Muigizaji Philip Seymour Hoffman afariki
Muigizaji mahiri wa Hollywood na mshindi kwa tuzo ya Oscar- Philip Seymour Hoffman, amefariki kutokana na matumizi ya dawa za kulevya
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi03 Feb
10 years ago
BBCSwahili13 Jun
Mwanamfalme Philip amuoa muigizaji Sweden
10 years ago
BBCSwahili27 Nov
Mchezaji wa kriketi Philip Hughes afariki
10 years ago
BBCSwahili28 Nov
Philip Hughes afariki,Pele ana nafuu
11 years ago
BBCSwahili02 Jan
Muigizaji wa Fresh Prince afariki
10 years ago
GPLMUIGIZAJI LYNDA BELLINGHAM AFARIKI DUNIA
11 years ago
BBCSwahili17 Jan
Muigizaji Suchtra afariki dunia India
5 years ago
Bongo514 Feb
Muigizaji wa filamu za James Bond afariki dunia
Muigizaji Clifton James, maarufu kama ‘JW Pepper’ kwenye filamu mbili za James Bond, amefariki dunia akiwa na miaka 96.
Alifariki karibu na mji wa Gladstone, Oregon, siku ya Jumamosi kutokana na matatizo ya ugonjwa wa kisukari.
James alifahamika sana kutokana na uigizaji wake katika filamu za Bond za ‘Live and Let Die’ na ‘The Man with the Golden Gun’ miaka ya sabini.
Binti yake Lynn amesema: ”Alikuwa mtu mpenda watu na mwenye uwazi sana. Alipendwa sana na kila mtu.”
Aliongeza: “Sidhani...