elimu kuhusu ugonjwa wa Corona
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/4b60229f-03aa-46aa-a162-e736a0a1db0b-1024x683.jpg)
Muonekano wa kituo cha afya cha huduma kwa wateja ambacho kitakua na wataalam 150 wa kutoa elimu na taarifa kwa wananchi...
10 years ago
Habarileo12 Jan
Mwanry aagiza halmashauri kutoa takwimu za maabara
NAIBU Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Aggrey Mwanri, ameziagiza halmashauri zote nchini kuhakikisha zinatoa takwimu ya vyumba vya madarasa walivyobadilisha matumizi yake na kuvifanya vyumba vya maabara.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bNVfAebK8kA/VLe8q7y9HeI/AAAAAAAG9ho/nIvtCBn4kgY/s72-c/PICHA%2BNO.%2B1.jpg)
MKUTANO WA MAENDELEO YA TAKWIMU AFRIKA WAENDELEA NCHINI UGANDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-bNVfAebK8kA/VLe8q7y9HeI/AAAAAAAG9ho/nIvtCBn4kgY/s1600/PICHA%2BNO.%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WwT-ZmQezWI/VLe8q-LEqUI/AAAAAAAG9hk/0nFL_jB9kBM/s1600/PICHA%2BNO.%2B3.jpg)
9 years ago
MichuziMAENDELEO NI KWA VITENDO SIO MANENO: PROFESA MUHONGO
Profesa Muhongo alidhihirisha hayo juzi katika kijiji cha Murangi, Mkoani Mara katika kikao chake na baadhi ya wananchi wa jimbo hilo, watendaji wa Halmashauri ya Musoma Vijijini na madiwani huku lengo la kikao likiwa ni kujadili mipango na miradi ya uchumi na maendeleo ya jimbo...
9 years ago
MichuziPROFESA MUHONGO: MAENDELEO NI KWA VITENDO SIO MANENO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zvPcy4LoSiA/VLUuaiQAK_I/AAAAAAAG9IA/OzO46xfPo2M/s72-c/PICHA%2BNAMBA%2B1.jpg)
TANZANIA YASHIRIKI KATIKA MKUTANO WA KUMI WA MAENDELEO YA TAKWIMU AFRIKA NCHINI UGANDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-zvPcy4LoSiA/VLUuaiQAK_I/AAAAAAAG9IA/OzO46xfPo2M/s1600/PICHA%2BNAMBA%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7K41UHTtOWU/VLUubmz3xQI/AAAAAAAG9IM/_oNuzQzPMJE/s1600/PICHA%2BNAMBA%2B2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 Jan
Takwimu sahihi na za wakati zitasaidia kuleta maendeleo kwa haraka barani Afrika
Waziri Mkuu wa Uganda Mhe. Ruhakana Rugunda akiwahutubia washiriki mbalimbali kutoka barani Afrika (hawapo pichani) wakati wa Mkutano wa Kumi wa Maendeleo ya Takwimu Afrika uliofanyika jana katika Ukumbi wa Mikutano wa Speke Munyoyo Kampala, Uganda. (PICHA NA VERONICA KAZIMOTO – KAMPALA).
Na Veronica Kazimoto, Kampala
WITO umetolewa kwa washiriki wote wa Mkutano wa Kumi wa Maendeleo ya Takwimu Afrika kuelendelea kutoa takwimu sahihi na kwa wakati ili kuleta maendeleo yanayokusudiwa ya...