Mutabingwa wa Escrow apata dhamana
Meneja Misamaha ya Kodi TRA, Kyabukoba Leonard Mutabingwa anayekabiliwa na kesi ya kuomba na kupokea rushwa ya zaidi ya Sh 1.6 bilioni kutoka akaunti ya Tegeta Escrow amekamilisha masharti ya dhamana leo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo21 Jan
Mtuhumiwa wa Escrow apata dhamana
MENEJA Misahama ya Kodi TRA, Kyabukoba Mutabingwa anayekabiliwa na kesi ya kupokea rushwa ya Sh bilioni 2 ikiwa ni sehemu ya fedha zilizokuwa kwenye akaunti ya Tegeta Escrow amepata dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
9 years ago
Mwananchi26 Aug
Masha apata dhamana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
CHID BENZ APATA DHAMANA
10 years ago
CloudsFM29 Oct
HATIMAYE CHID BENZ APATA DHAMANA
Hatimaye msanii wa Bongo Fleva,Rashid Makwiro 'Chid Benz' leo asubuhi amepata dhamana baada ya kutimiza masharti ya kesi yake ya kukamatwa na dawa za kulevya.
Msanii huyo, jana alipandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam na kusomewa mashitaka matatu ya kukutwa na madawa ya kulevya ambapo alishindwa kutimiza masharti ya dhamana ya shilingi milioni 1 pamoja na wadhamini wawili wasiokuwana hatia.
Kesi yake itasikilizwa tena Novemba 11 mwaka huu.
9 years ago
Mwananchi22 Oct
Masha apanda kizimbani, apata dhamana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rhqcRsJl7aQUTsfI6ZENSWyuohLTfSr5vmubC-M*KghSMIvsSi0GzcnFG07xTekGv4CJ31PiFoO1cU7ygHSgM8kmj-GsjdID/gwajima.jpg?width=650)
GWAJIMA APATA DHAMANA MAHAKAMA YA KISUTU, DAR
9 years ago
Mwananchi28 Sep
Mgombea ubunge wa Chadema Dodoma mjini apata dhamana
10 years ago
Bongo529 Oct
Chidi Benz apata dhamana baada ya kutimiza masharti
10 years ago
GPLHATIMAYE CHID BENZ APATA DHAMANA KATIKA KESI YA MADAWA YA KULEVYA