Rais Kikwete hajui afanyalo?
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kisitafute muda mrefu wa kupoteza kwa kudhani kuwa waasisi wa nchi mbili za Tanganyika na Zanzibar walikurupuka kutafuta muafaka wenye maridhiano ya kihistoria ya kuziunganisha nchi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
Kikwete: "Nisingekuwa Rais Ningekuwa Msanii Mkali wa Bongo Fleva.".........HOTUBA Nzima ya Rais Kikwete Aliyoitoa Jana Mei Mosi Iko HAPA

RAIS Dkt. Jakaya Kikwete, ametamba kuwa angakuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya basi angelikuwa wa “BongoFleva” kutokana na kuwa na sauti nzuri yenye kumudu kuimba nyimbo kwa ufasaha zaidi.
Kauli hiyo aliitoa jana jijini Mwanza kwenye uwanja wa michezo wa CCM Kirumba wakati wa maadhimisho ya kilele cha sherehe za Mei mosi zilizofanyika Kitaifa jijini Mwanza kwa mwaka huu wa mwisho wa utawala wake.
Dkt. Kikwete aliimba wimbo wa Bendi ya OSS (Ochestra Safari Sound) wenye mashairi yasemayo...
10 years ago
VijimamboRAIS JACOB ZUMA AKUTANA NA RAIS KIKWETE IKULU-MAKAMU WA RAIS AMSINDIKIZA

11 years ago
Michuzi
Rais Kikwete azungumza na Rais Zuma na Rais Kabila Zimbabwe

10 years ago
Michuzi.jpg)
Rais Kikwete akutana na Rais Uhuru Kenyatta mjini Windhoek, Alhaj Mwinyi na Mzee Mkapa waungana naye sherehe za kuapishwa rais mpya wa namibia
.jpg)
.jpg)
.jpg)
10 years ago
BBCSwahili30 Jan
Wenger:Paulista hajui kizungu
Kocha wa Arsenal Arsene Wenger amekiri kwamba kutojua kizungu kwa Gabriel Paulista kutaathiri timu hiyo katika safu ya nyuma
10 years ago
BBCSwahili07 Jun
Kocha wa Barcelona hajui hatma yake
Kocha wa Barcelona Luis Enrique amekataa kuzungumzia kuhusu hatma yake ama kuthibitisha iwapo atasalia katika timu hiyo msimu ujao licha ya yeye kushinda mataji matatu na klabu hiyo.
10 years ago
Mwananchi09 Sep
Mgombea urais anapokiri hajui siasa!
Urais wa nchi ndiyo wadhifa mkubwa katika Taifa letu. Siasa kwa nijuavyo mimi, ni kitendo cha kuongoza mambo ya watu. Kwa maana hiyo, Rais anapaswa kuwa mwanasiasa mahiri ili kuliongoza taifa na watu wake katika mambo ya ndani ya nchi na yale yahusuyo medani ya kimataifa.
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Nape hajui anapambana na nani CCM
>Mwaka 2010 ulikuwa mgumu mno kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, kwani alikuwa akiwania nafasi ya ubunge katika Jimbo la Ubungo.
10 years ago
Bongo526 Oct
Music: Julio Batalia Ft. Kimkadah — Hajui
Wimbo mpya wa msanii Julio Batalia unaitwa “Hajui” amemshirikisha Kimkadah. Studio Chaidaz Records Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-May-2025 in Tanzania