Muislamu ateuliwa waziri mkuu wa CAR
Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati amteua Muislamu kuwa waziri mkuu mpya baada ya ghasia za kidini
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo19 Nov
BREAKING NEWS: Kassim Majaliwa ateuliwa na Rais kuwa Waziri Mkuu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli ametegua kitendawili cha nani kuwa waziri mkuu kwa kumteua Mbunge wa Rwangwa Kassim Majaliwa kuchukua nafasi hiyo kubwa serikalini.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s72-c/PG4A1896.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s1600/PG4A1896.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2PKiPMgnKWw/VHo-0aq8WJI/AAAAAAADJJo/vF30JsHqgOs/s1600/PG4A1852.jpg)
9 years ago
Habarileo06 Nov
Masaju ateuliwa Mwanasheria Mkuu
RAIS Dk John Magufuli jana alifanya uteuzi wake wa kwanza kwa kumteua George Masaju kuendelea tena na wadhifa wake wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
10 years ago
Habarileo27 May
Mtanzania ateuliwa Mkurugenzi Mkuu Msaidizi WHO
MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Dk Margaret Chan amemteua Mtanzania, Dk Winnie Mpanju- Shumbusho kuwa Mkurugenzi Mkuu Msaidizi wa shirika hilo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmFIhqID0FqgvUfNlsmCriJ28Z5cIOqUpJFcMFEZW*WPHMMnI4NnYGfgKmpyof*awNdH66r3aX1IKE9UlXHBsQYaBVsVETQu/pinda.jpg)
KAMATI YA PAC YAMTAKA WAZIRI MKUU, MWANASHERIA MKUU, WAZIRI WA NISHATI NA MADINI WAWAJIBIKE KUHUSU RIPOTI YA TEGETA ESCROW
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU MSTAAFU AMKABIDHI RASMI OFISI WAZIRI MKUU MAJALIWA
9 years ago
Dewji Blog22 Nov
Waziri Mkuu Majaliwa amtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda!
![IMGS2602](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/IMGS2602.jpg)
10 years ago
GPLDK SLAA ATEULIWA TENA KUWA KATIBU MKUU WA CHADEMA
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Gary Neville ateuliwa kuwa kocha mkuu wa Valencia
Gary Neville.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Beki wa zamani wa Manchester United na kocha wa kikosi cha kwanza cha timu ya taifa Wingereza, Gary Neville ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Valencia inayoshiriki Ligi kuu ya Hispania.
Gary Neville ameteuliwa kocha mkuu kwa mkataba mfupi na ataongoza timu hiyo mpaka mwishoni mwa msimu huu.
Neville amechukua nafasi hiyo baada ya siku chache zilizopita kutimuliwa kazi kwa aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Nuno Santo na sasa Gary Neville atafanya...