Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muonekano wa Lulu 2015 Wawa Gumzo, Midume yasema Anazidi Kuwa Mtamu Kama Mcharo

Lulu Michael Mrembo wa Bongo Flava amezidi mwagiwa sifa Kede kede mitandaoni hasa Instagram kwa jinsi anavyojiweka kimuonekano japo anakabiliwa na kesi ya........mauaji ya bila kukusudia ya marehemu Kanumba , Watu wamempa sifa na kusema toka atoke mahabusu kwa dhamana amezidi kuwa mrembo zaidi..Wapo wanaotania na kusema amezidi kuwa Mtamu kama Mcharo!!!!

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Hapa Na Pale: Lulu Awa Mtamu Chuoni!!!

Mrembo na mwigizaji wa filamu,  ambae kwa sasa ameamua kupiga kitabu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ,  ambae kwa sasa ameamua kupiga kitabu , anadaiwa kuwafunika kimasomo wanafunzi wenzake katika Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kilichopo Magogoni-Posta jijini Dar.

Akizungumza hivi karibuni chuoni hapo, mmoja wa wanafunzi wanaosoma na mwigizaji huyo aliyeomba hifadhi ya jina lake alisema Lulu amekuwa akihudhuria vizuri darasani na kufanya vyema kwenye masomo yake mbalimbali zaidi ya...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Ahsante Mungu na Wazazi Wangu Kwakunifanya Mtamu!- Lulu

Mrembo na Staa wa Bongo Movies,  Elizabeth  Michael ‘Lulu’ ambaye hakuna anaebisha kuwa amejaaliwa  uzuri wa sura na umbo, kupitia ukursa wake wa instagram amemshuruku Mungu na wazazi wake kwa mfanya kuwa zaidi ya mcharo, yaani ni mtamuuuu.

“Ahsante kwa Mungu....Shoutout kwa Mama & Baba Lulu + Make up….u'all knw wat I mean....Kitu Mcharo plus…..(Basi kuna watu wata panic......kufwaaaa 4 me)”-Lulu aliandika na kubandika picha hizo hapo juu.

Jionee neema za Muumba hapo juu, mimi nimempa kumi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Uteuzi wa Makonda wawa gumzo kila kona mitandaoni, mitaani

MAKONDA1

Na Andrew Chale wa modewji blog

Ikiwa ni siku moja tu tangu kutangazwa kwa wakuu wapya wa Wilaya mbalimbali za Tanzania Bara, Uteuzi uliofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete ikiwemo kumteua kada wa Chama cha Mapinduzi anayetokea Jumuiya ya Vijana (UVCCM), Paul Makonda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni,  watanzania wengi wamebeza uteuzi huo huku wengine wakiunga  mkono.

Modewji blog  iliweza kuongea na watu mbalimbali juu ya maoni yao kufuatia uteuzi...

 

5 years ago

CCM Blog

MUONEKANO WA PICHA MLIMA KILIMANJARO ILIYOPIGWA NA DKT. JAKAYA KIKWETE YAWA GUMZO

   Picha ya Mlima Kilimanjaro ambayo imeonekana 'kutrend' mitandaoni, imepigwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Kikwete ikionesha muonekano wa juu wa Mlima Kilimanjaro.
Dkt. Kikwete amesema kuwa picha hiyo ameipiga wakati akiwa njiani akitokea Nairobi kwenda Dar es Salaam, saa chache baada ya mazishi ya aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili nchini Kenya, Daniel Arap Moi.

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE ZA MIAKA 38 YA KUSHEREHEKEA KUZALIWA KWA CCM ZA NOGA KAMA MCHARO NEW YORK LICHA YA THELUJI KUNYESHA SIKU MZIMA

 MH. Ridhiwani Kikwete akiongea kwenye sherehe ya kuzaliwa kwa chama cha mapinduzi CCM sherehe zilizofanyika New York na kudhuliwa na wageni mbalimbali kutoka kila sehemu yenye tawi la CCM hapa Marekani. MH. Ridhiwani kikwete akiongea mbele ya wa Tanzania waliojitokeza kwenye sherehe hizo za kusherehekea miaka 38 ya kuzaliwa CCM na kuwapongeza kwa kujitokeza ingawa kulikuwa na theluji siku mzima. Mwenyekiti wa tawi la CCM New York akiongea kwenye sherehe hizo Bwana Isaac Kibodya akiongea kwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mfumuko wa bei wabaki kuwa asilimia 6.4 kama ilivyokuwa mwezi Julai, 2015

PICHA NO. 2

Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii Ephraim Kwesigabo akizungumza na waandishi wa habari  jana Jijini Dar es Salaam Kuhusu Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Agosti, 2015 ambao umebaki kuwa asilimia 6.4 kama ilivyokuwa mwezi Julai mwaka huu. (PICHA ZOTE NA VERONICA KAZIMOTO).

PICHA NO. 1

Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii Ephraim Kwesigabo akizungumza na waandishi wa habari  leo Jijini Dar es Salaam Kuhusu Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Agosti, 2015 ambao umebaki kuwa...

 

10 years ago

GPL

PETE YA UCHUMBA YA LULU YAWA GUMZO

Mwandishi wetu
MSHTUKO! Mtoto mzuri Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amezua gumzo ukumbini baada ya kuonekana akiwa amevaa pete iliyoaminika kuwa ni ya uchumba na kusababisha minong’ono miongoni mwa mashabiki wake. Mpango mzima ulijiri wikiendi iliyopita katika Ukumbi wa Sinema wa Mlimani City (Cinemax) kulipokuwa na uzinduzi wa sinema ya 10 Bora ya washiriki wa Shindano la Tanzania Movie Talent, mwaka...

 

11 years ago

GPL

LULU PICHA ZAKE GESTI ZAZUA GUMZO

UTATA! Picha zinazodaiwa ni za staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ zikimuonesha akiwa amelala gesti zimesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii na kuibua gumzo kubwa. Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ akiwa gesti.
Ishu hiyo ili-happen wikiendi iliyopita ambapo picha hizo zinamwonesha Lulu akiwa katika chumba ambacho kinaonekana ni gesti kufuatia shuka jeupe kuwa...

 

10 years ago

GPL

LULU AFUNGUKA KUWA HAPENDI KUWA KATIKA UHUSIANO WA MAPENZI

Stori: Imelda Mtema Staa wa filamu hapa Bongo mwenye mvuto wa kipekee, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa kamwe hapendi kuwa katika uhusiano wa kimapenzi na masharobaro akidai kuwa siku zote ni pasua kichwa ila anazimikia watu wazima waliomzidi sana umri. Staa wa filamu hapa Bongo mwenye mvuto wa kipekee, Elizabeth Michael ‘Lulu’ akipozi.. Akizungumza na mwandishi wa habari hii, Lulu alisema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani