Muonekano wa Lulu 2015 Wawa Gumzo, Midume yasema Anazidi Kuwa Mtamu Kama Mcharo
![](http://1.bp.blogspot.com/-Yq6IG-JtFwc/VNHNyyccGFI/AAAAAAAAnw0/pFauUWbc_bk/s72-c/kawa1.jpg)
Lulu Michael Mrembo wa Bongo Flava amezidi mwagiwa sifa Kede kede mitandaoni hasa Instagram kwa jinsi anavyojiweka kimuonekano japo anakabiliwa na kesi ya........mauaji ya bila kukusudia ya marehemu Kanumba , Watu wamempa sifa na kusema toka atoke mahabusu kwa dhamana amezidi kuwa mrembo zaidi..Wapo wanaotania na kusema amezidi kuwa Mtamu kama Mcharo!!!!
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies04 Feb
Hapa Na Pale: Lulu Awa Mtamu Chuoni!!!
Mrembo na mwigizaji wa filamu, ambae kwa sasa ameamua kupiga kitabu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ , ambae kwa sasa ameamua kupiga kitabu , anadaiwa kuwafunika kimasomo wanafunzi wenzake katika Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kilichopo Magogoni-Posta jijini Dar.
Akizungumza hivi karibuni chuoni hapo, mmoja wa wanafunzi wanaosoma na mwigizaji huyo aliyeomba hifadhi ya jina lake alisema Lulu amekuwa akihudhuria vizuri darasani na kufanya vyema kwenye masomo yake mbalimbali zaidi ya...
10 years ago
Bongo Movies20 Mar
Picha: Ahsante Mungu na Wazazi Wangu Kwakunifanya Mtamu!- Lulu
Mrembo na Staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambaye hakuna anaebisha kuwa amejaaliwa uzuri wa sura na umbo, kupitia ukursa wake wa instagram amemshuruku Mungu na wazazi wake kwa mfanya kuwa zaidi ya mcharo, yaani ni mtamuuuu.
“Ahsante kwa Mungu....Shoutout kwa Mama & Baba Lulu + Make up….u'all knw wat I mean....Kitu Mcharo plus…..(Basi kuna watu wata panic......kufwaaaa 4 me)”-Lulu aliandika na kubandika picha hizo hapo juu.
Jionee neema za Muumba hapo juu, mimi nimempa kumi...
10 years ago
Dewji Blog19 Feb
Uteuzi wa Makonda wawa gumzo kila kona mitandaoni, mitaani
Na Andrew Chale wa modewji blog
Ikiwa ni siku moja tu tangu kutangazwa kwa wakuu wapya wa Wilaya mbalimbali za Tanzania Bara, Uteuzi uliofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete ikiwemo kumteua kada wa Chama cha Mapinduzi anayetokea Jumuiya ya Vijana (UVCCM), Paul Makonda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, watanzania wengi wamebeza uteuzi huo huku wengine wakiunga mkono.
Modewji blog iliweza kuongea na watu mbalimbali juu ya maoni yao kufuatia uteuzi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-GTOo81dG39I/XkT2SwG8H6I/AAAAAAAAuys/7gtiK_pvDmUvwdffhpDBDv5cKb_uW17awCLcBGAsYHQ/s72-c/c6883c6c-13d1-45be-bfe7-cf897939f3fe.jpg)
MUONEKANO WA PICHA MLIMA KILIMANJARO ILIYOPIGWA NA DKT. JAKAYA KIKWETE YAWA GUMZO
![](https://1.bp.blogspot.com/-GTOo81dG39I/XkT2SwG8H6I/AAAAAAAAuys/7gtiK_pvDmUvwdffhpDBDv5cKb_uW17awCLcBGAsYHQ/s640/c6883c6c-13d1-45be-bfe7-cf897939f3fe.jpg)
Dkt. Kikwete amesema kuwa picha hiyo ameipiga wakati akiwa njiani akitokea Nairobi kwenda Dar es Salaam, saa chache baada ya mazishi ya aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili nchini Kenya, Daniel Arap Moi.
10 years ago
VijimamboSHEREHE ZA MIAKA 38 YA KUSHEREHEKEA KUZALIWA KWA CCM ZA NOGA KAMA MCHARO NEW YORK LICHA YA THELUJI KUNYESHA SIKU MZIMA
9 years ago
Dewji Blog09 Sep
Mfumuko wa bei wabaki kuwa asilimia 6.4 kama ilivyokuwa mwezi Julai, 2015
Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii Ephraim Kwesigabo akizungumza na waandishi wa habari jana Jijini Dar es Salaam Kuhusu Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Agosti, 2015 ambao umebaki kuwa asilimia 6.4 kama ilivyokuwa mwezi Julai mwaka huu. (PICHA ZOTE NA VERONICA KAZIMOTO).
Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii Ephraim Kwesigabo akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es Salaam Kuhusu Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Agosti, 2015 ambao umebaki kuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bAnmdOW7NaiIeW8V2FT7C*e7OuU1BKb-p5WK53XxFA85X6Kb6GwgLmtvuJyMVbUklyJRtpinUAmVYtNB9FAssqTRTi72yTD6/wpidlulu.jpg?width=650)
PETE YA UCHUMBA YA LULU YAWA GUMZO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVmmzGjeaXixmD7PIV5H9U4EDRAPRkGTVAgPrJhU1CoN2HXp9Fa420*4xX*4YA2YfTGbJh8PbZhNO-*qFeHYpLrH/lulu.jpg)
LULU PICHA ZAKE GESTI ZAZUA GUMZO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j-DiiE-nbb9BcO3LHbhEFEy2GyK2E5CzlTuUXgwcuvn4gvyhMPM5xmEaszXRb6pppBo0niYfnfgpNePMU9GgG*4AC3kpUidj/luluu.jpg)
LULU AFUNGUKA KUWA HAPENDI KUWA KATIKA UHUSIANO WA MAPENZI