Mume ajeruhi mke alipoombwa fedha za dawa
MKAZI wa Kijiji cha Mnyamasi, wilayani Mpanda, Katavi, Tatu Mihambo (20) amejeruhiwa vibaya sehemu mbalimbali mwilini baada ya kupigwa na mumewe kwa fimbo, kisha kumwagiwa maji ya moto mkononi na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KBI*TiKs6pKBMM798HVyiXK-fS2Wq2aNiwQH1zxAtvm5e5qS9F63eCPhKiJWLqehygjWgJk-ZqX-epovM*QndUMXhzNWvHhD/mahaba.gif?width=650)
MNAFANYA KAZI OFISI MOJA; NI SAHIHI MUME KUMPA MKE FEDHA ZA MATUMIZI?
WAPENDWA wasomaji wetu, wiki iliyopita tulikuwa na mada ya Dear, Mpenzi maneno yasiyokuwa na maana tena! Naamini wengi wenu mliinjoi kwani mada ilijitosheleza. Nawashukuru sana wale walionipigia simu kunipongeza, lakini hata wale walionikosoa, nilichukua yale yaliyostahili. Wiki hii hatuko mbali na familia, mada yetu inasema; mke, mume wanafanya kazi ofisi moja. Je, ni sahihi mume kumpa mkewe fadha za matumizi? Twende pamoja...
...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q3o-n5KIczPxT0vJDVJlJCevk7ZoBvTrdjn7ihRvQtLNjUc9maLADoIsIDHjK-K-3N8fOsJkaHZWOQpfLdJ9P3e/mume.jpg?width=650)
MUME, MKE WATEKWA!
KIJANA aliyetambulika kwa jina la Dickson Mathias (35), na msichana aliyejulikana kwa jina la Mariam Kimaya wanadaiwa kutekwa kwa nyakati tofauti baada ya kufunga ndoa ya siri katika Kanisa la KKT, Tegeta jijini Dar, Mei Mosi, 2012, Risasi Mchanganyiko linakupa zaidi. Mariam Kimaya anayedaiwa kutekwa. Akizungumza na gazeti hili kwa majonzi makubwa, dada wa Dickson, Aneth Mbaga alisema tukio hilo lilitokea baada ya Dickson...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-yZgY*Sei*vk6Lde6Uw0--tXYTmrwd*nTWgE3h*0YmBgquaNMXMcMImevBg5iOBGQXU0VMtTNZ9-65JovJwIpUU/mke.jpg)
MUME, MKE VARANGATI MAHAKAMANI
Stori: Haruni Sanchawa
TIMBWILI! Jamaa mmoja na mkewe ambao wote hawakujulikana majina mara moja wamezua varangati la aina yake mahakamani kisa kikiwa ni kufutiwa kesi na kushindwa kuheshimu amri za maafande. Polisi wakimdhibiti jamaa huyo. Tukio hilo la aina yake lililoshuhudiwa na mwanahabari wetu lilijiri kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar baada ya mume huyo kufutiwa kesi iliyokuwa ikimkabili ya unyayasaji...
10 years ago
Mwananchi05 Jun
MUME KWA MKE TAJIRI
UME KWA MKE TAJIRI
Mke akiwa tajiri, mwanamume maskini
Hana uwezo fakiri, mke hatamthamini
Natunga hili shairi, nisemayo naamini
Mume kwa mke tajiri
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
Mume aua mke na kutoweka
MWILI wa mwanamke aliyefamika kwa jina la Ekanga Michael (30), umekutwa korongoni maeneo ya Mwanga Vamia karibu na kambi ya jeshi, Manispaa ya Kigoma Ujiji ikidaiwa kuuawa na mumewe. Akifafanua...
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
Mke amkimbia mume kingono
Palikuwa na kituko cha mwaka kilichotukia katika kituo cha polisi bulenga, wakati mwanamke mmoja alipokuwa akiomba poo kwa mumewe.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YkTQKvQouuqv9D4AmId4C-gWj7t6xPLzetpoPOJBmE7KPy9knNLn5nQ07E04hm8XG9kTz79Xi4nxZavCXu4xohd9QX*PEDSO/MUMEcopy.jpg?width=650)
MUME ADAI KUKIMBIWA NA MKE!
Stori: Mayasa Mariwata
Kweli? Jamaa aliyejitambulisha kwa jina la Ally Musa, mkazi wa Moshi mkoani Kilimanjaro anadai kukimbiwa na mkewe aliyemtaja kwa jina moja la Sauda. Bw. Ally Musa anyedai kukimbiwa na mkewe(Sauda). Akizungumza na gazeti hili, mume wa Sauda alisema kwamba, mkewe huyo ambaye alifunga naye pingu za maisha mwaka 2009, siku zote za maisha yao ya ndoa walikuwa wakiishi kwa amani na furaha tele… ...
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Mke, mume wanaswa na bangi Arusha
Polisi mkoani Arusha imekamata watu watano, wakiwamo mume na mke, kwa tuhuma za kukutwa na magunia saba ya bangi.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Miy5-5-cgYtwqBHC9Ou0lkF2-AI558d0p-U6e7arhvG6FvLWmjX1Be16AdL1t*DrZAUsM1Nkua3COyUGGVdrwUKckfUx-E21/cheatingboyfriendhusband.jpg?width=650)
URAHISI WA MUME KUTEMBEA NA MASHOSTI WA MKE!
Maisha ya kimapenzi yanahitaji uvumilivu wa hali ya juu sana kwani kuna changamoto nyingi zinazoweza kujitokeza kiasi kwamba usipoangalia unaweza kuishia kusema hutakuja kumpenda mtu, heri uishi peke yako! Tatizo kubwa ambalo limekuwa likiwasumbua wengi walio kwenye ndoa na wale walio kwenye uhusiano wa kawaida ni usaliti. Lakini naomba leo niseme kwamba, wapo watu wanajitakia kusalitiwa na hapa nawazungumzia wanawake.
Kuna...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania