Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Music: Julio Batalia Ft. Kimkadah — Hajui

Wimbo mpya wa msanii Julio Batalia unaitwa “Hajui” amemshirikisha Kimkadah. Studio Chaidaz Records Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Julio batalia show 2015 escape 1..Release of Vuvula and Kaunyaka video

Performance ya Julio Batalia kwenye Show iliyofanyika escape 1 tarehe 7 february j'mosi kwenye Utambulisho wa Video mbili Kaunyaka ya Chege na Temba na Vuvula ya Madee ali.video zilizotengenezwa na director Adam Juma...Julio aliperfom ngoma zake mbili "Haina Noma" na "Special for you" na pia kuwapa kionjo cha ngoma yake mpya inayoitwa (Tetemesha) ambayo imefanyika wakati wa safari ya South Africa akiwa na Chege,Madee na Temba na kufanikisha kurekodi na producer mkubwa Dj maphorisa wa UHURU...

 

11 years ago

Dewji Blog

VIDEO ya Haina Noma — Julio Batalia Ft Chege na Madee hii hapa

PicsArt_1394218303907_2

Hatimaye Video ya Haina Noma Ya – Julio Batalia ambaye alikuwa mshiriki wa shindano la BIGBROTHER AFRICA SEASON 7 (StarGame) mwaka 2012 imeshakwisha na video hiyo imekabidhiwa rasmi na  director mkubwa wa kampuni ya NEXTLEVEL -Adam Juma (AJ) Akiwa na camera yenye vigezo vikubwa duniani REDCAMERA.

Video hii ambayo wameshirikishwa wasanii wakubwa wawili CHEGE CHIGUNDA kutoka TMK wanaume family na Madee ali Raisi wa Manzese kutoka TIPTOP Connection imeandaliwa katika location ya CLUB 601,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wenger:Paulista hajui kizungu

Kocha wa Arsenal Arsene Wenger amekiri kwamba kutojua kizungu kwa Gabriel Paulista kutaathiri timu hiyo katika safu ya nyuma

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rais Kikwete hajui afanyalo?

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kisitafute muda mrefu wa kupoteza kwa kudhani kuwa waasisi wa nchi mbili za Tanganyika na Zanzibar walikurupuka kutafuta muafaka wenye maridhiano ya kihistoria ya kuziunganisha nchi...

 

11 years ago

Mwananchi

Nape hajui anapambana na nani CCM

>Mwaka 2010 ulikuwa mgumu mno kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, kwani alikuwa akiwania nafasi ya ubunge katika Jimbo la Ubungo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Phiri hajui kesho yake Simba

KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Patrick Phiri amesema tiketi ya kubaki katika kibarua hicho au kuondoka kurejea kwao Zambia, imeshikiliwa na Kamati ya Utendaji chini ya Rais wake Evance...

 

10 years ago

Mwananchi

Mgombea urais anapokiri hajui siasa!

Urais wa nchi ndiyo wadhifa mkubwa katika Taifa letu. Siasa kwa nijuavyo mimi, ni kitendo cha kuongoza mambo ya watu. Kwa maana hiyo, Rais anapaswa kuwa mwanasiasa mahiri ili kuliongoza taifa na watu wake katika mambo ya ndani ya nchi na yale yahusuyo medani ya kimataifa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wenger hajui Wilshere atarudi lini

Kocha wa Arsenal Arsene Wenger amesema bado hajajua lini mchezaji wa kiungo Jack Wilshere atarejea uwanjani baada ya kujeruhiwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kocha wa Barcelona hajui hatma yake

Kocha wa Barcelona Luis Enrique amekataa kuzungumzia kuhusu hatma yake ama kuthibitisha iwapo atasalia katika timu hiyo msimu ujao licha ya yeye kushinda mataji matatu na klabu hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani