Music: Chiba wa ajabu – Zero
Wimbo mpya wa msanii Chiba wa ajabu unaitwa “Zero” Producer Christone.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/LQDxUxgzCDE/default.jpg)
11 years ago
Bongo507 Aug
New Music: Papaa Masai Ft. Tunda Man — Sioni Ajabu
Huu ni wimbo Mpya kutoka kwa Papaa Masai akimshirikisha Tunda Man ngoma inaitwa “Sioni Ajabu” Producer Fraga Studio Uprise Music
10 years ago
Michuzi22 Oct
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-9ra5C1kT4Gk/VEdGJyjDo6I/AAAAAAADKWU/YPgon67dOJI/s72-c/10623071_468693249938786_7737430154881907448_n.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yIyfcOpSVuc5umKV2jUW6RRvS-XlF9Rdqr-bFpqiPhsT82wZOAJswv*aLNMKdPX9ZtoBXqLf4MZHjvq7SvwAs9J/ndoa.jpg)
NDOA YA AJABU
Stori: Dustan Shekidele, MOROGORO
KANISA la Romani Katoliki Tanzania Jimbo Kuu la Morogoro, Jumamosi iliyopita lilifungisha ndoa iliyotafsiriwa na watu kuwa ni ya ajabu kufuatia bi harusi kuwa na matatizo ya wazi ya akili, Uwazi lilikuwepo. Bibi na bwana harusi wakiwa wenye nyuso za furaha baada ya kufunga ndoa. Bi harusi huyo anaitwa Maria Omar (25) baada ya kubatizwa siku hiyohiyo ya ndoa. Awali aliitwa Jamini. Bwana...
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Ustaarabu wa ajabu
Hivi hawa wanaokula laki tatu za kanuni wiki hadi wiki wametambua kweli jinsi watu walivyokasirika?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaJyEom4T*vzg46P1FJiMU46OFfVdvOivYaazJyv3FBtQMvKzolu0bwyGDlUyA5LiuCQ4rpZ5InWrcOHjmLdsHai/FRONTUWAZI.jpg?width=650)
GONJWA LA AJABU
Na Makongoro Oging’ MAAJABU ya Mungu! Ukisema wewe unaumwa sana, inawezekana hujawaona wagonjwa wengine! Faiza Masaka Paga (23)(pichani), mkazi wa Chanika –Msumbiji, Ilala jijini Dar amekumbwa na gonjwa la ajabu ambalo mpaka sasa madaktari hawajajua ni nini kwani sehemu ya kiuno na kalio upande wa kushoto imevimba na kumfanya aonekane ana kama nundu kubwa ya kutisha! Faiza Masaka mkazi wa Chanika akionyesha jinsi...
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Viumbe wa ajabu wa baharini
WATU wengi wanadhani kuwa utafiti kuhusiana na wanyama umekamilika. Lakini ukweli ni kuwa bado kuna maswali mengi sana kuhusiana na maisha ya wanyama mbalimbali ambayo hayajapatiwa majibu. Ndio maana kila...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LxgTrYw8IcnK-LQXBQ2AAw7IBBD0FZmVeSD2RuSXFPsvpD0L3gI*SnlkDdzlmxzMqH7g3v6LhyLB-M5OjmutknWsdgUeGPDY/mtoto.jpg?width=650)
MTOTO WA AJABU DAR
Na Hamida Hassan na Imelda Mtema
AMA kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Farao, Andrea Marcus (13), mkazi wa Mbezi-Kibanda cha Mkaa, Dar anadaiwa kuwa wa ajabu kutokana na vitendo vyake.
Mtoto huyu amedaiwa kuwa ni wa kichawi kutokana na maajabu yafuatayo: Mkazi wa Mbezi-Kibanda, Andrea Marcus. Ana uwezo wa kula ubwabwa sufuria moja la familia, anamudu kunywa maji ndoo moja, ana uwezo wa kuingiza tumboni mikate...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania