Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muziki huifanya mimea kukua haraka, kustawi

>Mwanafizikia  aliyebobea katika sayansi ya mimea kutoka nchini India, Jagadis Chandra Bose alitumia kipindi kirefu katika maisha yake kutafiti na kujifunza kwa vitendo namna mazingira ya mimea na kuthibitisha kwamba inaguswa na baadhi ya tabia za viumbehai.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Muziki wetu unachuja haraka

Nimejiuliza kwa muda mrefu bila ya kupata mwafaka nini kinachoua kwa haraka muziki wa Kitanzania kwa sasa.

 

9 years ago

Dewji Blog

Uzazi wa mpango utekelezwe na familia kwa vitendo, ili kustawi vyema na kuimarika kiuchumi

utepe

Kaimu Katibu Tawala wa mkoa wa Singida, Aziza Mumba akikata utepe kuzindua nyota mpya ya kijani.

aziza

Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida Aziza Mumba akizungumza na wananchi wa Mkoa wa Singida wakati wa uzinduzi wa kampeni mpya ya nyota ya kijani kwenye viwanja vya peoples Mjini Singida.

dk kimala

Kaimu Mganga mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk. Mussa Kimala akizungumza kwenye sherehe hizo.

wizara

Mwakilishi kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dk Martha Shekinyau akizungumza kwenye uzinduzi huo kwa niaba ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ghana yajikita katika mimea ya GMO

Je vyakula vilivyokuzwa kisayansi vinaweza kutoa suluhu kwa tatizo la uhaba wa chakula? Ghana imeimarisha utafiti wa GMO

 

5 years ago

BBCSwahili

Mimea na si watu waliojaza viti kwenye ukumbi wa burudani

Mimea yaburudishwa kwenye tamasha la muziki wa Opera

 

10 years ago

Mwananchi

Athari ya mabadiliko ya tabia nchi katika uchavushaji wa mimea

Je wajua hivi sasa katika maeneo mengi ni vigumu kukutana na maua yaliyojiotea? Ondoa ile inayopandwa na kutunzwa katika bustani.

 

10 years ago

GPL

MIMEA INAYOSAIDIA KUONDOA TATIZO LA HEDHI NDOGO KUPITA KIASI

Leo tutazungumzia ni mimea gani ambayo inaweza kumsaidia mwanamke hapohapo nyumbani kuweza kuondoa matatizo ya hedhi na kuondokana na adha za hapa na pale ambazo zinaweza kumsumbua kwa muda mrefu hata kumhangaisha sana katika harakati yake na mume wake kwenye kuijenga familia yake. Hivyo basi tutaangalia tatizo hili la hedhi ndogo kupita kiasi likoje kitaalamu na baadaye tutaangalia ni jinsi gani tunaweza kuliondoa kwa kutumia...

 

10 years ago

Mwananchi

Kukua au kujaa matiti kwa mwanaume

Kwa kawaida mwanaume ameumbwa kuwa na matiti madogo, ugonjwa wa wanaume kuwa na matiti makubwa kama wanawake huleta usumbufu hasa wa kisaikologia kwa mwanume husika.

 

11 years ago

Mwananchi

Tatizo la maji Dar lazidi kukua

Kilio cha wakazi wa Dar es Salaam kupatiwa maji safi na salama, bado ni ndoto pamoja na Serikali kutoa ahadi za kumaliza tatizo hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani