Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muigizaji Philip Seymour Hoffman afariki

Muigizaji mahiri wa Hollywood na mshindi kwa tuzo ya Oscar- Philip Seymour Hoffman, amefariki kutokana na matumizi ya dawa za kulevya

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mwanamfalme Philip amuoa muigizaji Sweden

Mwanamfalme Prince Carl Philip wa Sweden amemuoa muigizaji nyota na mwanamitindo wa zamani bi Sofia Hellqvist katika harusi ya Kifalme

 

10 years ago

BBCSwahili

Mchezaji wa kriketi Philip Hughes afariki

Mchezaji huyo amefariki siku chache baada ya kupata majeraha alipogongwa kichwani na mpira siku ya Jumanne mjini Syney.

 

10 years ago

BBCSwahili

Philip Hughes afariki,Pele ana nafuu

Bendera zinapepea nusu mlingoti kuomboleza kifo cha Philip Hughes aliyefariki jana,naye Abeid Pele anaendelea vyema.

 

11 years ago

BBCSwahili

Muigizaji wa Fresh Prince afariki

Muigizaji wa Marekani, aliyeigiza katika kipindi maarufu sana cha kuchekesha 'Fresh Prince of Bell Air', James Avery amefariki akiwa na umri wa miaka 68.

 

10 years ago

GPL

MUIGIZAJI LYNDA BELLINGHAM AFARIKI DUNIA

Muigizaji Lynda Bellingham akitabasamu enzi za uhai wake. Muigizaji na mtangazaji wa TV maarufu, Lynda Bellingham (66) amefariki siku ya jana katika mikono ya mume wake Hospitali ya London. Kifo chake kimesababishwa na kansa ya ini iliyomsumbua kwa muda mrefu. Lynda Bellingham akiwa na rafiki zake.
Alizaliwa Mei 31, 1948 Montreal, Canada . Aliolewa mara mbili na ana watoto wawili Michael Peluso, Robbie Peluso.  Marehemu...

 

11 years ago

BBCSwahili

Muigizaji Suchtra afariki dunia India

Muigizaji maarufu wa Sinema nchini Indian Suchitra Sen amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 82 kwa maradhi ya kifua.

 

5 years ago

Bongo5

Muigizaji wa filamu za James Bond afariki dunia

Muigizaji Clifton James, maarufu kama ‘JW Pepper’ kwenye filamu mbili za James Bond, amefariki dunia akiwa na miaka 96.

Alifariki karibu na mji wa Gladstone, Oregon, siku ya Jumamosi kutokana na matatizo ya ugonjwa wa kisukari.

James alifahamika sana kutokana na uigizaji wake katika filamu za Bond za ‘Live and Let Die’ na ‘The Man with the Golden Gun’ miaka ya sabini.

Binti yake Lynn amesema: ”Alikuwa mtu mpenda watu na mwenye uwazi sana. Alipendwa sana na kila mtu.”

Aliongeza: “Sidhani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani